Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,965
😀😀😀 Kaz kwelikweli kwenye marinda unaenda kufumua nn, njia kuu huijuiutakaa sawa wewe utapogundua mkeo hana marinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 Kaz kwelikweli kwenye marinda unaenda kufumua nn, njia kuu huijuiutakaa sawa wewe utapogundua mkeo hana marinda
Twende taratibu mkuu, I hope tutaelewana.Unakosea mkuu,kila Kitu unachokiona ni utaratibu hata kulala usiku nani alikufundisha ni utaratibu!
Kuoga,kuvaa,vyote ni taratibu za kijamii....
Kama tusingekuwa na taratibu basi tungelala na ndugu,dada,mashangazi etc kwasababu tuwekeana taratibu yes.
Ndoa Msingi wake ni umoja na mapenz na ushirika sisi siyó kuku kuwa tumwage tusepe ,pia hata kuku ana taratibu za kutunza matetea anayoyaingilia.
Umezaliwa umefaidika na taratibu ulizokuta KWa baba na mama yako,
Ndoa ilikuwepo millennium nyingi,watu wenye akili sana kama kina sulemani ,eistein,newton waliufata who are you?
Hii ni kampeni ya mashoga na wasagaji,
#mwanaume unawezakutia,huwezi kataa ndoa
Kijana mdogo miaka 30+ wewe ni tahira hujui hata umri wa kijana mdogo. Wendawazimu wamejaa humuAcha umbea,una uwakika?
Ndio tabia za kishoga zinaanzaga hvhv
Yale ni mambo private,na aliondoka akiwa kijana mdogo
Mkuu, watu hawafahamu kuhusu wajibu na matakwa. Wajibu ni jukumu la lazima, tofauti na matakwa, ambapo mtu ana uhuru wa kufanya jambo au la. Watu wanafikiri kuoa ni hiari, la hasha, kuoa ni lazima kwa kila binadam, regardless your income position!Hamna mkuu. Ulishawahi kuona humu jf wanasema hivi?? Hhapana.
Shetani amewekeza zaidi kuangusha taasisi ya ndoa
Majukumu yapi hayo ambae wewe upo kwenye ndoa mimi sina[emoji848][emoji848]Ningewakubali hawa kataa ndoa kama wangekataa kabisa papuchi, lakini papuchi wanakula ila majukumu yake hawataki. Ni sawa na kupenda mchuzi wa nyama lakini huipendi nyama.
Hivyo ni vitisho tu mkuu kama usipo amini Mungu yupo utaenda motoni.Ni
Ni kampeni ya kishoga,ukimwona Mwanaume anasupport jua tumemkosa mwana
Ndio maana nimeuliza mkuu maana haimek sense kabisa.Ukioa unafanikiwa vip kiuchumi mkuu [emoji16][emoji16] hizi ni propaganda
sio wewe unayefumua mkeo atatafuta wahuni wakumfumua ila akija kwako kama malaika, siku ukishtuka ndo utajua hujui😀😀😀 Kaz kwelikweli kwenye marinda unaenda kufumua nn, njia kuu huijui
factTaasisi ya ndoa ililindwa na mifumo dume tangu enzi na enzi kiasili kabisa
Ilipokuja 50 kwa 50 ambayo sio asili ya mwanadamu ndipo rasmi taasisi ya ndoa ikadondoka .
Vijna wameshtuka
waambie hao malofa, bado hayajawakuta mbona mwakani tu wataunga mkono juhudi labda waamue kufa na tai shingoniHivyo ni vitisho tu mkuu kama usipo amini Mungu yupo utaenda motoni.
😂😂😂Tena anatak kuzaa likiumbe 😂😂😂Au nimekosea? Yeye kasema bora apate mtoto lakini sio kuishi na likiumbe. Kwa hiyo kumbe anatembea na likiumbe 😃
Na tunataka ugombee ubunge jimbo la MMU me campaign manager wako lazima ushinde, kina Kataa ndoa wote waoe broMwaka huu mtanichukia sana, si wanaume wala wanawake. Sitajali maana lengo ni kujenga. Kidogo kidogo tutakaa sawa😎😎
Kiasili kabisa wabongo mtu akiwa anapata raha au chimbo la pesa wala hawezi kuwashtua wana au kuwashauri .Oh!
Na mbaya zaidi wengine hawafahamu baraka za ndoa,changamoto za wengine zinawakatisha tamaa,
Ila mateso na furaha ya ndoa maamuzi ni yao katika chaguzi za wenza wao.
Wifi jamani uko poa?!😂😂😂Tena anatak kuzaa likiumbe 😂😂😂
Nawapendaga nyinyi,Twende taratibu mkuu, I hope tutaelewana.
Umezungumzia utaratibu na mfumo wa maisha ambapo humo ndani pia ndio kuna ndoa. Hapo nakubaliana na wewe kwa 100%. Lakini kwenye huu mfumo wa maisha, bado kuna vitu vingi sana ambavyo ni hiari ya mtu. Mfano mmoja wapo ni ndoa na dini. Umezalia na kukuta jamii yako ni dini Fulani, automatically na wewe na kizazi chako mmeangua kwenye dini hiyo hiyo. Lakini anaweza kutokea mmoja kati yenu, kutokana na sababu zake akaamua asifatishe dini yenu au dini zote unazozijua wewe. Hapo automatically mtamuona ni mtu wa ajabu, japo ana sababu zake.
Hiyo inaenda pia kwenye ndoa. Kuna ambao hawataki kuingia kwenye ndoa, labda walikumbwa na heartbreak au hawataki kufungwa na huo mfumo. Sheria za kwenye ndoa, zinacheza kwenye wake kuanzia mmoja mpaka wanne (kwenye hizi dini maarufu mbili). Lakini unakuta mwingine labda yeye anapendelea awe kama alivyokuwa babu yake miaka hiyo, wake hata sita au saba kwa pamoja. Lakini Sheria za sasa haziruhusu, hivyo anaamua asiingie kabisa kwenye ndoa ili awe huru zaidi. Umetolea mfano wa Suleiman, hebu niambie alikuwa na wake wangapi????
Mwamba mzunguka mbuyu na mitego mingi. Si tulelewana kule😀Majukumu yapi hayo ambae wewe upo kwenye ndoa mimi sina[emoji848][emoji848]
Acha uvivu oa, hayo machimbo ya pesa mtatafuta na mkeo 😜Kiasili kabisa wabongo mtu akiwa anapata raha au chimbo la pesa wala hawezi kuwashtua wana au kuwashauri .
Ila ndoa mnaipigia kelele eti mnapata raha , sema tu mnataka kila mtu aoe ili wimbi la kuchapiwa wake lipungue[emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu Apo mwisho umenizungumzia mimi kabisa.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Twende taratibu mkuu, I hope tutaelewana.
Umezungumzia utaratibu na mfumo wa maisha ambapo humo ndani pia ndio kuna ndoa. Hapo nakubaliana na wewe kwa 100%. Lakini kwenye huu mfumo wa maisha, bado kuna vitu vingi sana ambavyo ni hiari ya mtu. Mfano mmoja wapo ni ndoa na dini. Umezalia na kukuta jamii yako ni dini Fulani, automatically na wewe na kizazi chako mmeangua kwenye dini hiyo hiyo. Lakini anaweza kutokea mmoja kati yenu, kutokana na sababu zake akaamua asifatishe dini yenu au dini zote unazozijua wewe. Hapo automatically mtamuona ni mtu wa ajabu, japo ana sababu zake.
Hiyo inaenda pia kwenye ndoa. Kuna ambao hawataki kuingia kwenye ndoa, labda walikumbwa na heartbreak au hawataki kufungwa na huo mfumo. Sheria za kwenye ndoa, zinacheza kwenye wake kuanzia mmoja mpaka wanne (kwenye hizi dini maarufu mbili). Lakini unakuta mwingine labda yeye anapendelea awe kama alivyokuwa babu yake miaka hiyo, wake hata sita au saba kwa pamoja. Lakini Sheria za sasa haziruhusu, hivyo anaamua asiingie kabisa kwenye ndoa ili awe huru zaidi. Umetolea mfano wa Suleiman, hebu niambie alikuwa na wake wangapi????
Wengine wana uwezo wao mzuri tu, lakini wanapenda kuolewa, kwanini wasiingie kwenye chama cha kataa ndoa? Je, akina dada hawa wenye uwezo wao (kifedha), wakiwafuata hawa jamaa zetu wa kiume "kataa ndoa" na kuwaomba wafunge nao ndoa, hawa vijana watakataa?hawapo maana kwao Ndoa ni Ajira, kichaka cha kupungizia ukali wao wa maisha