Kijana ambaye hujaoa kamwe usifikirie kuoa

Naona malaika wa kuzimu wako kikaoniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Vipi mnatumia vinywaji gani?
I wanda!

Binafsi ningeweza kushauri wanawake wasiolewe Kwa mambo ninayoyaona mitaani! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila sababu i am not bitter with life, acha kila mtu afanye choice yake atakayepata apate, atakayekosa awe mwanafalsafa au ahamie kwa mwamposa kusugua goti.

Unless waje tuolewe na huyu wa β€œkwangu” tutakuwa salama.

Wanaume wanapata wapi confidence ya kutuona wanawake tuna matatizo kiasi hiki? okay i get it β€œsababu wao si wanawake” Wangekuwa wanawake wangejua β€œwanaume wana matatizo kiasi gani”

Point #11 nimechekaaa! kweli meza imepinduka!
 
Umeongea ukweli mtupu kaka
Yan ni ukwel mtupu kabisa kabisa
Wanawake ndio adui mkuu namba moja wa mwanaume
Hakisawa zimewadanganya
Sio wasikivu
Hawajui mahali pao
Wapishi
Wapo kimaslahi
Malaya
Hawaridhiki
Wanaakili ya kugawana mali tu

Dunia nzima ipo kumkandamiza mwanaume kila mahalu
Na mwanamke akiinuliwa kupitiliza hata io 50%

Tuliuzwa na wanaume wenzetu kwenye sheria

Na ibilisi ndie aliye nyuma ya wanawake
 
Acha kututisha ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…