Kijana aliyeuawa na watu wanaojiita Sungu sungu Mburahati, Rais Samia ingilia kati

Kijana aliyeuawa na watu wanaojiita Sungu sungu Mburahati, Rais Samia ingilia kati

Aisee hao vibaka wamburahati nihatari sana waogope, kwanza wao wenyew wanamazuna wakikutait ukileta mgomo hata kdg unaweza shangaa washapita na vidole na utaibiwa na hamna msaada wwte utakaopata
Hao mama zao wanajua tabia zao ila ndo hivo wanawatetea kwa sana wacha iwe fundisho kdg sababu walishajiona miungu watu yani watu wanakaba mchana kweupe as if ni jambo lakawaida.
 
Hayo maeneo ya mabibo, Manzese na kigogo hao vibaka wanasumbua sana Coz Nishawahi kuwa mkazi wa mabibo na nilikuwa mmoja wa sungusungu 2018 na nina experience kubwa na hao vibaka jinsi wanavyofanya matukio na hasa tukiwapeleka polisi hawamalizi wiki wanakuwa huru uraia I na kuanza tena matukio yao

Kilichobaki wana sungusungu wenzangu hao vibaka inabidi tuwapeleke mbele za haki haraka sana Coz hakuna tena namna
 
Kibaka auliwe tu! Tena auliwe kimya kimya kwa maumivu makali kama kumchoma moto.

Haiwezekani watu tunahangaika kufanya kazi alafu fala mmoja anataka kuchuma kiulaini..

Tena wewe Lady Mwali unatakiwa upigwe vibao akili ikukae sawa.

Huwezi tetea kibaka hata kama ni mme wako
Huyo dada anatakiwa atafutwe awataje vibaka wote anaowajua kama angekua anampenda sana angemuonya aache kazi ya wizi, inaonekana yeye ndo anawalea hao vibaka.
 
Aisee hao vibaka wamburahati nihatari sana waogope, kwanza wao wenyew wanamazuna wakikutait ukileta mgomo hata kdg unaweza shangaa washapita na vidole na utaibiwa na hamna msaada wwte utakaopata
Hao mama zao wanajua tabia zao ila ndo hivo wanawatetea kwa sana wacha iwe fundisho kdg sababu walishajiona miungu watu yani watu wanakaba mchana kweupe as if ni jambo lakawaida.
Wakikuotea hao ukileta utata wanakushaya wena 😅!

Mie mwizi au kibaka akila kisago naona Cheo tu...
 
Von wewe ni hakimu? Haya ndio kibaka... nioneshe kifungu cha sheria kinachowapa sungusungu wafanye mauaji? Tena kijana huyo hajakutwa eneo la tukio,hakuwa na silaha.... polisi,mahakama wana kazi gani?
 
USSR nionenye kifungu Cha sheria kinachosema adhabu ya kibaka kuuawa
Sheria ipi inaruhusa mtu awe kibaka? kwani ni yeye ndie kijana tu huko? Mbona wenzake wasiathibiwe? MFICHA ugonjwa kifo kinamsubiri.Kuna mtaa walifuatwa mchana kweupe wakacharangwa mapanga na wazazi wao wanaangalia. Hakikisheni vijana wenu WASIJEUKE KUWA VIBAKA WATAISHIA KUUWAWA KWANI PIA NAO HUUWA bila sheria ktk hiyo kazi yao
 
Von wewe ni hakimu? Haya ndio kibaka... nioneshe kifungu cha sheria kinachowapa sungusungu wafanye mauaji? Tena kijana huyo hajakutwa eneo la tukio,hakuwa na silaha.... polisi,mahakama wana kazi gani?
Hiyo haijalishi mama PGO ya mtaa inasema kama ni kibaka lazima auliwe mapema kabla hajaleta madhara makubwa

Kwasababu nyie wazazi wake kile kipengele cha PGO hamkutekeleza kinachosema umlee mtoto wake ktk maadili mazuri kabla hajakomaa
 
Mastakiraja wewe hakimu wa mahakama gani? Hivi nchi hii kila mtu akijichukulia sheria mkononi kutakuwa na amani? Polisi, mahakama ,magereza wana kazi gani?
Hao wanatakiwa ku deal na ishu kubwa kubwa, hizi ishu ndogo ambazo zipo ndani ya uwezo wetu tunamalizana nazo wenyewe. Sheria ya Mtaa inasema Kama mtu ni Kibaka adhabu anayostahili ni KIFO, Ukitaka kuthibitisha anza udokozi hapo mtaani. Na ukitaka kufahamu mimi ni hakimu wa Mahakama gani jaribu kuninyang'anya mali yangu
 
Von wewe ni hakimu? Haya ndio kibaka... nioneshe kifungu cha sheria kinachowapa sungusungu wafanye mauaji? Tena kijana huyo hajakutwa eneo la tukio,hakuwa na silaha.... polisi,mahakama wana kazi gani?
Inaonekana hujawahi kuibiwa mkuu kaa kwa kutulia, halafu mbona unatetea sana au na wewe ni mmoja wapo?
 
USSR bado hujajibu hoja, mtaa uko juu ya sheria? Sheria ipi inayosema kibaka ambaye hana silaha ,hayupo eneo la tukio auawe?
 
Vibaka lazima wauawe tena hata akiiba kijiko tu hatakiwi na hata nipewe kazi ya kukata shingo naweza kuifanya bila malipo yoyote
 
Arovera nitajie kifungu Cha sheria kinachosema kibaka ambaye hana silaha anatembea barabarani auawe?
 
Back
Top Bottom