Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

Acheni uwoga acheni kulialia...

Yote uliyosema mleta mada ni ukweli mtupu, ila NASEMA ukishazaliwa Mwanaume wewe ni askari acha kulialia tafuta Kitu kinaitwa NGUVU ZA KIROHO hapo ndio hao tunaowalalamikia wametuzidi.

Ni kwamba kitendo Cha kufanya mapenzi mara 2 au 3 na Mwanamke na wewe huna hesabu ya kumuoa na Yeye akawa ameshaona wewe ndiye MUME wake...

Mkuu nakuhakikishia hujinasui, unanasa, katika upande wa kiroho atakuzidi nguvu.

Unachopaswa ni kutafuta nguvu za kiroho, sababu kuoa ni lazima na kama huoi uwe na uhakika utaishi na Mwanamke atakayekulazimisha uishi naye bila ridhaa yako...
Nguvu zipi za kiroho Mkuu fafanua vizuri hizi roho za Kwa Mwamposa au kwa Mashehe au za makanisani ??? Nguvu za mizimu na majini ?🤔
 
Wanawake wa kuoa bado wapo tatizo linaanzia kwetu tunataka mshape huo, awe pisi Kali + vidato vikubwa

Kitu ambacho ni mhimu zaidi tutafute waaminifu siyo wakamilifu
Mimi Nina miaka 24 nimepata binti 1997 anamiaka 27 na anamtoto wa miaka 5 anasema bwana wake alimpa mimba miaka hiyo 2019 na hajawah kuongea hadi Leo kwa mujbu wa mwanamke anasema hajui aliko mtoto a nalelewa na bibi yake mama ake binti
Lakini nilichokiona kwake kuna stage kashazivuka ametulia

Tatzo la hawa 2000 wenzangu kushuka chini Yan Kila naemtaka anakwambia umri bado wanataka wale bata kwanza so kwa hii situation utasemaje
 
Mimi Nina miaka 24 nimepata binti 1997 anamiaka 27 na anamtoto wa miaka 5 anasema bwana wake alimpa mimba miaka hiyo 2019 na hajawah kuongea hadi Leo kwa mujbu wa mwanamke anasema hajui aliko mtoto a nalelewa na bibi yake mama ake binti
Lakini nilichokiona kwake kuna stage kashazivuka ametulia

Tatzo la hawa 2000 wenzangu kushuka chini Yan Kila naemtaka anakwambia umri bado wanataka wale bata kwanza so kwa hii situation utasemaje
Kwenye maamuzi yakuoa ushirikishe wazee mfano wanawake wanafahamiana vzr,
Kuhusu huyo mwanamke uliyemuelewa vuta pumzi Kwanza huo mlima ni mrefu mno kijana
 
Kwenye maamuzi yakuoa ushirikishe wazee mfano wanawake wanafahamiana vzr,
Kuhusu huyo mwanamke uliyemuelewa vuta pumzi Kwanza huo mlima ni mrefu mno
Sina mama alishafariki Ila baba Ila ndugu zake wale mama wakubwa wenyewe wanaamini mtu kuoa ni mpaka miaka 30 binafsi mimi tangu nimefikisha miaka 19 mara nyingi nakula bitches/malaya nashukuru Mungu nimekaribia kuvuka foolish age Yan miaka 25 Bila magonjwa ndio maana natamani niwe na mtu permanent Ila kwa hawa 2000 weng bado hawahitaji yale mapenz yakusettle
 
Back
Top Bottom