Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

No offense broh, kiuhalisia unaweza Kuta wewe ndio ndio kuna uwalakini kwenye uanaume wako. Why nasema hivyo?

Ndoa ni utaratibu ambao binadamu wameweka ili kuinteract, kuzaliana nk. Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu, lakini sio jambo la lazima. Hivyo mtu ana hiari ya ama kuingia kwenye ndoa au la. Sasa inapotokea mtu akaamua kutumia uhiari wake kuamua, alafu wewe unasema ana walakini kwenye uanaume wake, jua ni wewe ndio una huo uwalakini.

Siwasupport wenye kampeni ya kataa ndoa, ila siwalaumu maana ni hiari yao. Huwezi jua walikumbwa na nini.

Tofautisha ndoa na mahusiano ya kimapenzi. Mtu anaweza kujihusisha na mapenzi bila kuwa kwenye ndoa.
Unakosea mkuu,kila Kitu unachokiona ni utaratibu hata kulala usiku nani alikufundisha ni utaratibu!
Kuoga,kuvaa,vyote ni taratibu za kijamii....
Kama tusingekuwa na taratibu basi tungelala na ndugu,dada,mashangazi etc kwasababu tuwekeana taratibu yes.

Ndoa Msingi wake ni umoja na mapenz na ushirika sisi siyó kuku kuwa tumwage tusepe ,pia hata kuku ana taratibu za kutunza matetea anayoyaingilia.
Umezaliwa umefaidika na taratibu ulizokuta KWa baba na mama yako,
Ndoa ilikuwepo millennium nyingi,watu wenye akili sana kama kina sulemani ,eistein,newton waliufata who are you?

Hii ni kampeni ya mashoga na wasagaji,
#mwanaume unawezakutia,huwezi kataa ndoa
 
Kuna jambo ningependa nikwambie ndugu mleta uzi. Unajua kitendo cha kupromote ndoa as if watu hawajui umuhimu wake huku ukifumbia macho changamoto zinazotokana na tabia za kisasa za wanaoingia ndoani pia ni aina ya upotoshaji?

Mfano wa kulinganisha na hili swala la ndoa ni issue ya elimu ni ufunguo wa maisha ambapo wazazi waliwakazania watoto wao kuachana na kila kitu katika haya maisha yakiwamo mahusiano na wakazanie shule hadi kufika elimu ya juu kabisa yaani chuo kikuu wakiwaahidi kuwa elimu ni ufunguo wa maisha na kutoboa ni lazima. Fast forward leo, elimu iliyosisitizwa na wazazi ndio imekuwa chanzo cha umasikini na ujinga mara mbili kushinda mtu ambaye hata hajaenda shule.

Hii inakupa picha gani? Kwangu mimi inanipa picha kuwa sometimes unaweza kuwa unasisitiza jambo fulani unalo amini kuwa ni sahihi na ni kweli ni jambo sahihi ila sasa shida ikaja eneo la manufaa, je, hilo jambo lina manufaa kwa walengwa ama la?

Sasa rejea kwenye ndoa, ndoa msingi wake ni kuishi pamoja na kushare kila kitu, kitanda, miili, watoto, chakula, pesa, hisia, ndugu, mapenzi, upendo, yaani hakuna cha binafsi katika ndoa.

Ila unakutana na mifumo ambayo inaleta elements za ubinafsi na zinaharibu sasa mantiki ya ndoa. Nadhani ungewekeza mjadala kuwa ni wapi watu wanapishana uone shida. Wanawake wana tabia zao ambao wanazileta kwenye ndoa na zinazaa sura ya ubinafsi kwa wanaume. Wanaume ili kujilinda maslahi yao baada ya kustukia ubinafsi wa wanawake nao wanaamua kuwa na namna zao za kuishi ambazo zitawapa security dhidi ya ubinafsi wa wake zao.

Nadhani tungekuwa na mahaka halali kisheria inayosimamia maslahi ya wanandoa na kuwaadhibu wale wanaowafanyia visa wenzao bila upendeleo wowote wa kijinsia ndoa zingekuwa salama sana.

Sasa mfano mwanamke anamkatalia mwanaume wake tendo la ndoa kwasababu hajisikii kufanya chochote unataka mwenzako afanyeje kutuliza hamu zake, akisema anataka mke mwingine unaanza kuleta bange ndoa inavunjika?
 
Hatutaki hayo majukumu. Hatujayadharau tumeyaheshimu tumeona ni mazito tumewaachia wenyewe.

'Kuzaliana ovyo'? Sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anataka kuzaliana ovyo.

'mungu, mungu, mungu' sio kila mtu anamuamini mungu.

Hiyo ya kuandika 'kataa ndoa' kwenye comments kweli ni kosa nakubali.

Wengine tumeona nyumbani jinsi ndoa zilivyo mbaya,

Nipo tayari kubadili mtazamo wangu ila sio kwa hizo hoja.
Nje ya MUNGU unaamini nini ? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya Mambo ya NDOA ni mtambuka sana msichukulie poa ndugu zangu, Vijana wengi walio kwenye umri WA kuoa hawana ajira za kujimudu wao wenyewe, bado wazazi na wategemezi wengine, sasa kijana WA aina hiyo Leo unataka kumuongezea mwanamke MTU mzima alafu baadae watarajie mtoto, kwa kijana anayejitambua haya Mambo lazima yampasue kichwa na yanamchelewesha sana kuingia kwenye ndoa. Nafikiri tutumie muda mwingi kupigania ni namna gani wanaweza kujiimarisha kiuchumi ili kuweza kumuda majukumu ya ndoa na familia, hakuna kijana aliyekamilika akakataa NDOA.

Tusiache kuombea uchumi wa Vijana WA kiume maana vita yao ni kubwa sana.
 
Unakosea mkuu,kila Kitu unachokiona ni utaratibu hata kulala usiku nani alikufundisha ni utaratibu!
Kuoga,kuvaa,vyote ni taratibu za kijamii....
Kama tusingekuwa na taratibu basi tungelala na ndugu,dada,mashangazi etc kwasababu tuwekeana taratibu yes.

Ndoa Msingi wake ni umoja na mapenz na ushirika sisi siyó kuku kuwa tumwage tusepe ,pia hata kuku ana taratibu za kutunza matetea anayoyaingilia.
Umezaliwa umefaidika na taratibu ulizokuta KWa baba na mama yako,
Ndoa ilikuwepo millennium nyingi,watu wenye akili sana kama kina sulemani ,eistein,newton waliufata who are you?

Hii ni kampeni ya mashoga na wasagaji,
#mwanaume unawezakutia,huwezi kataa ndoa
Ningewakubali hawa kataa ndoa kama wangekataa kabisa papuchi, lakini papuchi wanakula ila majukumu yake hawataki. Ni sawa na kupenda mchuzi wa nyama lakini huipendi nyama.
 
Kuna jambo ningependa nikwambie ndugu mleta uzi. Unajua kitendo cha kupromote ndoa as if watu hawajui umuhimu wake huku ukifumbia macho changamoto zinazotokana na tabia za kisasa za wanaoingia ndoani pia ni aina ya upotoshaji?

Mfano wa kulinganisha na hili swala la ndoa ni issue ya elimu ni ufunguo wa maisha ambapo wazazi waliwakazania watoto wao kuachana na kila kitu katika haya maisha yakiwamo mahusiano na wakazanie shule hadi kufika elimu ya juu kabisa yaani chuo kikuu wakiwaahidi kuwa elimu ni ufunguo wa maisha na kutoboa ni lazima. Fast forward leo, elimu iliyosisitizwa na wazazi ndio imekuwa chanzo cha umasikini na ujinga mara mbili kushinda mtu ambaye hata hajaenda shule.

Hii inakupa picha gani? Kwangu mimi inanipa picha kuwa sometimes unaweza kuwa unasisitiza jambo fulani unalo amini kuwa ni sahihi na ni kweli ni jambo sahihi ila sasa shida ikaja eneo la manufaa, je, hilo jambo lina manufaa kwa walengwa ama la?

Sasa rejea kwenye ndoa, ndoa msingi wake ni kuishi pamoja na kushare kila kitu, kitanda, miili, watoto, chakula, pesa, hisia, ndugu, mapenzi, upendo, yaani hakuna cha binafsi katika ndoa.

Ila unakutana na mifumo ambayo inaleta elements za ubinafsi na zinaharibu sasa mantiki ya ndoa. Nadhani ungewekeza mjadala kuwa ni wapi watu wanapishana uone shida. Wanawake wana tabia zao ambao wanazileta kwenye ndoa na zinazaa sura ya ubinafsi kwa wanaume. Wanaume ili kujilinda maslahi yao baada ya kustukia ubinafsi wa wanawake nao wanaamua kuwa na namna zao za kuishi ambazo zitawapa security dhidi ya ubinafsi wa wake zao.

Nadhani tungekuwa na mahaka halali kisheria inayosimamia maslahi ya wanandoa na kuwaadhibu wale wanaowafanyia visa wenzao bila upendeleo wowote wa kijinsia ndoa zingekuwa salama sana.

Sasa mfano mwanamke anamkatalia mwanaume wake tendo la ndoa kwasababu hajisikii kufanya chochote unataka mwenzako afanyeje kutuliza hamu zake, akisema anataka mke mwingine unaanza kuleta bange ndoa inavunjika?
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom