min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
🤗Nimeuliza kutokana na uliyosema,hongera kwa kugundua mtego wa swali.
🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤗Nimeuliza kutokana na uliyosema,hongera kwa kugundua mtego wa swali.
🤣
Note hajawahi kuwa pia na mahusiano ya aina yoyote usisahau. na hilo,Sir Isaac Newton umemsingizia ,hajawahi kuwa na mke wala mtoto
Huyu huwezi muelewa na hawezi sema kweli. Anazunguka tu.Mkuu min,
Kwahyo sababu ni ndoa za kitapeli kama uljvyosema au ni kwa sababu sis tukiwa kwenye ndoa inatosha?
Mbona sielewi msimamo wako mpaka sasa?
Ndugu yangu min-me yupo vzur kukwepa maswali ila anakosa support sababu hana hoja hapo ndipo anafeli😂Nimeuliza kutokana na uliyosema,hongera kwa kugundua mtego wa swali.
🤣
Kuna neno “inasadikika”I
Note hajawahi kuwa pia na mahusiano ya aina yoyote usisahau. na hilo,
Na inasadikika hajawahi kufanya mapenzi
Wala sijishitukii, kwakuwa kuoa au kuolewa ni "nature", kama ilivyokuwa kwa kula au kwenda haja (kubwa au ndogo). You won't regret these two! Kama ingekuwa kuoa ni fedha, huenda wengi tusingezaliwa!Unasema pesa isiwe kigezo cha kuoa? Duh hujishtukii kuandika hivyo
Mkuu najaribu kukwepa kukujibu kwa sababu ndoa yako ni changa .Mkuu min,
Kwahyo sababu ni ndoa za kitapeli kama uljvyosema au ni kwa sababu sis tukiwa kwenye ndoa inatosha?
Mbona sielewi msimamo wako mpaka sasa?
Hiyo sio ndoa,ni kikosi cha wahuni waliotamaniana hadi kupeana mimba.Kuna mmoja kanishangaza.
Kwamba wanalea mtoto na hawana ugomvi ila kila mtu anakaa kivyake😂
Isaac Newton hakuwa na mke wala mtoto ,same applies Kwa Nico Tesla , the great inventor WA karne hiiHilo linabaki kuwa claimed.
Na si kuthibitishwa.
Aiseee 🤣🤣🤣Unakubalije mdoa wakati mchi imejaa wakimbizi kibao hadi huko serikalini wameajiriwa ma wengine kupewa teuzi?
Unataka useme nn juu ya newton na hii kampeni ya hivyo! Go to the pointKuna neno “inasadikika”
That’s 50/50
MkuuMkuu najaribu kukwepa kukujibu kwa sababu ndoa yako ni changa .
Ata mimi kipindi nmeoa nilikua naona vijna wasio oa ni ma waki.
Kunywa mtori nyma zipo chini.
Tupe link inayohakiki sl maneno yako.Isaac Newton hakuwa na mke wala mtoto ,same applies Kwa Nico Tesla , the great inventor WA karne hii
Stori zote za newton inasadikika hakuwahi kuoa.Unataka useme nn juu ya newton na hii kampeni ya hivyo! Go to the point
Great thinker Plato pia hakuwahi kuwa na mtoto wala familiaAre you newton?
Hakusadikika akiwa na any kind of relationship,alikuwa na special mission kama yesu na paulo mtume.
Changamoto Kataa ndoa 60% mashoga,35 satanic agent, 3 walioumizwa na 2 wafata mkumbo.
Awa satanic,walioumizwa na wafata mkumbo wanasupport Ili wazini na wanawake tofaut tofauti
Account yako? Tuweke chochoteNo offense broh, kiuhalisia unaweza Kuta wewe ndio ndio kuna uwalakini kwenye uanaume wako. Why nasema hivyo?
Ndoa ni utaratibu ambao binadamu wameweka ili kuinteract, kuzaliana nk. Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu, lakini sio jambo la lazima. Hivyo mtu ana hiari ya ama kuingia kwenye ndoa au la. Sasa inapotokea mtu akaamua kutumia uhiari wake kuamua, alafu wewe unasema ana walakini kwenye uanaume wake, jua ni wewe ndio una huo uwalakini.
Siwasupport wenye kampeni ya kataa ndoa, ila siwalaumu maana ni hiari yao. Huwezi jua walikumbwa na nini.
Tofautisha ndoa na mahusiano ya kimapenzi. Mtu anaweza kujihusisha na mapenzi bila kuwa kwenye ndoa.
Nani alisema claimed , hiyo claimed ni yako , ni uhakika kwamba Isaac Newton hakuwahi kuwa na familia wala kuoa Acha kuwa mbishi kama muha wa kigomaTupe link inayohakiki sl maneno yako.
Isiyokuwa na maneno “claimed”
Limeisha broAnza kufanya kampeni sasa inatakiwa nipewe uongozi rasmi. Utakua my sidekick