Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Nani alisema claimed , hiyo claimed ni yako , ni uhakika kwamba Isaac Newton hakuwahi kuwa na familia wala kuoa Acha kuwa mbishi kama muha wa kigoma
Soma hapo

Soma hapo.
 
Hiyo sio ndoa,ni kikosi cha wahuni waliotamaniana hadi kupeana mimba.

Usiniambie waliooana kabisa?





Ni bora ya hiko kikosi cha wahuni Kulipo watu walioowana kanisani na kitobahatika kupata mtoto

Mfano wewe ni Mzee una watoto 2/
Mtoto wako wa kwanza kaoa au kaolewa ndoa ina miaka 10/hawajabahatika kupata mtoto.
Una mtoto wako mwingine kazaa au kazalishwa hayupo Kwenye ndoa.
Kutoka mtazamo wa kimaendeleo wa kukuza familia yupi utaona amekuheshimisha .kati ya aliyeoa au kuolewa na hana mtoto, miaka zaidi ya 10/ Au aliyezaa tu mtoto Bila kuwa na ndoa.
Kwa mtazamo wangu Mimi binafsi Ndoa sio suala la msingi au muhimu kama utaweza kupata mtoto bila kuowa na kuweza kupata sex bila kuwa na mke..
Kijana kama utaweza kupata mtoto nje ya ndoa , haina haja ya kuoa mwanamke
Sheria ya Tanzania ya ndoa ya 1971 imekaa kiupendeleo sana .
 
Kuoa kuna sheria za enz na enz,ushauri kijana mdogo
Nenda kwa mama yako mwambie akutafutie mke,
Kama hujaja na vigelegele vya kuoa bikra,
Sasa Wewe unataka kuoa hadija wa buza Kwa mpalange!
Afu awe bikra .
Kijana Mwanaume shababi lazima tuoe,na ukiwez usioe mmoja piga tatu,ilà uweze kuwatunza
nashukuru kwa ushauri hata mbuyu ulikuwa kama mchicha,
hata malaya wa buza alizaliwa bikra
 
Kuoa kuna sheria za enz na enz,ushauri kijana mdogo
Nenda kwa mama yako mwambie akutafutie mke,
Kama hujaja na vigelegele vya kuoa bikra,
Sasa Wewe unataka kuoa hadija wa buza Kwa mpalange!
Afu awe bikra .
Kijana Mwanaume shababi lazima tuoe,na ukiwez usioe mmoja piga tatu,ilà uweze kuwatunza
shida sio bikra shida ni kutosimamia vipengele vya mkataba, wengi wanakubali mikataba ila kuishi kwenye vipengele wanafeli pakubwa, bora ku take risk ya kuishi bila mktaba hata akizingua anaenda zake kivyake
 
Great thinker Plato pia hakuwahi kuwa na mtoto wala familia
Watu wakubwa walioweka historia duniani andika Michael Angelo , Leonardo Da Vinci pia hawakuoa au kuwa na watoto
Ndoa ni uamuzi mtu
#kataa ndoa ,ndoa ni utapeli
They have mission to do,kataa ndoa iende na kataa uzizi na kataa puchu,
Walikuwa na special mission ambayo muda na kazi vilikinzana,
Ndugu what is your mission,je hauzini!
Wapo matoashi ilà Wana special mission ,
Sasa hao hawakuwa kataa ndoa na hawakuendesh kampeni yoyote na ni negligible perc . Compare to other waliooa na wakafanya makubwa.
And why uongelee one side,ongelea na waliooa wakafanya makubwa
One side ni unafki wa wazi
 
Kuna mshikaji wetu alipokaribia kuoa mwaka jana mwezi wa 12, akawa anashinda bar analewaaaaa 😂😂😂 Kuna muda unamuona yupo deep kwenye mawazo, nikamuuliza shida nini bro? Utasikia we acha tu! Hatimae akaoa zake na hivi wakishua harusi ilikuwa classic.

Sa hivi yuko busy kumpost wifi tu….. binafsi nikadhani labda mwanamke wake ni controlling, ndio maana jamaa alipata mawazo sana.

Wanaume wengi wataoa, ni suala la muda tu… iwe ndoa ya kanisani, msikitini, kimila au sogea tukae.
 
nashukuru kwa ushauri hata mbuyu ulikuwa kama mchicha,
hata malaya wa buza alizaliwa bikra
Kwa hiyo unataka kusemaje,tuhalalishe umalaya bcoz alizaliwa bikra,
Kijana Mwanaume shababi anaoa,amilikiwe na anatengeneza jina la ukoo wake
Oa achana na kampeni za kishoga
 
Mi nawalaumu KATAA NDOA, kwa kampeni yao hiyo.
Kama wao wameumizwa na ndoa wakae kwa kutulia wasituharibie kizazi.
Hebu fikilia kizazi cha watoto wanazaliwa nje ya ndoa na kukosa malezi ya baba na mama ( familia).
Tutajikuta tunajenga kizazi cha hovyo sana tukiendekeza hawa kataa mdoa.
hiyo sio sababu ya kumvumilia mwanamke zezeta,
 
Kuna mshikaji wetu alipokaribia kuoa mwaka jana mwezi wa 12, akawa anashinda bar analewaaaaa 😂😂😂 Kuna muda unamuona yupo deep kwenye mawazo, nikamuuliza shida nini bro? Utasikia we acha tu! Hatimae akaoa zake na hivi wakishua harusi ilikuwa classic.

Sa hivi yuko busy kumpost wifi tu….. binafsi nikadhani labda mwanamke wake ni controlling, ndio maana jamaa alipata mawazo sana.

Wanaume wengi wataoa, ni suala la muda tu… iwe ndoa ya kanisani, msikitini, kimila au sogea tukae.
Ameonja utamu wa ndoa
 
Kwa hiyo unataka kusemaje,tuhalalishe umalaya bcoz alizaliwa bikra,
Kijana Mwanaume shababi anaoa,amilikiwe na anatengeneza jina la ukoo wake
Oa achana na kampeni za kishoga
mi sina kampeni yoyote broh naongea ya moyoni, we kama umeweza kuwafumbia macho hongera mi nimeshindwa, atakula za kichwa tatu, bora muuzaji najua tupo wengi sio wa kuniaminisha wa kufa na kuzikana afu anatoa mpaka jicho nje
 
mi sina kampeni yoyote broh naongea ya moyoni, we kama umeweza kuwafumbia macho hongera mi nimeshindwa, atakula za kichwa tatu, bora muuzaji najua tupo wengi sio wa kuniaminisha wa kufa na kuzikana afu anatoa mpaka jicho nje
Kwa hiyo unauza siyo?
 
mi sina kampeni yoyote broh naongea ya moyoni, we kama umeweza kuwafumbia macho hongera mi nimeshindwa, atakula za kichwa tatu, bora muuzaji najua tupo wengi sio wa kuniaminisha wa kufa na kuzikana afu anatoa mpaka jicho nje
Kama unauza kila la kheri na kampeni yako,
Sisi mashababi ndoa lazima.
Lazima tuoe
 
Sasa unataka utafute nani? 🤣

Mkuu

Unajaribu kunikwepa sababu huna hoja na si kuoinea huruma ndoa yangu.

Mimi baba mkwe wangu ni mwanasheria, mama pia ni mwanasheria.

Umesema ndoa ni mkataba wa kitapeli embu weka huo mkataba tuuone?

Uoni kwamba unaongea tu maneno matupu?
Mkuu wengi mnasaini mkataba wa ndoa bila kuzisoma sheria za ndoa.

Wew unaona sheria za ndoa zina usawa wa kijinsia hasa pale linapokuja swala la talaka?
 
Wewe umeoa hapo ulipo!?

Kila siku unakuja na sredi za kupigwa matukio na mademu zako.

Kubali kuwa nyakati zinabadilika.

Tuko katika zama kwamba Kila mtu anafanya kile anachoona yeye kinamfaa.

Kama mtu kaamua kuwa mseja ni chaguo lake.

Hii perception kwamba usipoa basi wewe ni hanithi, shoga and the like ndie zile akili zinazofikiria one way. Akili za kizamani.

Unamlazimia mtu aoe utamsaidia kulisha hio familia, utamsaidia kutatua matatizo ya hio ndoa yake.

Ifike mahali msemo wa mind your business utiliwe maanani

Maadamu mtu anaishi safi na havunji SHeria za nchi wewe kinakuuma Nini!?

Hata Yesu alisema anaetaka kuoa aoe na asieweza aache.
 
Ndoa ni utapeli kama utapeli mwingine. Hakuna mtu mwenye akili yuko kwenye ndoa.

Watu masikini na wapumbavu ndio wanatafta ndoa ili wawe na authority kwa wake zao.

Badala utafte authority ya hela unatafta authority ya kumkoromea mkeo, una akili kweli wewe?

Tafta hela utawakoromea hata wanaume wenzio na watatii kama vile wewe ni mume wao sio kukoromea wanawake tena mkeo tu.
 
Back
Top Bottom