barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mob justice...USSR nionenye kifungu Cha sheria kinachosema adhabu ya kibaka kuuawa
Sungu sungu wamefanya jambo la maana, hao vibaka wakipelekwa jela wakitoka wanakuwa washenzi mara 2 dawa yao ni kuwapeleka kuzimu tu hakuna namna.Mheshimiwa raisi, Mama Samia Suluhu Hassan, sisi wanawake tuna Imani sana na wewe, tutakupa kura zetu zote za urais mwaka 2025 ila kuna mambo machafu sana yanayofanyika katika serikali yako.
Sisi wanawake wa Tanzania tumesikitishwa sana na mauaji ya kijana mdogo mkazi wa kata ya Mabibo kitongoji cha Soweto yaliyofanywa na watu
Mleta mada unajua ni damu ngapi zimemwaga na hao vibaka? Unajua wangapi wamepoteza Maisha sababu za hao vibaka?Mheshimiwa raisi, Mama Samia Suluhu Hassan, sisi wanawake tuna Imani sana na wewe, tutakupa kura zetu zote za urais mwaka 2025 ila kuna mambo machafu sana yanayofanyika katika serikali yako.
Sisi wanawake wa Tanzania tumesikitishwa sana na mauaji ya kijana mdogo mkazi wa kata ya Mabibo kitongoji cha Soweto yaliyofanywa na watu wana
Dawa ya kibaka ni kuuwawa.USSR nionenye kifungu Cha sheria kinachosema adhabu ya kibaka kuuawa
Wanafanya vizuri sana.Kuna Jamaa yetu aliuawa maeneo ya Mburahati GINE..alikatwa mfupa wa nyuma wa kisigino na hao hao Sungu Sungu..Nawachukia Sn Hao Wange.S.e.
Hii ni mbinu ya kawaida sana.Ndugu msanii: hawajamkuta eneo la tukio.Walimpigia simu ,wakamwita,wakamuua
Poleni.Mheshimiwa raisi, Mama Samia Suluhu Hassan, sisi wanawake tuna Imani sana na wewe, tutakupa kura zetu zote za urais mwaka 2025 ila kuna mambo machafu sana yanayofanyika katika serikali yako.
Sisi wanawake wa Tanzania tumesikitishwa sana na mauaji ya kijana mdogo mkazi wa kata ya Mabibo kitongoji cha Soweto yaliyofanywa na watu
MMh Hivi kumbe ishu ya Upungufu wa Akili ipo serious namna hii??USSR nionenye kifungu Cha sheria kinachosema adhabu ya kibaka kuuawa
Wewe ulikuwa unataka apewe adhabu gani?Hance nioneshe sheria inayoruhusu sungu sungu waue?
Kijana huyu aliuawa barabarani baada ya kupigiwa simu
Ngoja siku ukutane nao watakuonyesha vifungu vyao vya sheria alafu ndo utaelewa kuwa hao sio watu wazuri.USSR nionenye kifungu Cha sheria kinachosema adhabu ya kibaka kuuawa
Kuna sheria gani inayomruhusu mtu kuiba ama kuchukua mali ya mtu mwingine kwa nguvu?Bokilo,hiyo sheria ya nchi gani ya kuua vibaka? Jibu
akikujibu ni tag mkuuKuna sheria gani inayomruhusu mtu kuiba ama kuchukua mali ya mtu mwingine kwa nguvu?
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu naona mleta uzi ataukimbia uzi wake muda si mrefuKijanaa anaonekana kabisa nikibakaa,wacha afutiliwe mbali na Kama Kuna wenginee tutakuja nyumba Hadi nyumbaa.....alafu eti wanawake acha kutumia kigezo Cha uwanawake kuwatetea mitoto yenu mijizi