Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Pole mkuuMimi waliweka ndole wakaiba simu yangu nilinunua haikukaa hata siku 3 nililia mpaka presha ilipanda toka siku ile nawachukia mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuuMimi waliweka ndole wakaiba simu yangu nilinunua haikukaa hata siku 3 nililia mpaka presha ilipanda toka siku ile nawachukia mno.
AsantePole mkuu
Nani anaropoka? Watu wamewachoka na ukibaka! Nikuulize[emoji116][emoji116]Acheni kuropoka ropoka hovyo...hii nchi ya utawala wa sheria huyo Samwel na wenzake jela inawahusu .....haki ya huyo kijana itapatikana mahakamani....tabia hii lazima ikomeshwe ya kuua wananchi hovyo hovyo
Leo nimegundua siri hii baada ya muda mrefu sana.Watoto wengi wa uswahili Wana malezi mabovu sana wengi tu wanawatukana had wazazi wao kwa kifupi wanadekezwa sana na hata wakifanya wizi wazaz wanawatetea,
Sungusungu wengi ni vijana wenzetu wa mtaani wanamjua kibaka mmoja mmoja na machimbo yao,
Ushauri wangu ni kuwa wazazi muwalee watoto wenu vizuri maana hata ukiwazuia sungusungu wasiwauwe wapo wananchi wenye hasira kali watamchoma Moto siku moja.
Polisi wana tabia moja wakiskia Kuna kibaka kakamatwa mahali huwa wanachelewa makusudi siyo kwamba hawawez kuwahi ila wanafanya hivyo ili mmalizane nae wao waje wabebe maiti tu maana hata wao hizo kesi zimewachosha.
[emoji3][emoji3][emoji3]naona unatetea mitaji yako pole sana,jiandae unafuta wewe kuuwawaAcheni kuropoka ropoka hovyo...hii nchi ya utawala wa sheria huyo Samwel na wenzake jela inawahusu .....haki ya huyo kijana itapatikana mahakamani....tabia hii lazima ikomeshwe ya kuua wananchi hovyo hovyo
Mkuu wala sio uongo hawa jamaa walitutesa sana, kulikuwa na kundi lingine linaitwa kambi ya jeshi,,, wanaofanya huo uhalifu ni watoto ambao wanajulikana isipokuwa wazazi wao wanawatetea,, ila wajue siku hizi zama zimebadilika na raia washachoka, matokeo yake ndo kama haya, alafu mtu anakuja kuleta malalamiko jf,,,komandoo yosso walitutesa sana, fikiria mtaani mnalinda sungusungu watu 10 hadi 12 halafu wenyewe wanakuja 40 wana visu, mapanga bisibisi n.k...
Haswaaaa,,😄😄😄😄Bila shaka utakua mama wa mmoja wa vibaka
Pole kwa kufiwa na kibaka wako...wafundishe na wezi wengine kua mtaani wananchi wana torati yao. Toto liwe jizi alafu uje usumbue kuhusu sheria ? Kwani nduguyo huyo alikua anaiba kwa sheria zipi za nchi? Mtaani ukizingua watu watatumia torati ya mtaa. Malezi mabovu na kuendekeza anasa ndio yanafanya vijana wa hovyo kua na tabia za ajabu ajabu kama hizi.Suchak ongea kwa hoja...sheria ipi inaruhusu sungu sungu waue?
Baada ya kuuawa Jongo utafuata wewe......
Nijibu! Hivi ni kweli huyo kijana alikuwa kibaka? Au hakuwa kibaka?Msakuzi huru kama una hasira sana nenda kaue mafisadi waliokufanya uishi maisha mabovu, au nenda kaue wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya wanaoharibu vijana wa Tanzania.
Acha ujinga.
Komando yosso sio mtu bali ni kundi la vijana wakabaji liliotikisa miaka ya mwanzoni mwa 90sHivi komando Yosso alikuwa nani hasa?