Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

Ili mambo yawe shwari ni lazima wanaume tukubali ukweli kuwa kwa sasa mambo yamebadilika!! Tukubali Challenges toka kwa wake zetu, tuzijadili na kuziweka sawa!! Maamuzi yawe ya pamoja na nk
Kwa kukusaidia tu kwenye hiki kipengele maana kwa jinsi ulivyoandika unaonekana Bado uko plugged kwenye matrix.

Tafsiri yao ya wewe kukubali challenges iko tofauti kabisa na unavyofikiria wewe.... Yaani kwa upande wao mwanaume anayekubali challenges ni yule ambaye anakubaliana na mawazo yao,matakwa yao na kuyafuata kwa 100%..

na hakuna kitu kama maamuzi ya pamoja kwa Hawa modern women Bali Kuna Maamuzi yake, na usipofuata maamuzi yake utapewa tags zote za kishenzy kama vile caveman, pigheaded,stone ager, sexist, male chauvinist,bigot.

Kimsingi Mimi naona ungeweka clear kwamba mambo yamebadilika hivyo hatuna budi kukubali kuwa chini yao hili mambo yasiwe mengi na sio kuleta habari za maamuzi ya pamoja kwa Sababu hayapo kwa hii generation tuliyonayo.
 
Lakini pamoja na mambo yote ya kuogofya yanayoendelea kwenye Tasinia nzima ya mahusiano, binafsi naona Bado mtu akiamua kuoa na kuifurahi ndoa inawezekana....

Ni aina tu ya uchaguzi wa mwanamke unaoufanya.

Ukichunguza kwa makini utagundua hii mifarakano tunayoiona kwenye mahusiano siku hizi ni kutokana na sisi wanaume kuchagua wanawake ambao hawana Tena zile characters au mienendo tunayoitaka.

Wengi tunataka mwanamke ambaye yuko obedient, mwenye nidhamu, atakaeyapa kipaumbele mahusiano yetu na asiyekuwa na tamaa za mambo makubwa makubwa yaliyo nje ya uwezo wetu.... Na mara nyingi wanawake wa dizaini hii hawapo mijini maana Hawa ni conservative women wanapatikana vijijini hukoooo...

Hapa mjini wamejaa modern women ambao ndio Wana hizi sifa ulizozitaja hapa.

Kinachowatesa wanaume wengi ni kumchukua modern woman akitegemea kwamba atakuwa na sifa au ataishi kama conservative traditional women.... Mwisho wa siku anakuja kuwa disappointed tu.

Hawa modern women nao pia wana wanaume wao wanaowafaa na ndio maana pia wanaolewa,.. Hawa modern women hili uweze kuishi nao basi yakupasa uwe gynocentrised kama walivyo akina Tsh na Half american na sio wewe mwenzangu na Mimi ambaye Bado una traditional masculine elements.

Ukitaka kuoa na uishi na furaha basi oa mwanamke ambaye ataithamini ndoa na ataiona ndoa inabeba sehemu kubwa ya maisha yake na siku zote ataipigania kuilinda kiroho na kimwili na huwezi kumkuta na sifa hata moja kwenye hizi ulizozitaja hapa na mwanamke huyo ni traditional conservative woman.

Hawa modern women ndoa kwao ni kitu Cha ziada sana na hawaoni ajabu kuipoteza hata kama Ina wiki mbili, wao career na kutafuta hela katika mazingira yoyote Yale ndio kitu kilichopo akilini mwao na kwanza hata kwenye ndoa hizo ndoa zenyewe huwa wanaingia kimikakati kutimiza malengo yao binafsi.

Kwa hiyo kuwa na ndoa yenye furaha kwa Karne hii ni jambo ambalo Bado linawezekana kabisa.
 
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Ulivyomaliza kuandika huu Uzi ulilipwa shingap na wasio oa ??
 
Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo
Kama haujaoa unataka uzeeke ili iweje? hata ukifa mapema ni sawa tuu.
 
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
FACT💯💯
 
Haya ndo nayaona kwa huyu niliyenaye hakika
Ondoka mapema.mkuu usije kufa mapema ..hii ishu ni siriaz sana ..saiv bora mtu ukae mwenyewe tu ufanye ishu zako kivyakovyako ..uwasaidie wazaz wako na wasiojiweza baaaas,pia furaha unatakiwa kujiletea mwenyewe na sio kusubiri kupewa..mwanamke pekee anayetakiwa kukuumiza ama kukuletea furaha katika dunia hii ni mama yako tu.
 
Ondoka mapema.mkuu usije kufa mapema ..hii ishu ni siriaz sana ..saiv bora mtu ukae mwenyewe tu ufanye ishu zako kivyakovyako ..uwasaidie wazaz wako na wasiojiweza baaaas,pia furaha unatakiwa kujiletea mwenyewe na sio kusubiri kupewa..mwanamke pekee anayetakiwa kukuumiza ama kukuletea furaha katika dunia hii ni mama yako tu.
Katiba ya united republic of nyeto ndio inasoma hivyo?
 
18. Hawana uvumilivu ukiyumba kiuchumi tu umekwisha utaiona rangi ya upande wa pili!!
________

Ilivyo ni kwamba saikolojia ya mwanamke imebadilika, siyo ile ya kila kitu "ndiyo mume wangu."

Saikolojia ya mwanaume imebak8 pale oale kuwa yeye ni kichwa cha nyumba, anihitaji heshima, adabu na utii!! Ugomvi unaanzia hapa!! Hata wewe mwenye mtoto wa kike utakuwa shahidi kuwa unaandaa mwanamke mpambanaji na si mtoto atayekuwa mke bora!!

Ili mambo yawe shwari ni lazima wanaume tukubali ukweli kuwa kwa sasa mambo yamebadilika!! Tukubali Challenges toka kwa wake zetu, tuzijadili na kuziweka sawa!! Maamuzi yawe ya pamoja na nk

Saikolojia ya Mwanamke imebadilika au imebadilishwa?

Usiwadanganye Vijana kuwa Kuna familia ya Maamuzi ya Pamoja HAIPO.

Kuna ile Familia Baba ndio kichwa Anatoa yeye maamuzi na anapokea Ushauri kutoka kwa Mkewe au hata watoto kama watakuwa tayari wakubwa. (Familia za mababu zetu)

Alafu kuna ile Familia Mama ndio Mwenye Sauti na Baba Anakuwa DUME BWEGE kila kitu yeye Sawa. (Familia wanazozitaka hawa wanawake Wa Sasa Wanaharakati).

Ukiwasikia Wanawake wanadai haki sawa, Jua sio Haki sawa Wanataka wao Kuwa Juu. Usidhani Harakati zao za Usawa Zitasimama endapo Huo Usawa Ukipatikana.

Bado watataka Waendelee Kudai usawa Hata kama Wao ndio Watakuwa Wapo Juu zaidi (Na hili limeshaanza kujitokeza)

Utakapo msikia Mkeo anataka Usawa ndani ya Familia Jua anamaanisha anataka wewe uwe Chini yake.

Na Ukishaona Unaanza Kufanya maamuzi ya pamoja na Mwanamke Jua wewe Ndio Unastahili zaidi Kuitwa MWANAMKE.

By the way Mimi Sikatazi vijana wasioe Kwa sababu Dini zetu zinahalalisha Mahusiano na Tendo la ndoa Kupitia Mkataba maalum wa NDOA.

Ila Nawasisitiza Vijana Zijue Ishara za mwanamke mwenye Idea za Ki feminism kisha Ukiziona kwa Mwanamke mkimbie.

Na ikiwezekana Kabla hujamuoa mpe Hints juu ya jambo hilo na Weka misimamo yako mapema (Acha Kujidai eti wewe ni Gentleman,, utakufa kwa pressure)

Na Usione Uzito Kuachana na Mwanamke punde tuu Anapoanza kuonesha makucha ya Ufeminism.

Hutopata maisha ya Amani na Feminist.
 
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Kweli ila kuoa ni faladhi (lazima) lakini umesema ukweli
 
Lakini pamoja na mambo yote ya kuogofya yanayoendelea kwenye Tasinia nzima ya mahusiano, binafsi naona Bado mtu akiamua kuoa na kuifurahi ndoa inawezekana....

Ni aina tu ya uchaguzi wa mwanamke unaoufanya.

Ukichunguza kwa makini utagundua hii mifarakano tunayoiona kwenye mahusiano siku hizi ni kutokana na sisi wanaume kuchagua wanawake ambao hawana Tena zile characters au mienendo tunayoitaka.

Wengi tunataka mwanamke ambaye yuko obedient, mwenye nidhamu, atakaeyapa kipaumbele mahusiano yetu na asiyekuwa na tamaa za mambo makubwa makubwa yaliyo nje ya uwezo wetu.... Na mara nyingi wanawake wa dizaini hii hawapo mijini maana Hawa ni conservative women wanapatikana vijijini hukoooo...

Hapa mjini wamejaa modern women ambao ndio Wana hizi sifa ulizozitaja hapa.

Kinachowatesa wanaume wengi ni kumchukua modern woman akitegemea kwamba atakuwa na sifa au ataishi kama conservative traditional women.... Mwisho wa siku anakuja kuwa disappointed tu.

Hawa modern women nao pia wana wanaume wao wanaowafaa na ndio maana pia wanaolewa,.. Hawa modern women hili uweze kuishi nao basi yakupasa uwe gynocentrised kama walivyo akina Tsh na Half american na sio wewe mwenzangu na Mimi ambaye Bado una traditional masculine elements.

Ukitaka kuoa na uishi na furaha basi oa mwanamke ambaye ataithamini ndoa na ataiona ndoa inabeba sehemu kubwa ya maisha yake na siku zote ataipigania kuilinda kiroho na kimwili na huwezi kumkuta na sifa hata moja kwenye hizi ulizozitaja hapa na mwanamke huyo ni traditional conservative woman.

Hawa modern women ndoa kwao ni kitu Cha ziada sana na hawaoni ajabu kuipoteza hata kama Ina wiki mbili, wao career na kutafuta hela katika mazingira yoyote Yale ndio kitu kilichopo akilini mwao na kwanza hata kwenye ndoa hizo ndoa zenyewe huwa wanaingia kimikakati kutimiza malengo yao binafsi.

Kwa hiyo kuwa na ndoa yenye furaha kwa Karne hii ni jambo ambalo Bado linawezekana kabisa.
Umeelezea vyema kabisa mkuu, modern women kuendana nae na uifurahie ndoa yapasa ukubali uhalisia mapema kabla hata ya kumpata na kumuoa vinginevyo utajitaftia matatizo matupu.
 
Ndugu salam

Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo

Nayasema haya kwasababu

1: Wanawake wa sasa kwenye uchumba wanakuonyesha ni wema kumbe ndani yao ni chui waliovalia ngozi ya kondoo

2: Wanawake wa sasa hawana heshima wanaushindani mkubwa sana na wanaume, hawasikilizi wala hawaelewi kitu hata iwaje atashindana na wewe tuu na hawezi kukuelewa hata ukiwafungia kengele

3: Wanawake , Wamejiweka katika nafasi ya mbaya sana ya usawa na kua wa kwanza kwenye kila kitu wanataka kila kitu uanze kumfanyia wewe hata wakati mwingine mkiamka asubuhi anataka wewe ndiye uwe unaanza kumjulia hali na siyo yeye, wamejificha na kusema wote ni sawa, ukiwelekeza sana atakuambia basi muwe mnajuliana hali ila atataka wewe uanze

4: Ni wabishi sana kupita kiasi hata kama unacho mwelekeza ni cha kumsaidia wao wenyewe bado watabishana na wewe tuu taka usitake

5: Hawana adabu wala hofu yeyote na mwanaume na hofu ya Mungu imepotea ndani yao, kwao kuachana na mwanaume ni fasion

6: Hawaogopi kuvunja ndoa ,watoto kutawanyika na hawajali chochote kuhusu maisha baada ya ndoa

7: Hawana stara wala namna ya kumpokea mwanaume , hata kimaongezi hawana stara

8: Utii midomoni kwao wanakubali ila kimatendo wanasema ni unyanyasaji kamwe hawawezi kukutii kwa namna yeyote

9: Wanasema wanataka amani ila sivyo wao watakua ni chanzo cha kuvuruga amani na kuhakikisha mnaishi kwa mikiki mikiki.

10: Siyo wasikivu kabisa hata iwaje, watajifanya wana kusikiliza kumbe unakua kama unapigia ng'ombe gitaa..

11: Hawatulii na mwanaume mmoja

12: Daima atataka akuendeshe yeye na akutawale , kila kukicha atahakikisha ana kudhohofisha kiakili na kihisia ili akutawale kirahisi

13: Utakapo mwacha nyumbani na wewe unaenda kutafuta hela yeye atatumia huo muda kupanga mashambulizi na ugomvi zaidi yako pindi utakapotoka kwenye mihangaiko na kurudi nyumbani

14: Watajifanya wanaumwa ili uingie kwenye 18 zao na usipo ingia atakuambia hauna Utu ili akulainishe na usipo lainika watajifanya tena wanaumwa na hatofanya chochote wala kuandaa chakula ili akupime mwisho wako ni upi

15: Wanawake wa sasa ni wabinafsi mno kupita kiasi hata kama anacho na wewe umekosa hawezi kutoa cha kwake kitumike na akitoa atakudai na usipo mlipa atatafuta namna ya kukulipizia kwa lawama au kwa vitendo

16: Ni wezi sana wa hela za familia /mwanaume atakudanganya kwenye matumizi ukiingia hovyo yeye atajikusanyia mahela na kujijenga yeye mwenyewe.

17: Wanawake wa sasa wana visasi na kisirani kikali mno visivyo na mpangilio wakishindwa kukulipizia ukiwa na nguvu watasuburia ufike uzeeni au uugue . Pindi unahitaji msaada wake atatumia fursa hiyo ili akulipizie kisawasawa mpaka ufe ,akuzike na umwache atambe na mali zako

KIJANA AMBAYE HUJAOA NA UNAPENDA AMANI YAKO YA MOYONI KAMWE USIOE KAMA KWELI UNASHIDA YA KUA NA WATOTO TAFUTA MWANAMKE ANAYEPENDA WATOTO NA AMBAYE BADO HAJAZALISHWA KUA WA KWANZA KUMZALISHA ALAFU WEWE ENDELEA NA HARAKATI ZAKO, NDOA AU KUISHI NA MWANAMKE KWA KIPINDI HICHI HAZINA MAANA TENA HATA KIDOGO
Huoni na ww unaharibu maana,kwa kutengeneza single mother unakuja kutengeneza product ya watoto ambao watakuja kuwa na tabia za hovyo kuliko wewe na huyo mwanamke uliye mzalisha.

kweli siku hizi ndoa zinachangamoto tena kubwa sana,moja ya sababu vijana makuzi hawajapitia kwenye mifumo ya jando na unyago, pili wengine wamelelewa na single parents au wamekosa kuona upendo kupitia ndoa za wazazi wao,tamaa za vijana kundekeza hela mbele na mabinti kupoteza usichana wao mapema.

Ila still haindoi umuhimu wa ndoa na ndoa sio kwa ajili ya wanawake, japo vetting ya kupata mke mwema ni ngumu mno sana ila wanawake wenye tabia nzuri wapo japo ni wachache.

Hiki kizazi cha single parent tunacho kutengeneza, ndicho kitakuja kuwa kizazi kibaya mno sababu, kimekosa upendo,hakijui nini maana ya familia, hakina hisia ya upendo,hakijui wajibu wake kama yy atakuja kuwa nani kwenye familia. Still bado ndoa ina umuhimu wake wa kujenga familia na kizazi kilicho bora.
 
18. Hawana uvumilivu ukiyumba kiuchumi tu umekwisha utaiona rangi ya upande wa pili!!
________

Ilivyo ni kwamba saikolojia ya mwanamke imebadilika, siyo ile ya kila kitu "ndiyo mume wangu."

Saikolojia ya mwanaume imebak8 pale oale kuwa yeye ni kichwa cha nyumba, anihitaji heshima, adabu na utii!! Ugomvi unaanzia hapa!! Hata wewe mwenye mtoto wa kike utakuwa shahidi kuwa unaandaa mwanamke mpambanaji na si mtoto atayekuwa mke bora!!

Ili mambo yawe shwari ni lazima wanaume tukubali ukweli kuwa kwa sasa mambo yamebadilika!! Tukubali Challenges toka kwa wake zetu, tuzijadili na kuziweka sawa!! Maamuzi yawe ya pamoja na nk


Ukisikia “theory” I siyo na uhalisia ndo ulichoandika hapa!!!!

Hakuna mwanaume ajadili na mwanamke na kujaribu kutatua changamoto!

Wanawake ni Changamoto kubwa sana huku ulimwenguni kwetu
 
Back
Top Bottom