tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Sio ndogo,vijana tumefika ukingoni hatuna namnaAisee...kazi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ndogo,vijana tumefika ukingoni hatuna namnaAisee...kazi kweli kweli
Hii mada ya vijana isikuingize mkengeMimi ni msabato na huwa naenda katika jumuhiya itakuwa ngumu kuzalisha wanawake bila kuoa.
.
I wanda!Naona malaika wa kuzimu wako kikaoni😂😂😂
Vipi mnatumia vinywaji gani?
Kabisa kaka Wanawake ni washenzi mnooMkuuuu wanawake hawafai tuishi nao kwa akili usimuamini mwanamke kk
Kwani we si mwanamke lini umekuwa mwanaume tena ? Au ndo mambo ya JF jinsia zinabadilika kulingana na Mada husikaYani mwanaume niache kufikiria suala la kuoa? Kuoa lazima nioe, ukiona hutaki kuoa ujue siku si nyingi utataka kuolewa
Acha kututisha ...Ndugu salam
Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo
Nayasema haya kwasababu
1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo
2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele
3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze
4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake
5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion
6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa
7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara
8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote
9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.
10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..
11: Hawatulii na mwanaume mmoja
12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi
13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani
14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi
15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo
16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.
17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako
KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Na wewe unajuta kuoa?Taasisi mama ya NDOA inazidi kuporomoka na kupoteza maana.....mimi mwenyewe simlaumu mtu ambaye hajao na simshauri mtu kuoa labda aaamue mwenyewe..... maana balaa lake sio dogo
Bado ndoa changa ndio mana anasema amechelewaHifadhi hii comment yako ukizeeka urudi hapa kuirekebisha
Hata kushauri atakumalizia kabisa kwa mawazoTusipooa mkuu, nani atatufariji siku zetu za mwisho mwisho tukiwa hoi kitandani , huku kifo kikiwa karibu kabisa chini ya mvungu wa kitanda?