Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo nafamilia yako yandoa wewe ni mzee sio kijana aiseepicha nikiwa nanyetuka au ?
Haziwi na baraka km mkitafuta wawili 😜Mbona Junior tayari yupo shule mkuu, kwa hiyo hiz tunazotafuta peke yetu ni makaratasi sio[emoji848]
familia ya BabyCare labdaUpo nafamilia yako yandoa wewe ni mzee sio kijana aisee
😁😁 ata ningeoa nisingea oa mke ili anisaidie kutafuta.Haziwi na baraka km mkitafuta wawili 😜
Nimwambie aiweke wazifamilia ya BabyCare labda
najiamini, awekeNimwambie aiweke wazi
Baada ya Mahakama kutoa talaka na mgawanyo wa mali kulingana na contribution bado Mwanaume anaendelea kuongezewa jukumu la kulea watoto kusomesha na matibabu hapo nani Kaliwa? Baada ya watoto kukuwa na kuanza kupata maisha 90% wanafaidika na matunda ya watoto ni wamama. Hapo nani Kaliwa? Kila mwanamke anapenda aolewe na Mwanaume mwenye hela siulize why? Ili uliwe mzee baba!Mkuu
Unajaribu kunikwepa sababu huna hoja na si kuoinea huruma ndoa yangu.
Mimi baba mkwe wangu ni mwanasheria, mama pia ni mwanasheria.
Umesema ndoa ni mkataba wa kitapeli embu weka huo mkataba tuuone?
Uoni kwamba unaongea tu maneno matupu?
Soma kwa kutulia mkuu, i mean hicho anachotakiwa kumiliki mwanaume kibaki huko huko kwaoMwanaume amilikiwe? Upo seriously kweli
Sifa namba 1 ya mwànaume ni kumiliki
Aina shidq wawepo,muhimu wanaume tutimize agano,kama unataka Kuwa tofawashi au oa ,kuzini Hapana.hilo nilishakujibu soma reply ya nilicho reply usijikute shababi kumbe kuna mashababi zaidi yako
Utalia haya funguka mwenyewe moja mpaka saa nne kamili na wekanajiamini, aweke
NAKAZIAKila mwanamke anapenda aolewe na Mwanaume mwenye hela siulize why? Ili uliwe mzee baba!
nalia nikifika mshindo tu wakati nakojoaUtalia haya funguka mwenyewe moja mpaka saa nne kamili na weka
Miliki jina lako na jamii yako,achana kujisifu na jamii za babu,baba zako achana nazo siyo zakoSoma kwa kutulia mkuu, i mean hicho anachotakiwa kumiliki mwanaume kibaki huko huko kwao
Wapi nimejisifu?M
Miliki jina lako na jamii yako,achana kujisifu na jamii za babu,baba zako achana nazo siyo zako
Sawanalia nikifika mshindo tu wakati nakojoa
Basi basi yaishe, tuendelee na madaKwani mm nilikua nimelala kwenye hili??? [emoji849]
Nikopoa vipi wewe wifi mzima?Wifi jamani uko poa?!