Wacha wenye ujasiri wawachome tu ili kutuwakilisha sisi wengine ambao hatukubahatika kuwa na ujasiri huo. Binafsi siwezi kufanya hivyo.Wizi ni kitu kibaya sana; achomwe tu hakuna namna. Kama mtu hujawahi kuibiwa unaweza kumuonea huruma lakini kwa wale tuliowahi kuibiwa tunafahamu fika uchungu wa kuibiwa unavyouma. Achomwe tu ili liwe fundisho kwa wezi wengine kama yeye.
Live Kuna siku nimepanda Mwendokasi nilikuwa na Kibegi cheusi Mgongoni na Pesa niliweka kwenye Wallet Ile kuingia Tu ndani ya Bus begi limefunguliwa na kusachiwa, kuangalia Sura zilizopo nyuma Yangu huwezi dhania hata mmoja wote ni wale vijana smart body ya Kishua watoto wa Posta ila waliambulia Maratasi ya Maaandazi.usije ukadanganyika na sura za watu mjini utalizwa mchana kweupeeee.
Ushawahi skia stori za mbokoo, kaka mjusi, msela nunda hao wote nimekutajia walikua kazi chafu sana hapa mjini ila ukionyeshwa ndio wale unaweza sema wanasingiziwa.
Dunia ya sasa wahalifu wanajiweka smart sana huwez hata mdhania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Live Kuna siku nimepanda Mwendokasi nilikuwa na Kibegi cheusi Mgongoni na Pesa niliweka kwenye Wallet Ile kuingia Tu ndani ya Bus begi limefunguliwa na kusachiwa, kuangalia Sura zilizopo nyuma Yangu huwezi dhania hata mmoja wote ni wale vijana smart body ya Kishua watoto wa Posta ila waliambulia Maratasi ya Maaandazi.
Kwa hyo unataka kusema imekaa kimasanja??Dogo kala mke wa mtu anaitwa Mage week nne zimepita now am connecting The dots
wewe weka usiogope,sentro yupo kakaangu ntamshtua utatoka[emoji28][emoji23]Unanitafutia ban na kuitwa sentro wewe.
[emoji28][emoji23]dah!Polisi wa sku hizi ni wasenge sana,,unaeza enda polisi wakakukamata wakakuweka ndani sa unajiuliza kosa lako nini???[emoji849]
Naomba unitumie PM.Aisee!! na Wananchi wanazidi kuuchochea moto uwake vizuri.
Hilo Tyre walilimvika saizi ishirini yaani liungue mpaka liishe atabaki ni majivu tu.Naomba unitumie PM.
Kama umewah8 kuingia kwenye 18 za wezi, huwezi kumuonea huruma mwizi anapoadhibiwa.
Wengi wanaodili na hio biashara huwa wanapewa mpaka order hadi 1.5 mills.
Anaweza kuifata gari hadi Tunduma huku anaiwinda kila Dereva anapochoka na kulala mpaka atakapofanikiwa au aambulie holaa!
Dereva akiwa mlevi mlevi na mpenda nyapu hapo ndipo anawekewa Diazepam.
Mimi huwa nikiona kuna watu siwaelewielewi huwa naenda kulala porini kabisa.
Wezi wa siku hizi wanaenda hadi barbershop kufanya scrubMbona mtanashati, au kasingiziwa na jamaa aliekuwa anampigia?
Waliondoka na gari, kama gari, hawana huruma hawa.Waliiba gari kama gari au walichomoa vifaa kama Radio,Taa, Power Window nk
Wizi unalipa asikwambie mtu, ila huu mdogo mdogo wa kukwapua kwapua huwa mwisho wake ni kuuwawa kinyama.Wezi wa siku hizi wanaenda hadi barbershop kufanya scrub
Ila wezi sa hiv wapo kasi sana....Moe hapa napoish Jana tu nmelala nasikia mtu anatembea usawa wa dirisha langu sa nane usiku nkajiongelesha we hata usijisumbue kunyata we tembea kwa nguvu me nipo macho nakusikia eeeh alitoka ndukiWizi unalipa asikwambie mtu ila huu mdogo mdogo wa kukwapua kwapua huwa mwisho wake ni kuuwawa kinyama.
Nunua maji makali ya betrii za magari ili akianza kutoboa dirisha unamuogesha usoni.Ila wezi sa hiv wapo kasi sana....Moe hapa napoish Jana tu nmelala nasikia mtu anatembea usawa wa dirisha langu sa nane usiku nkajiongelesha we hata usijisumbue kunyata we tembea kwa nguvu me nipo macho nakusikia eeeh alitoka nduki
Ulitaka wampeleke polisi, alafu atoe pesa kule, atoke aingie tena mtaani kuliza watu.Inaumiza sana, lakini huo ukatili we unaonaje, huu waliofanya ni ushetani ambao hata shetani mwenyewe hajaufikia bado, yaani devil anaomba poo mwenyewe
Brother hiyo video hatari mpaka tairi liishe hakuna kitakachobakiNunua maji makali ya betrii za magari ili akianza kutoboa dirisha unamuogesha usoni.