Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
Halafu naye na wapambe wake wangeamua vinginevyo wakaanzisha vurugu na kuumizana wote humu mngekuja na maswali waziri au wizara ina mpango gani ukatili umezidi. Tukihamasisha utulivu na kudhibiti jazba kwa mifano hai napo hamtaki...Ukijadiliana na nyapara madhara ya ndoa.
Ukifanya uhalifu unashtakiwa kwa sheria.
Binafsi simtazami huyo kijana kama shujaa anayestahili tuzo kwa kutokufanya uhalifu baada ya kuadhibiwa kwa makosa yake ya kutoheshimu wazaza wa mchumba wake.