The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Upendo wa mama pia ni muhimu sana,Mungu hakukosea kutengeneza Unit kati ya mwanaume na mwanamke kisha watoto wapatikane.Vipi mtoto akiishi na baba tu?
rahisi ni ghali sio 🐒Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .
Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake
Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.
Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa
Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.
Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Mzee unajaza kichwa chako na hizi stori za mitandaoni tuKweli damaged women bakini nao, ila wanaume wema wawaepuke kama ukoma.
Hamna naona in real life, sio mtandaoni tu.Mzee unajaza kichwa chako na hizi stori za mitandaoni tu
Tumia kichwa hilo
Sio kila single parent kajisababishiav
Tunaendana mkuu.Mmmhhh demu wako kitumbua kikubwa
Wa Dada pia chukueni hii, kubali mwanaume ambae yupo kwenye peak yakeHaijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .
Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake
Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.
Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa
Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.
Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
😊😊🤸Sisi ndio tukooooo
Duh! Aisee 🤔B2B MIDFIELDER (BED TO BED MIDFIELDER):
Hawa ni wanawake ambao waliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja, wamebadilisha vitanda vingi na sifa zao ni hizi:
1) Wanachukia ukiwa mwema sana. Ukiwa mwema wanakuona dhaifu kutokana na historia ya wao kuumizwa kwenye mahusiano .
2) Wanapenda attention za wanaume.
3) Wanapenda kuumizwa kihisia, ndo wanaona wanapendwa.
4) Wanapenda mwanaume akiwa indifferent kuonyesha wana options.
5) Ukiwacheat , wanabaki kwenye mahusiano licht ya kwamba baada ya cheating uliwadhalilisha , wao wanaona una thamani kubwa mpaka mwanamke mwingine kakubali kulala nawe.
6) Asilimia kubwa wanazaa watoto na badboys. Alafu wanataka wanaume wema walee watoto wao.
7) Wanachukia mwanaume kuwa romantic.
8) Ni wasaliti wa kukubuhu.
Kama ni mwanaume mwema kaa mbali nao.
Hawa akina kante unamaanisha nini mkuu(B2B)Uko sahihi.
Mwanaume mwema usioe mwanamke juu ya umri wa miaka 25.
Maana wanawake wa aina hiyo huwa wanataka kuokolewa, watakubali kuolewa nawe kwasababu ya unachoprovide. Wasingekuchagua kama wangekuwa na umri chini ya hapo.
Mwanamke anayekupenda kuanzia miaka 18-24 kwa jinsi ulivyo muoe.
Pia kaa mbali na B2B midfielders.
Mchunguze, jua maisha yake ya nyuma, usimuoe bila kujua past yake. Past matters.
Peak ya mwanaume inaanza miaka 30- na kuendelea .Wa Dada pia chukueni hii, kubali mwanaume ambae yupo kwenye peak yake
Duh mlikubaliana kikao kipi haya majina😃mbona nimepitwa sanaB2B MIDFIELDER (BED TO BED MIDFIELDER):
Hawa ni wanawake ambao waliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja, wamebadilisha vitanda vingi na sifa zao ni hizi:
1) Wanachukia ukiwa mwema sana. Ukiwa mwema wanakuona dhaifu kutokana na historia ya wao kuumizwa kwenye mahusiano .
2) Wanapenda attention za wanaume.
3) Wanapenda kuumizwa kihisia, ndo wanaona wanapendwa.
4) Wanapenda mwanaume akiwa indifferent kuonyesha wana options.
5) Ukiwacheat , wanabaki kwenye mahusiano licht ya kwamba baada ya cheating uliwadhalilisha , wao wanaona una thamani kubwa mpaka mwanamke mwingine kakubali kulala nawe.
6) Asilimia kubwa wanazaa watoto na badboys. Alafu wanataka wanaume wema walee watoto wao.
7) Wanachukia mwanaume kuwa romantic.
8) Ni wasaliti wa kukubuhu.
Kama ni mwanaume mwema kaa mbali nao.
Nanda uzi #34 nimeelezea bro.Hawa akina kante unamaanisha nini mkuu(B2B)
Nimeona kakaNanda uzi #34 nimeelezea bro.
Nope kigezo kimoja tu kinachohakikisha 100% mwenzi hatochepuka.Hamna naona in real life, sio mtandaoni tu.
Kuna single mom kaolewa , juzi kati tu hapa aliyemzalisha alikuwa anamla then anarudi nyumbani kwa mume wake.
Hawafai kabisa. Promiscuous.