Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
Ukomavu wa nyoko,Bora tumepata mwenyekiti mwandamiz[emoji1787]i, asante mkuu[emoji120].....ndoa ni ukomavu
labda ukomavu wa K...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukomavu wa nyoko,Bora tumepata mwenyekiti mwandamiz[emoji1787]i, asante mkuu[emoji120].....ndoa ni ukomavu
Uzi uishie hapa.... Mkuu umemaliza kila kitu.. Big up 👊No offense broh, kiuhalisia unaweza Kuta wewe ndio ndio kuna uwalakini kwenye uanaume wako. Why nasema hivyo?
Ndoa ni utaratibu ambao binadamu wameweka ili kuinteract, kuzaliana nk. Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu, lakini sio jambo la lazima. Hivyo mtu ana hiari ya ama kuingia kwenye ndoa au la. Sasa inapotokea mtu akaamua kutumia uhiari wake kuamua, alafu wewe unasema ana walakini kwenye uanaume wake, jua ni wewe ndio una huo uwalakini.
Siwasupport wenye kampeni ya kataa ndoa, ila siwalaumu maana ni hiari yao. Huwezi jua walikumbwa na nini.
Tofautisha ndoa na mahusiano ya kimapenzi. Mtu anaweza kujihusisha na mapenzi bila kuwa kwenye ndoa.
🤣🤣Kiasili kabisa wabongo mtu akiwa anapata raha au chimbo la pesa wala hawezi kuwashtua wana au kuwashauri .
Ila ndoa mnaipigia kelele eti mnapata raha , sema tu mnataka kila mtu aoe ili wimbi la kuchapiwa wake lipungue[emoji16][emoji16][emoji16]
thubutu, wanachohitaji ni mgegedo kwa ku date kijana shabab, au ku nunua vipaka vya kuwalamba coochielakini wanapenda kuolewa
mhKumbe mwenyekiti wa kataa ndoa yuko kwenye ndoa[emoji849]
Hapa kushambuliwa lazima maana kataa ndoa wana team kubwaMkuu unaona wanavyonishambulia. Hao wote ni LGBTQ ndio asili ya hii movement ya kataa ndoa
Et unatafuta na mkeo, kadanganye wanaosinzia[emoji12][emoji12][emoji12]Acha uvivu oa, hayo machimbo ya pesa mtatafuta na mkeo [emoji12]
Unapenda foleni kumbeMkuu Apo mwisho umenizungumzia mimi kabisa.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Shida sio pesa shida ni hao wenye uwezo wao mzuri hizo hela kazipata kwa kumvulia chupi boss au connector wake, na ataendeleza hayo hata mko ndoani kwa sababu hawa viumbe wabinafsi wanathamini pesa kuliko utuWengine wana uwezo wao mzuri tu, lakini wanapenda kuolewa, kwanini wasiingie kwenye chama cha kataa ndoa? Je, akina dada hawa wenye uwezo wao (kifedha), wakiwafuata hawa jamaa zetu wa kiume "kataa ndoa" na kuwaomba wafunge nao ndoa, hawa vijana watakataa?
Unamaanisha mleta thread pamoja nasi tunaotaka muoe tunataka kuwaingiza shimoni ili tuteseke pamoja?🤣Kiasili kabisa wabongo mtu akiwa anapata raha au chimbo la pesa wala hawezi kuwashtua wana au kuwashauri .
Ila ndoa mnaipigia kelele eti mnapata raha , sema tu mnataka kila mtu aoe ili wimbi la kuchapiwa wake lipungue[emoji16][emoji16][emoji16]
😂😂😂😂 Kumekucha ndio kwanza January tutaboa kweli DecemberUkomavu wa nyoko,
labda ukomavu wa K...
Mimacho kama hii🙄🙄🙄🙄🙄🙄thubutu, wanachohitaji ni mgegedo kwa ku date kijana shabab, au ku nunua vipaka vya kuwalamba coochie
Ndoa ni Ajira kwa Mwanamke, yuko pale kupata ahueni ya maisha
fulia uone, hupewi nyuchi ng'o
kesho anadai talaka na kutaka mgao wa mali pasu kwa pasu we unabaki unatoa mimacho
Kuoa kuna sheria za enz na enz,ushauri kijana mdogosio wewe unayefumua mkeo atatafuta wahuni wakumfumua ila akija kwako kama malaika, siku ukishtuka ndo utajua hujui
mbona unaguna mkuu