Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Uko sahihi.
Mwanaume mwema usioe mwanamke juu ya umri wa miaka 25.

Maana wanawake wa aina hiyo huwa wanataka kuokolewa, watakubali kuolewa nawe kwasababu ya unachoprovide. Wasingekuchagua kama wangekuwa na umri chini ya hapo.

Mwanamke anayekupenda kuanzia miaka 18-24 kwa jinsi ulivyo muoe.

Pia kaa mbali na B2B midfielders.
Mchunguze, jua maisha yake ya nyuma, usimuoe bila kujua past yake. Past matters.
Sijaelewa B2B ina maana gani mkuu
 
Kumbe ulikua hujaona!😂🤸
Kwa hilo pose kweli upendo upo kati yao

Katika siku zote ambazo DR HAYA LAND alipandisha nyuzi, leo nimeona ameongea point
point gani

kwani hamna namna nzuri ya kuwasilidha mada bila kejeli?
Binafsi naona na personal grudges na single maza basi anataka kila mwanaume awachukie but why?
 
Ila ukikaa na hawa wadada wana story nyingi sana behind,wengine wameonewa sana.

Nina rafiki yangu mmoja (jirani)aliniomba niwe naongea na mtoto wake tu kwa simu na awe anakuja home weekend kucheza na wanangu just kujifunza.

Siku nikakuta mtoto ananiita baba kama wanangu wananvyo niita aisee wife alinikata jicho hiyo siku.

Tunawaumiza hawa watu kama huna malengo na mtu usimzalishe wanaumia sana hawa viumbe wasio na hatia wengine.
 
Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .

Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake

Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.

Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa

Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.

Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Wanawake wenyewe wanaona kuwa baba wa kambo ni udhaifu.
DR HAYA LAND

Wanawake wanajua wanachokifanya , Usileee mtoto asiye wako, sio jukumu lako.
 

Attachments

  • GN8dZQmWIAEAOqP.jpeg
    GN8dZQmWIAEAOqP.jpeg
    27.1 KB · Views: 4
Ila ukikaa na hawa wadada wana story nyingi sana behind,wengine wameonewa sana.

Nina rafiki yangu mmoja (jirani)aliniomba niwe naongea na mtoto wake tu kwa simu na awe anakuja home weekend kucheza na wanangu just kujifunza.

Siku nikakuta mtoto ananiita baba kama wanangu wananvyo niita aisee wife alinikata jicho hiyo siku.

Tunawaumiza hawa watu kama huna malengo na mtu usimzalishe wanaumia sana hawa viumbe wasio na hatia wengine.
sure mkuu wanaosababisha single maza ni hawa hawa wanaume wanaokuja hapa kukejeli

but as saying mtoto ni wa mwanamke basi sijui wanajionaje yaani 😅😅😅
 
Sijaelewa B2B ina maana gani mkuu
B2B MIDFIELDER (BED TO BED MIDFIELDER):

Hawa ni wanawake ambao waliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja, wamebadilisha vitanda vingi na sifa zao ni hizi:

1) Wanachukia ukiwa mwema sana. Ukiwa mwema wanakuona dhaifu kutokana na historia ya wao kuumizwa kwenye mahusiano .

2) Wanapenda attention za wanaume.

3) Wanapenda kuumizwa kihisia, ndo wanaona wanapendwa.

4) Wanapenda mwanaume akiwa indifferent kuonyesha wana options.

5) Ukiwacheat , wanabaki kwenye mahusiano licht ya kwamba baada ya cheating uliwadhalilisha , wao wanaona una thamani kubwa mpaka mwanamke mwingine kakubali kulala nawe.

6) Asilimia kubwa wanazaa watoto na badboys. Alafu wanataka wanaume wema walee watoto wao.

7) Wanachukia mwanaume kuwa romantic.

8) Ni wasaliti wa kukubuhu.

Kama ni mwanaume mwema kaa mbali nao.
 
sure mkuu wanaosababisha single maza ni hawa hawa wanaume wanaokuja hapa kukejeli

but as saying mtoto ni wa mwanamke basi sijui wanajionaje yaani 😅😅😅
Mtoto ni wa familia baba na mama,we chunguza watoto wenye furaha utakuta baba na mama wapo around bila kujali hali yao.Mtoto ana feel secured sana.
 
B2B MIDFIELDER (BED TO BED MIDFIELDER):

Hawa ni wanawake ambao waliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja, wamebadilisha vitanda vingi na sifa zao ni hizi:

1) Wanachukia ukiwa mwema sana. Ukiwa mwema wanakuona dhaifu kutokana na historia ya wao kuumizwa kwenye mahusiano .

2) Wanapenda attention za wanaume.

3) Wanapenda kuumizwa kihisia, ndo wanaona wanapendwa.

4) Wanapenda mwanaume akiwa indifferent kuonyesha wana options.

5) Ukiwacheat , wanabaki kwenye mahusiano licht ya kwamba baada ya cheating uliwadhalilisha , wao wanaona una thamani kubwa mpaka mwanamke mwingine kakubali kulala nawe.

6) Asilimia kubwa wanazaa watoto na badboys. Alafu wanataka wanaume wema walee watoto wao.

7) Wanachukia mwanaume kuwa romantic.

8) Ni wasaliti wa kukubuhu.

Kama ni mwanaume mwema kaa mbali nao.
Nimekusoma vyema
 
sure mkuu wanaosababisha single maza ni hawa hawa wanaume wanaokuja hapa kukejeli

but as saying mtoto ni wa mwanamke basi sijui wanajionaje yaani 😅😅😅

B2B MIDFIELDER (BED TO BED MIDFIELDER):

Hawa ni wanawake ambao waliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja, wamebadilisha vitanda vingi na sifa zao ni hizi:

1) Wanachukia ukiwa mwema sana. Ukiwa mwema wanakuona dhaifu kutokana na historia ya wao kuumizwa kwenye mahusiano .

2) Wanapenda attention za wanaume.

3) Wanapenda kuumizwa kihisia, ndo wanaona wanapendwa.

4) Wanapenda mwanaume akiwa indifferent kuonyesha wana options.

5) Ukiwacheat , wanabaki kwenye mahusiano licht ya kwamba baada ya cheating uliwadhalilisha , wao wanaona una thamani kubwa mpaka mwanamke mwingine kakubali kulala nawe.

6) Asilimia kubwa wanazaa watoto na badboys. Alafu wanataka wanaume wema walee watoto wao.

7) Wanachukia mwanaume kuwa romantic.

8) Ni wasaliti wa kukubuhu.

Kama ni mwanaume mwema kaa mbali nao.
Mimi naona sisi wahuni tubaki na wahuni wenzetu tu .
 
Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .

Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake

Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.

Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa

Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.

Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Vijana wasioe laana(single mother)
 
Back
Top Bottom