Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Mtoa mada me nafikiri suala la kuoa na kuolewa ni mpango wa Mungu kama ulivyoeleza hapo juu huku likichochewa na hisia na makubaliano baina muowaji na muolewaji.

Hivyo basi kama ni mpango wa Mungu kijana aowe basi ataowa kama sio basi hato,

Mpango wa kuoa na kuolewa sio harakati kama mnavyotaka kuuweka na hiyo ndo sababu ndoa nyingi zinavunjika and bad news ni kwamba mfumo wa maisha unabadilika kwa kasi mno hivyo unapingana na hayo masuala ya ku-settle kwa muda mrefu maana utandawazi unapambana kuuwa hiyo kitu na ni lazima ushinde maana dunia ya sasa bila utandawazi haiendi (Wanawake wanataka maisha ghali mno na wanaume hawataki kutumika vibaya)

Kwa maelezo zaidi kasome maandiko yalishaeleza
Screenshot_20240122-191321_Chrome.jpg
 
Kwenye Likiumbe na Litoto unamaanisha nini?
Kuna watu wananakuwa wapenzi wanazaa na kulea watoto vizuri tu wanakuja kuoana baada ya miaka hata 5 huko tayari na watoto.
Mkuu kipindi wanalea watoto wanakuwa wapo pamoja au kila mtu anakaa kivyake?
 
Kwenye Likiumbe na Litoto unamaanisha nini?
Kuna watu wananakuwa wapenzi wanazaa na kulea watoto vizuri tu wanakuja kuoana baada ya miaka hata 5 huko tayari na watoto.
Nilie m-quote ndie katumia hilo neno mkuu, hata mimi sijui alimaanisha nini ndio maana nikamuuliza.
 
Kulazimisha vijana kukubali ndoa ni kuingilia uhuru na maamuzi ya mtu.

Kama wewe hapa ukifosiwa ukatae ndoa utaona unaingiliwa uhuru na maamuzi yako.

Wewe kwa hoja zako upo sahihi, Na kataa ndoa wana hoja zao wapo sahihi.
 
Unakosea mkuu,kila Kitu unachokiona ni utaratibu hata kulala usiku nani alikufundisha ni utaratibu!
Kuoga,kuvaa,vyote ni taratibu za kijamii....
Kama tusingekuwa na taratibu basi tungelala na ndugu,dada,mashangazi etc kwasababu tuwekeana taratibu yes.

Ndoa Msingi wake ni umoja na mapenz na ushirika sisi siyó kuku kuwa tumwage tusepe ,pia hata kuku ana taratibu za kutunza matetea anayoyaingilia.
Umezaliwa umefaidika na taratibu ulizokuta KWa baba na mama yako,
Ndoa ilikuwepo millennium nyingi,watu wenye akili sana kama kina sulemani ,eistein,newton waliufata who are you?

Hii ni kampeni ya mashoga na wasagaji,
#mwanaume unawezakutia,huwezi kataa ndoa
Newton hajawahi oa mkuu wala hajawahi kuwa na mwanamke ila alifanya mambo makubwa na jina lake ladumu vizazi na vizazi. Ila mi naunga mkono hoja ya Da'Vinci
 
Wakati Mungu anawaambia binadam wa mwanzo kabisa, kwamba zaeni mkaongezeke, hapakuwa na fedha wala shlilingi! Leo iweje fedha kiwe kigezo cha kuoa? Wengi wanakataa ndoa kutokana na sababu za vipato, japo wengine wanasingizia hawataki kero kutoka kwa hao wenza wao
Unasema pesa isiwe kigezo cha kuoa? Duh hujishtukii kuandika hivyo
 
Ndoa yenye furaha muda wote haipo.
Hilo moja, mbili kufumania mwanamke na mwanaume mwingine ilipaswa nipinge hii kitu kwa nguvu lakini nilikutanaga na Dr Ellie nikaona mimi ni mjinga sana.

Wewe umesema ndoa ni za kitapeli embu weka hapa huo utapeli tuuone?
Ni kwel ila ndoa sio lazima kwa kila mtu , nyie mkiwa kwenye ndoa inatosha .
 
Newton hajawahi oa mkuu wala hajawahi kuwa na mwanamke ila alifanya mambo makubwa na jina lake ladumu vizazi na vizazi. Ila mi naunga mkono hoja ya Da'Vinci
Are you newton?
Hakusadikika akiwa na any kind of relationship,alikuwa na special mission kama yesu na paulo mtume.

Changamoto Kataa ndoa 60% mashoga,35 satanic agent, 3 walioumizwa na 2 wafata mkumbo.
Awa satanic,walioumizwa na wafata mkumbo wanasupport Ili wazini na wanawake tofaut tofauti
 
Back
Top Bottom