Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Mkuu min,

Kwahyo sababu ni ndoa za kitapeli kama uljvyosema au ni kwa sababu sis tukiwa kwenye ndoa inatosha?

Mbona sielewi msimamo wako mpaka sasa?
Huyu huwezi muelewa na hawezi sema kweli. Anazunguka tu.
 
Mkuu min,

Kwahyo sababu ni ndoa za kitapeli kama uljvyosema au ni kwa sababu sis tukiwa kwenye ndoa inatosha?

Mbona sielewi msimamo wako mpaka sasa?
Mkuu najaribu kukwepa kukujibu kwa sababu ndoa yako ni changa .
Ata mimi kipindi nmeoa nilikua naona vijna wasio oa ni ma waki.

Kunywa mtori nyma zipo chini.
 
Mkuu najaribu kukwepa kukujibu kwa sababu ndoa yako ni changa .
Ata mimi kipindi nmeoa nilikua naona vijna wasio oa ni ma waki.

Kunywa mtori nyma zipo chini.
Mkuu

Unajaribu kunikwepa sababu huna hoja na si kuoinea huruma ndoa yangu.

Mimi baba mkwe wangu ni mwanasheria, mama pia ni mwanasheria.

Umesema ndoa ni mkataba wa kitapeli embu weka huo mkataba tuuone?

Uoni kwamba unaongea tu maneno matupu?
 
Unataka useme nn juu ya newton na hii kampeni ya hivyo! Go to the point
Stori zote za newton inasadikika hakuwahi kuoa.
Neno inasadikika ni kutokuwa na hakika.

There is possibility that newton alikuwa na mahusiano ya siri au hakuwa na mahusiano kabisa.
 
Are you newton?
Hakusadikika akiwa na any kind of relationship,alikuwa na special mission kama yesu na paulo mtume.

Changamoto Kataa ndoa 60% mashoga,35 satanic agent, 3 walioumizwa na 2 wafata mkumbo.
Awa satanic,walioumizwa na wafata mkumbo wanasupport Ili wazini na wanawake tofaut tofauti
Great thinker Plato pia hakuwahi kuwa na mtoto wala familia
Watu wakubwa walioweka historia duniani andika Michael Angelo , Leonardo Da Vinci pia hawakuoa au kuwa na watoto
Ndoa ni uamuzi mtu
#kataa ndoa ,ndoa ni utapeli
 
Kwa maoni yangu ndoa ni jambo jema, kuwa mke na familia ni jambo Zuri sana tena takatifu.

Tatizo letu sisi vijana wa siku hizi ni ujuaji mwingi, na tamaa, pia tuna penda sana ngono, starehe ambazo hazina mipaka hivyo kupelekea kushindwa kuchagua mchumba mmoja wa kudumu nae.

Ndoa ni rahisi sana, cha msingi ni kuwa na heshima na kujishusha kwa mwenzio, kuepuka malumbano yasio kuwa na tija , kumpenda mwenzio na kumjali, pia chagua mwanamke au mwanaume unae endana nae.

Ugumu wa ndoa unakuja pale vijana wanaingia kwenye ndoa wakiwa na mahusiano mengine, kwa hili hamtakaa sawa na ndoa itakutoa jasho, acha ku intertain x wako kama unataka kudumu katika ndoa.

Pili acha kuja kwenye ndoa kutafuta pesa , hili wengi wao ni kina dada, ingia kwenye ndoa ili mtafute wote , mpambane kwa pamoja , kwa kufanya hivyo mtadumu.

Epuka ndoa kwa ajiri ya kufanya sex tu , yaani kijana uko kwenye ndoa unawaza sex masaa 24 ndoa itakutoa jasho , cha msingi ni upendo sex ipo tu, focus zaidi kufanya kazi kujiletea kipato ili familia yako ipige hatua, waafrica tuna penda kujisifia sex kana kwamba ni mafanikio, hivyo kusahau nguzo kuu katika mausha ni kazi, hayo mengine ni ziada tu, mfano mimi nilifanya kazi na wachinese for 10 yrs nikiwa nje ya nchi, hawa watu walikuwa wana kuja business trip one year, in one year wana rudi kwao mara moja tu kwa likizo ya siku 30, tena una kuta mchina huyu kakaa africa or Europe or America 5 yrs, kila mwaka anaenda kutaza familia yake mara moja kwa mwaka, ndani ya miaka mitano una kuta kafanya maendeleo ya kutisha na maisha yana songa, bongo mtu wiki moja bila sex ana ona kama ni adhabu ya kifo, so hata akioa au kuolewa na asipate sex just two days ana hisi mke wake yuko vile au ana cheat, ohh simuelewi, haya yote ni mawazo ya kimasikini, ndio maana Africa hatuendelei.
 
No offense broh, kiuhalisia unaweza Kuta wewe ndio ndio kuna uwalakini kwenye uanaume wako. Why nasema hivyo?

Ndoa ni utaratibu ambao binadamu wameweka ili kuinteract, kuzaliana nk. Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu, lakini sio jambo la lazima. Hivyo mtu ana hiari ya ama kuingia kwenye ndoa au la. Sasa inapotokea mtu akaamua kutumia uhiari wake kuamua, alafu wewe unasema ana walakini kwenye uanaume wake, jua ni wewe ndio una huo uwalakini.

Siwasupport wenye kampeni ya kataa ndoa, ila siwalaumu maana ni hiari yao. Huwezi jua walikumbwa na nini.

Tofautisha ndoa na mahusiano ya kimapenzi. Mtu anaweza kujihusisha na mapenzi bila kuwa kwenye ndoa.
Account yako? Tuweke chochote
 
Tupe link inayohakiki sl maneno yako.

Isiyokuwa na maneno “claimed”
Nani alisema claimed , hiyo claimed ni yako , ni uhakika kwamba Isaac Newton hakuwahi kuwa na familia wala kuoa Acha kuwa mbishi kama muha wa kigoma
Soma hapo
 
Back
Top Bottom