Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

No offense broh, kiuhalisia unaweza Kuta wewe ndio ndio kuna uwalakini kwenye uanaume wako. Why nasema hivyo?

Ndoa ni utaratibu ambao binadamu wameweka ili kuinteract, kuzaliana nk. Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu, lakini sio jambo la lazima. Hivyo mtu ana hiari ya ama kuingia kwenye ndoa au la. Sasa inapotokea mtu akaamua kutumia uhiari wake kuamua, alafu wewe unasema ana walakini kwenye uanaume wake, jua ni wewe ndio una huo uwalakini.

Siwasupport wenye kampeni ya kataa ndoa, ila siwalaumu maana ni hiari yao. Huwezi jua walikumbwa na nini.

Tofautisha ndoa na mahusiano ya kimapenzi. Mtu anaweza kujihusisha na mapenzi bila kuwa kwenye ndoa.
Mi nawalaumu KATAA NDOA, kwa kampeni yao hiyo.
Kama wao wameumizwa na ndoa wakae kwa kutulia wasituharibie kizazi.
Hebu fikilia kizazi cha watoto wanazaliwa nje ya ndoa na kukosa malezi ya baba na mama ( familia).
Tutajikuta tunajenga kizazi cha hovyo sana tukiendekeza hawa kataa mdoa.
 
sawa tuna walakini, lakini kuoa hapana.

Unamaanisha mleta thread pamoja nasi tunaotaka muoe tunataka kuwaingiza shimoni ili tuteseke pamoja?🤣

Hakuna ndoa isiyo na changamoto,inaweza ikawa si ya kuchapiwa(kama mnavyoita wenyewe) ila tofauti na hilo suala.

Kwa changamoto za kukufanya ufungue thread na kupinga "kataa ndoa" maamuzi ni yako rafiki kwa mwenza uliyenaye n.k

Oa kijana😅
Uhamasishaji wa kuoa kwa ndoa una walakini ndani yake .

Mnataka kutuingiza chaka😁

Sijawahi kuona mtu humu akiwashtua wana kuna chimbo anapiga pesa , ili wana tuje zaidi ya forex ambayo tulihamasishwa kuna pesa za ku downloading ambapo ni utapeli .

Humu utasikia kijana okoka , kijana oa, kijana slim , maza fanta😜😜😜
 
Wakati unakataa ndoa...Sisi unatauacha na maswali labda mwenzetu umehamia upande wa pili View attachment 2879634
Mkuu Da’vinci,

Hakuna mtu aliyetoa hoja zenye mantiki mpaka sasa kwanini wanakataa ndoa.

Vijana wengi ni desperate sana, wengi ni fuata mkumbo na hakuna hata mmoja mwenye hoja zaidi ya ushabiki tu wa kijinga.
 
FZliTuxXkAkBObh.jpglarge.jpg
 
Mkuu kuhusu huo mstari alikuwa anawaasa watu wasifanye uzinzi, kama wanaweza wasioe ila kama hawawezi waoe.

Hawa kataa ndoa uzinzi wanafanya na wanakataa ndoa.
Nadhani pia ugumu wa maisha huchangia, huwezi kuwa "pro ndoa" kama kipato cha kutunza familia ni kidogo, vijana wengi sasa hawana ajira, hawana mitaji, usitegemee wao wazifurahie ndoa.

Akipata 10k anajua kuna malaya wa 3k atanunua na kukidhi ashki zake. Hivyo tusiwalaumu sana, uchumi umeyumba kwa wengi.
 
No offense broh, kiuhalisia unaweza Kuta wewe ndio ndio kuna uwalakini kwenye uanaume wako. Why nasema hivyo?

Ndoa ni utaratibu ambao binadamu wameweka ili kuinteract, kuzaliana nk. Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu, lakini sio jambo la lazima. Hivyo mtu ana hiari ya ama kuingia kwenye ndoa au la. Sasa inapotokea mtu akaamua kutumia uhiari wake kuamua, alafu wewe unasema ana walakini kwenye uanaume wake, jua ni wewe ndio una huo uwalakini.

Siwasupport wenye kampeni ya kataa ndoa, ila siwalaumu maana ni hiari yao. Huwezi jua walikumbwa na nini.

Tofautisha ndoa na mahusiano ya kimapenzi. Mtu anaweza kujihusisha na mapenzi bila kuwa kwenye ndoa.
Ume Tisha kamanda🙏💪
 
Back
Top Bottom