Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Ndoa za kitapeli kivipi?
Embu tuanzie hapo weka vifungu ambavyo vinaonyesha ndoa ni za kitapeli?
Mkuu ndio kwanza ndoa yako ni changa usipende kusikiliza utapel wa ndoa , ukirudi nyumbani unaweza mwona mama watoto kama jambazi .

Kama ndoa yako kwa sasa ni njema furahia kwa huu wakati .
 
Mkuu hakuna dhambi mbaya kama ya unafki na upotoshaji. Unawajaza ujinga vijana humu ila ww una mke.
Mungu atakuchoma kama mahindi yachomwavyo. Taratibu kwenye wavu uwe unadondosha mafuta chwii chwii kwenye mkaa
Huyo chalii ni mpiga puli mahiri zaidi kuwahi kutokea hapa duniani. Siku ya msiba wake itatamkwa "Marehemu ameacha vikopo viwili vya babycare na kimoja cha lotion"... kampuni inayotengeneza babycare itatoa ubani.
 
Mkuu ndio kwanza ndoa yako ni changa usipende kusikiliza utapel wa ndoa , ukirudi nyumbani unaweza mwona mama watoto kama jambazi .

Kama ndoa yako kwa sasa ni njema furahia kwa huu wakati .
Ndoa yenye furaha muda wote haipo.
Hilo moja, mbili kufumania mwanamke na mwanaume mwingine ilipaswa nipinge hii kitu kwa nguvu lakini nilikutanaga na Dr Ellie nikaona mimi ni mjinga sana.

Wewe umesema ndoa ni za kitapeli embu weka hapa huo utapeli tuuone?
 
Naomba nitajie jina la mke wa marehemu 2pac
Kwenye huu uzi nimeeleza mengi kuhusu 2pac. Hebu upitie mwanzo mwisho
Btw keisha Moriss aliolewa na 2pac ila ndoa ilikufa alipoenda jela
 
Back
Top Bottom