MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Huyo alikua ni mnufaika wa matunda ya Uporaji.Inaonekana hujawahi kuibiwa mkuu kaa kwa kutulia, halafu mbona unatetea sana au na wewe ni mmoja wapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo alikua ni mnufaika wa matunda ya Uporaji.Inaonekana hujawahi kuibiwa mkuu kaa kwa kutulia, halafu mbona unatetea sana au na wewe ni mmoja wapo?
komandoo yosso walitutesa sana, fikiria mtaani mnalinda sungusungu watu 10 hadi 12 halafu wenyewe wanakuja 40 wana visu, mapanga bisibisi n.k...Wanatusumbua sana hao,,, wanakaba wazi wazi kabisa alafu mama zao wanawatetea,,, mi nikajua labda huyo dogo anakaa mbezi, kumbe mabibo,, huyo kibaka tu,, maeneo kama mabibo,mburahati,kigogo, manzese, tandale, mwananyamala, Argentina na kagera mikoroshini haya ni maeneo korofi kwa tabia hizo za wizi vijana wadogo kabisa,,, na ndio maana raia wamechoka na kujichukulia maamuzi kwa kuwa hata wakipelekwa vituoni wazazi wao wanawawatetea,, sasa tutafanya kama tulivyofanya kipindi cha komando yosso,, msako nyumba hadi nyumba.
Wewe ulitaka akutwe na Silaha ndio auawe ilihali anajulikana ni kibaka? Vibaka wanafahamika sana mitaani mida yao ya kutembea na silaha ni usiku, siku mtaa ukimchoka unammaliza muda wowote katika mazingira yoyote. Vibaka wanalindwa sana na wanufaika wa matunda ya wizi wao haswa Wazazi na ndugu/jamaa wa karibu. Wewe mama unaamka asubuhi mtoto anakupa elfu 50 na unajua kabisa hajishughulishi na kazi yoyote unapokea tu unapeleka kwenye VICOBA ukiletewa taarifa mwanao ni mwizi mkanye wewe unaanza kumtetea unategemea wananchi wenye kutafuta riziki zao ki halali watamshughulikia vipi kijana wako kama sio kumuua?Arovera nitajie kifungu Cha sheria kinachosema kibaka ambaye hana silaha anatembea barabarani auawe?
Mama anatetea kwa sababu anajua Rejesho la Kikoba analipata akiwa amekaa tuAisee hao vibaka wamburahati nihatari sana waogope, kwanza wao wenyew wanamazuna wakikutait ukileta mgomo hata kdg unaweza shangaa washapita na vidole na utaibiwa na hamna msaada wwte utakaopata
Hao mama zao wanajua tabia zao ila ndo hivo wanawatetea kwa sana wacha iwe fundisho kdg sababu walishajiona miungu watu yani watu wanakaba mchana kweupe as if ni jambo lakawaida.
Sheria za mtaa huwa zinaanza pale Bendera inaposhushwa.USSR bado hujajibu hoja, mtaa uko juu ya sheria? Sheria ipi inayosema kibaka ambaye hana silaha ,hayupo eneo la tukio auawe?
Jela amekaa Seth na Rugemalira Sembuse Mimi... Acha kutetea wezi fanya kazi halaliMastakiraka jaribu siku moja kuua mtu kisa amekupora simu yako.Ikiwa mtu huyo hana silaha.Jela inakuhusu.
Ww ndio mfadhili wa hao vibaka au?,mbona unawatetea sana as if una maslahi naoVon wewe ni hakimu? Haya ndio kibaka... nioneshe kifungu cha sheria kinachowapa sungusungu wafanye mauaji? Tena kijana huyo hajakutwa eneo la tukio,hakuwa na silaha.... polisi,mahakama wana kazi gani?
Na ww tupe sheria inayowaruhusu hao vibaka kuibaUSSR bado hujajibu hoja, mtaa uko juu ya sheria? Sheria ipi inayosema kibaka ambaye hana silaha ,hayupo eneo la tukio auawe?
Huwa sitetei vibaka SEMA labda hujawahi kuona alivyojaa na mioyo ya kiuaji
USSR
Kwahiyo umeamua kuhalalisha wizi ?, ukishakuwa kuwa kibaka haijalishi umekutwa na silaha au laah utaadhibiwa tuuMastakiraka jaribu siku moja kuua mtu kisa amekupora simu yako.Ikiwa mtu huyo hana silaha.Jela inakuhusu.
Kifungu cha Sheria ndio hicho walichotumia kumwadhibu mwanaoUnaniambia nina rejesho la vikoba...kwa hiyo uuwe mtu kisa kibaka,sheria ya wapi?
Pale guinea hajawahi kuuliwa mtu ambaye sio mwizi,wa mwisho kuchomwa pale alipora simu akiwa na denda,denda akakimbia huyo akatiwa mkononi,na toka tukio lile yapata miaka hata 8 sasa hv na hakuna matukio ya kishenzi tena,kulikua akufai kule ila baada ya kuanza ile operesheni ya choma wezi kumetulia sasa hvKuna Jamaa yetu aliuawa maeneo ya Mburahati GINE..alikatwa mfupa wa nyuma wa kisigino na hao hao Sungu Sungu..Nawachukia Sn Hao Wange.S.e.
denda nowdays katulia..pamoja na Roja mtambo wote wapo Calm..mkuu unaweza ukawa jirani yangu ww.Pale guinea hajawahi kuuliwa mtu ambaye sio mwizi,wa mwisho kuchomwa pale alipora simu akiwa na denda,denda akakimbia huyo akatiwa mkononi,na toka tukio lile yapata miaka hata 8 sasa hv na hakuna matukio ya kishenzi tena,kulikua akufai kule ila baada ya kuanza ile operesheni ya choma wezi kumetulia sasa hv