Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
Haya ni maoni tu na maoni hupita kwenye chekecheke la kitaalam na siyo yote huchukuliwa. Tuvumiliane tu tuendelee kutoa maoni ahsanteni sanaKwamba atumike mtu mwingine kumkomoa mtu mwingine? Unajua huyo atakayeolewa kwa bahati mbaya ataenda kuipata “shege “ gani huko ndoani?
WaTz kitu kinaitwa “healing” hatukijui kabisa?
Mama Gwajima kazi kwako, kwa staili hii ustawi wa jamii hatutakaa tuupate, people are sick!