DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Nina miaka 70 mpaka wajukuu zangu wameoa lakini Bado mi nipo nipo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe unataka hata kama unakosea usiulizwe/usirekebishwe kisa wewe ni mwanaume?Ndiyo haya tunayoyashangaa, mnapenda ligi sana na wanaume, heshima na utii mmepunguza sana. Hakuna mwanaume wa kuvumilia kwa muda mrefu arguments kama hizi
Mke na wanao wanakusubiri uzeeni wakunyooshe!sasa nisip😵A nani atanisaidia UZEENI kama nitakuwa HAI? ni muhimu kuandaa hitimisho jema hapa duniani. changamoto zipo, lakin kuoa ni jambo zuri pia.
Mimi kama kizazi cha 2000 naona kama afadhali ya vijana wa zamani maana sisi wasichana tunaokutana nao wanawaza kufuga kucha na kupeleka nguo washing machine ilhal uwezo Hawana kumiliki iphone na kupiga picha nzuri basiMwenye uzi huenda umefanyiziwa, ila ujue sio wote. Uliza wale wakongwe waliodumu kwenye ndoa wakupe ushauri. Ukifeli wakati wa uchumba utajutia.
Na wewe umeamini kabisa! 😂Mimi Nina miaka 24 nimepata binti 1997 anamiaka 27 na anamtoto wa miaka 5 anasema bwana wake alimpa mimba miaka hiyo 2019 na hajawah kuongea hadi Leo kwa mujbu wa mwanamke anasema hajui aliko mtoto a nalelewa na bibi yake mama ake binti
Lakini nilichokiona kwake kuna stage kashazivuka ametulia
Tatzo la hawa 2000 wenzangu kushuka chini Yan Kila naemtaka anakwambia umri bado wanataka wale bata kwanza so kwa hii situation utasemaje
Ongeza nyama mkuu hapo kwenye uchumba.Mwenye uzi huenda umefanyiziwa, ila ujue sio wote. Uliza wale wakongwe waliodumu kwenye ndoa wakupe ushauri. Ukifeli wakati wa uchumba utajutia.
Pesa ikiwepo au serikali ilivyotia mkono wake kwa prof mke anakuwa nawe bega kwa bega and vise versa is trueMsifanyee hivyooo...Ndoa ni muhimu na fainali uzeeni...hivi professor J asingeoa ingekuwaje?..mkewwe alikuwa ndio msaidizi wake no moja...hata mie Kuna kipindi Mr alivunjika mguu..Mimi ndio nilikuwa comfort yake kubwaa..Ndoa ni muhimu aisee..chagueni walio sahihi
Umeibua hoja nzito Sana kwenye taasisi ya ndoa.Ndugu salam
Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo
Nayasema haya kwasababu
1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo
2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele
3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze
4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake
5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion
6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa
7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara
8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote
9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.
10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..
11: Hawatulii na mwanaume mmoja
12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi
13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani
14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi
15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo
16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.
17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako
KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Wanawake wajanja sana. Hapo watakusifia wewe ni gentleman, caring, understanding, n.k. Wakati moyoni wanakuona mjinga wa mwisho. 😂Kwa kukusaidia tu kwenye hiki kipengele maana kwa jinsi ulivyoandika unaonekana Bado uko plugged kwenye matrix.
Tafsiri yao ya wewe kukubali challenges iko tofauti kabisa na unavyofikiria wewe.... Yaani kwa upande wao mwanaume anayekubali challenges ni yule ambaye anakubaliana na mawazo yao,matakwa yao na kuyafuata kwa 100%..
na hakuna kitu kama maamuzi ya pamoja kwa Hawa modern women Bali Kuna Maamuzi yake, na usipofuata maamuzi yake utapewa tags zote za kishenzy kama vile caveman, pigheaded,stone ager, sexist, male chauvinist,bigot.
Kimsingi Mimi naona ungeweka clear kwamba mambo yamebadilika hivyo hatuna budi kukubali kuwa chini yao hili mambo yasiwe mengi na sio kuleta habari za maamuzi ya pamoja kwa Sababu hayapo kwa hii generation tuliyonayo.
Wewe utakuwa KE na sio ME na kama ni ME utakuwa umelishwa Limbwata unatembea tu kama bwege bila kujijua wakati mama yako na wadogo zako wanalalamika Kaka mkubwa Kalogwa, huku majirani wanakung'onga tu.Wewe ulilelewa katika mazingira ya mama kuzalishwa na kuwa mnaongea na baba kwa simu?
Aisee,Msifanyee hivyooo...Ndoa ni muhimu na fainali uzeeni...hivi professor J asingeoa ingekuwaje?..mkewwe alikuwa ndio msaidizi wake no moja...hata mie Kuna kipindi Mr alivunjika mguu..Mimi ndio nilikuwa comfort yake kubwaa..Ndoa ni muhimu aisee..chagueni walio sahihi
Tusipozungumza sisi tunaofurahia ndoa zetu hawa wapinga ndoa wataonekana wana hoja.. Kumbe ni watu wasio na akili .. Imeandikwa Ishini nao kwa akili.. Ukishindwa kuishi na Mwanamke basi wewe huna akili..Mkuu kamaa ulikutana na shetwain pole, sisi wengine tunajuta ni kwa nini hatuku oa mapema
haujaona suluhisho na amesema usioeHakika Mkuu wanawake wana dosari nyingi sana aisee, sio Single ladies tu hata wake za watu wenye kila kitu.
Unatoa suluhisho gani sasa ?
Kuna points hapa 👆🏻1) Wanaume wengi hatuna muonekano mzuri wa kushtua wanawake, wengi mionekano yetu mibovu au ya kawaida almost 80% of men fall in this category, wataalamu wa mapenzi wanasema on average, wanawake hawawapendi asilimia 80 ya wanaume wanaowaona.
2) Tamaa ya pesa
3)Ugumu wa maisha
4) Wanaume wengi tuna njaa ya ngono, wanaume tunaweza fanya almost chochote kwa ajili ya sex na wanawake wamechukulia iyo ni advantage
5) Previous relationship heartbreaks, mdada anaona bora adange Kelsea
Bora wewe umeamua kukaa kimaster. Mie kilichoniokoa ni MBIOHiyo no. 12 inamhusu mke wangu hadi imefikia sehemu nimeona nikae kimaster
Ndoa ni muhimu sana aise...Aisee,
The same to me Maisha ya kuvunjika mguu nilikua natawazwa sijiwezi.
Tulikua side by side
Nukuu ya baba wa taifa.
An""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI aMAUTI""