Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

Umeelezea vyema kabisa mkuu, modern women kuendana nae na uifurahie ndoa yapasa ukubali uhalisia mapema kabla hata ya kumpata na kumuoa vinginevyo utajitaftia matatizo matupu.
Asante sana mkuu tatizo vijana wenzetu Hawa wanaolia Lia humu asilimia kubwa ya changamoto zoa zimesababishwa na wao wenyewe bila kujua.

Mtu anaoa/kudate na mwanamke mwenye degree na exposure ya vitu Kibao, halafu eti anataka kuishi na mwanamke huyo kama ambavyo angeishi na Kuruthumu aliyeishia Form Four B Tena shule ya Kata.

Kama wewe unaamini kwenye patriarchy basi tafuta mwanamke ambaye amelelewa kwa kuamini kwenye mfumo dume(asili) mbona wapo?

Mwanamke A: hivi unajua kwenye jamii yetu wapo wanawake ambao wewe mwanaume ukimpa uhakika tu wa Kula ubwabwa na maharage Kila siku iendayo kwa Mungu halafu ndani Kuna king'amuzi Cha Azam ambapo Kila akimaliza kupika na kuosha vyombo anakuja kuangalia Sinema Zetu, yeye anaridhika kabisa na wewe mume wake atakutii na kukuona kama YESU na kamwe hawezi kukupa stress za aina yoyote ile?

Mwanamke B: Kwenye hii hii jamii yetu pia wapo wanawake ambao Kila wakilala na kuamka wanakuja na ndoto mpya au mitazamo mipya ya kimaisha.. na mwanamke huyu unakuta anawaza siku Moja kupitia career yake awe na uwezo wa kuzalisha angalau ajira 2,000 kwenye jamii yake na yeye asomeke kwenye FORBES MAGAZINE kama akina Folorunsho Akija, mwanamke huyo unakuta anapanga siku Moja aje afanye Space Tourism..na wanawake wa dizaini hii mahusiano kwao yemebeba sehemu ndogo sana.

Sasa kimbembe unakuta kijana ana muapproach mwanamke B halafu matarijio yake ni ya mwanamke A, Sasa ni nini kitatokea hapo kama sio mifarakano?
 
Inawezekana nilichoandika na nilichomaanisha ikawa tofauti!!

ok! Simama kama mwanaume, makubaliano ninayomaanisha hapo ni kuwataarifu.

Mfano; nimeamua kupeleka mtoto boarding school, namtaarifu huo uamuzi wa kumpeleka mtoto boarding school! Akileta hoja zake ndipo unampatia reasons, na si vinginevyo!!

Ukimpa mwanamke nafasi ya discussion toka mwanzo hutatoboa, mtaishia kulumbana kila leo!! Toa taarifa ASAP
Hapo Sasa nimekuelewa, na hivi ndivyo jinsi mwanaume unavyotakiwa kuishi.
 
Kwa hii situation nitakuambia usioe huyo mwanamke mwenye mtoto majuto yake ni mara mia zaido ya hao wa buku mbili wala bata ila kama unapenda amani zaa na mwanamke ambaye bado hajazalishwa alafu usiishi nae wewe tunza mtoto
Kijana wa buku bee anataka kuoa mshangazi wa 90s Tena single mom, halafu anajenga na hoja kabisa, aisee kweli hiki kizazi kinahitaji liberation kutoka kwenye pussy slavery
 
Asante sana mkuu tatizo vijana wenzetu Hawa wanaolia Lia humu asilimia kubwa ya changamoto zoa zimesababishwa na wao wenyewe bila kujua.

Mtu anaoa/kudate na mwanamke mwenye degree na exposure ya vitu Kibao, halafu eti anataka kuishi na mwanamke huyo kama ambavyo angeishi na Kuruthumu aliyeishia Form Four B Tena shule ya Kata.

Kama wewe unaamini kwenye patriarchy basi tafuta mwanamke ambaye amelelewa kwa kuamini kwenye mfumo dume(asili) mbona wapo?

Mwanamke A: hivi unajua kwenye jamii yetu wapo wanawake ambao wewe mwanaume ukimpa uhakika tu wa Kula ubwabwa na maharage Kila siku iendayo kwa Mungu halafu ndani Kuna king'amuzi Cha Azam ambapo Kila akimaliza kupika na kuosha vyombo anakuja kuangalia Sinema Zetu, yeye anaridhika kabisa na wewe mume wake atakutii na kukuona kama YESU na kamwe hawezi kukupa stress za aina yoyote ile?

Mwanamke B: Kwenye hii hii jamii yetu pia wapo wanawake ambao Kila wakilala na kuamka wanakuja na ndoto mpya au mitazamo mipya ya kimaisha.. na mwanamke huyu unakuta anawaza siku Moja kupitia career yake awe na uwezo wa kuzalisha angalau ajira 2,000 kwenye jamii yake na yeye asomeke kwenye FORBES MAGAZINE kama akina Folorunsho Akija, mwanamke huyo unakuta anapanga siku Moja aje afanye Space Tourism..na wanawake wa dizaini hii mahusiano kwao yemebeba sehemu ndogo sana.

Sasa kimbembe unakuta kijana ana muapproach mwanamke B halafu matarijio yake ni ya mwanamke A, Sasa ni nini kitatokea hapo kama sio mifarakano?
Ni lazima iwe shida sana kuishi na kuendana na mwanamke B
 
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Sasa tatizo upwiru, utaulalizia wapi?
 
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Wewe ulijizaa?
 
Tulishamuacha muasisi mkuu wa ndoa MUNGU then mnataka nini tena? Acha yatukute tu, haya mambo ya kila ndani ya miaka 3 mnaachna, upata mwingne then inakua hivo hivo, hata nguvu ya kupambn na umasikin inaisha, kucha kubadilisha mahusiano tu, mimi nimeshakata tamaa.
 
Asante sana mkuu tatizo vijana wenzetu Hawa wanaolia Lia humu asilimia kubwa ya changamoto zoa zimesababishwa na wao wenyewe bila kujua.

Mtu anaoa/kudate na mwanamke mwenye degree na exposure ya vitu Kibao, halafu eti anataka kuishi na mwanamke huyo kama ambavyo angeishi na Kuruthumu aliyeishia Form Four B Tena shule ya Kata.

Kama wewe unaamini kwenye patriarchy basi tafuta mwanamke ambaye amelelewa kwa kuamini kwenye mfumo dume(asili) mbona wapo?

Mwanamke A: hivi unajua kwenye jamii yetu wapo wanawake ambao wewe mwanaume ukimpa uhakika tu wa Kula ubwabwa na maharage Kila siku iendayo kwa Mungu halafu ndani Kuna king'amuzi Cha Azam ambapo Kila akimaliza kupika na kuosha vyombo anakuja kuangalia Sinema Zetu, yeye anaridhika kabisa na wewe mume wake atakutii na kukuona kama YESU na kamwe hawezi kukupa stress za aina yoyote ile?

Mwanamke B: Kwenye hii hii jamii yetu pia wapo wanawake ambao Kila wakilala na kuamka wanakuja na ndoto mpya au mitazamo mipya ya kimaisha.. na mwanamke huyu unakuta anawaza siku Moja kupitia career yake awe na uwezo wa kuzalisha angalau ajira 2,000 kwenye jamii yake na yeye asomeke kwenye FORBES MAGAZINE kama akina Folorunsho Akija, mwanamke huyo unakuta anapanga siku Moja aje afanye Space Tourism..na wanawake wa dizaini hii mahusiano kwao yemebeba sehemu ndogo sana.

Sasa kimbembe unakuta kijana ana muapproach mwanamke B halafu matarijio yake ni ya mwanamke A, Sasa ni nini kitatokea hapo kama sio mifarakano?
Kama kuna binti ana sifa za mwanamke A na anahitaji permanent relationship. I'm really ready for her[emoji7]
 
Tulishamuacha muasisi mkuu wa ndoa MUNGU then mnataka nini tena? Acha yatukute tu, haya mambo ya kila ndani ya miaka 3 mnaachna, upata mwingne then inakua hivo hivo, hata nguvu ya kupambn na umasikin inaisha, kucha kubadilisha mahusiano tu, mimi nimeshakata tamaa.
Mkuu sio wewe uliyekata tamaa, hata mimi sioni kama ntakuja kuoa,nafkiria ni bora kuwa na watoto, niwe mlezi nkishirikiana na mama yao.
 
Msifanyee hivyooo...Ndoa ni muhimu na fainali uzeeni...hivi professor J asingeoa ingekuwaje?..mkewwe alikuwa ndio msaidizi wake no moja...hata mie Kuna kipindi Mr alivunjika mguu..Mimi ndio nilikuwa comfort yake kubwaa..Ndoa ni muhimu aisee..chagueni walio sahihi
Mpaka update huyo aliye sahihi sasa
 
Back
Top Bottom