Hili nalo nenoMkuu sio wewe uliyekata tamaa, hata mimi sioni kama ntakuja kuoa,nafkiria ni bora kuwa na watoto, niwe mlezi nkishirikiana na mama yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo nenoMkuu sio wewe uliyekata tamaa, hata mimi sioni kama ntakuja kuoa,nafkiria ni bora kuwa na watoto, niwe mlezi nkishirikiana na mama yao.
Kama hata wewe umesema hivyo, Wallah nitazingatia UshauriTaasisi mama ya NDOA inazidi kuporomoka na kupoteza maana.....mimi mwenyewe simlaumu mtu ambaye hajao na simshauri mtu kuoa labda aaamue mwenyewe..... maana balaa lake sio dogo
Hakuna sababu ya kuishi maisha ya ujanja ujanja, na hawa modern women wametuzidi ujanja kweli na hizi ndoa kwa 99% zinawanufaisha wao, afu hapo hapo bado anakuzunguka analiwa huko, bado ubinafsi, yani ukifikiria unaona kabisa kwa Dunia ya sasa ndoa sio kabisa, Labda sheria ibadilishweHili nalo neno
Upo sahihi mwanawane....hapa ni mwendo wakuwazalisha tuuHakuna sababu ya kuishi maisha ya ujanja ujanja, na hawa modern women wametuzidi ujanja kweli na hizi ndoa kwa 99% zinawanufaisha wao, afu hapo hapo bado anakuzunguka analiwa huko, bado ubinafsi, yani ukifikiria unaona kabisa kwa Dunia ya sasa ndoa sio kabisa, Labda sheria ibadilishwe
Wapo mkuu wengi tu na Tena hapa hapa Dar ukienda maeneo ya Vikindu huko au chanika ndani ndani huko unakutana nao wa kutosha.Kama kuna binti ana sifa za mwanamke A na anahitaji permanent relationship. I'm really ready for her[emoji7]
Hizi ndizo tabia haslisi za wanawake ijapokuwa wanaziadana kiwango.Ndugu salam
Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo
Nayasema haya kwasababu
1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo
2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele
3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze
4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake
5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion
6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa
7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara
8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote
9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.
10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..
11: Hawatulii na mwanaume mmoja
12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi
13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani
14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi
15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo
16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.
17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako
KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
The same , kaka mim sio mtu wa wanawake, napenda kutulia na manz mmja tujenge maisha, ila sasa yaliyonikuta 🙌, tena huko,makanisani 🙌, kinachoniuma nipambane aje atokee bwege kashatumika huko wee alafu mim nutie mahali ndio niweke ndani?, thubutu yangu. BIG NO...hii iko moyoni kwangu kama alama.Mkuu sio wewe uliyekata tamaa, hata mimi sioni kama ntakuja kuoa,nafkiria ni bora kuwa na watoto, niwe mlezi nkishirikiana na mama yao.
Samahani sana mkuu hata mimi sikuwepo, naomba muktadha ilikuaje na nini kiliamuliwa?Kikao cha mwisho ulikuepo Mkuu.......
...last meeting........
Karne hii, mara nyingi mwanaume kwenye uchumba ukisema uweke upendo kwanza ngono baadae, utajikuta unagharamia mahusiano unatoa pesa nyingi, na muda, attention, halafu girlfriend wako ana-sex na mwanaume mwingine, ilhali kidume unabaki na upwiru wako, mahusiano ya hivyo ya upendo kwanza sex baadae , hlf yaje kuzaa ndoa iliofanikiwa, labda mtu ubahatike au Mungu awe kati KelseaSio kwa sababu wanaume wengi wamekua wakihusudu zaidi ngono kuliko upendo wa kweli?
Nachokiona ni kukosekana kwa upendo pande zote mbili.Karne hii, mara nyingi mwanaume kwenye uchumba ukisema uweke upendo kwanza ngono baadae, utajikuta unagharamia mahusiano unatoa pesa nyingi, na muda, attention, halafu girlfriend wako ana-sex na mwanaume mwingine, ilhali kidume unabaki na upwiru wako, mahusiano ya hivyo ya upendo kwanza sex baadae , hlf yaje kuzaa ndoa iliofanikiwa, labda mtu ubahatike au Mungu awe kati Kelsea
🤣Upo sahihi mwanawane....hapa ni mwendo wakuwazalisha tuu
Alafu wee ebu acha zako mie ujue nataka nikuoe basi tuu unajichelewesha wewe na watoto kwenda shule.
Wewe si umesema wanawake ni wa kuzalisha tu hakuna kuoa. Hufai kabisa 😠Alafu wee ebu acha zako mie ujue nataka nikuoe basi tuu unajichelewesha wewe na watoto kwenda shule.
Wikend tutoke basi ata kwa dinner date mwaisa mrembo😜
Ah jamani bby hizi somjo tuu za hapa jf real life mie ndio husband material mwenyewe yaani nauzuri wako huo wa kimwaisa...nijitoka job tuu nakimbilia nyumba I niwe nawe.Wewe si umesema wanawake ni wa kuzalisha tu hakuna kuoa. Hufai kabisa 😠