Lior
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 1,617
- 3,697
Kumbe mwenyekiti wa kataa ndoa yuko kwenye ndoa🙄Mkuu hakuna dhambi mbaya kama ya unafki na upotoshaji. Unawajaza ujinga vijana humu ila ww una mke.
Mungu atakuchoma kama mahindi yachomwavyo. Taratibu kwenye wavu uwe unadondosha mafuta chwii chwii kwenye mkaa