Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Mishangazi misafi halafu lainiiii uji kwenye mfuko wa ramboWatu mmegoma 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishangazi misafi halafu lainiiii uji kwenye mfuko wa ramboWatu mmegoma 😂
Huyo poor brain anachangamsha genge tu 😃Kwamba wamama hamna kitu au?
Tangu leo nakuweka katika list ya Females wasema ukweli JF.Sorry not sorry, Nimesikia kuwa…..
older men wanajua kufanya mapenzi (kwa aliyejitunza hana magonjwa) Wanajua passionate-love making. (malaya wa zamani) na wanaenjoy sex may be sababu wanaifanya out of it! Na probably sababu kuna mambo wameshayasettle now wapo kuenjoy sex.
Vijana wana energy, wanasugua weeeee hadi cheche! Purely sex, fujo sio love making!
Msinishike shati, hii nilisikia kwenye kikao cha mwisho nilichohudhuria kijiweni kwetu 😂
Sijakusahau kwa wasema ukweliNaunga mkono hoja🤣🤣🤣
Mkuu,Tangu leo nakuweka katika list ya Females wasema ukweli JF.
Nimefurahi ulivyofafanua kuwa kuna love making na Sex. Wengi wa akinamama wanapenda love making ingawa sisi wanaume tunapenda sex.
Vijana huwa wanaona wao ndiyo kila kitu akina ERoni na ujuaji mwingi.
Niseme za ukweli sisi mibabu tunayajua haya hasa baada ya kuchoshwa na mabibi zenu ambao kutwa kucha wanahangaika na Bamia, kukavu kule. Kusema za ukweli, mshangazi 26+ anipite pembeni maana yeye ashaanza kufikiria kuolewa, kujenga nyumba, kununua gari, kuwa singo mum etc. Hata mkiingia mehala elkubra eljabir, yeye anaanza kupiga bajeti atakutoa kiasi gani, mpaka hapo unadhani saa ngapi atakojoa. Vikoba hivyo!
Kibinti (marafiki zetu) 18-25 hao wao ni kucheza mara akukuchee muziki, akupe story za madisko wewe babu, mara akutoe minywele kwa sukari gulu, vurugu si vurugu. Ukimpa laki anafurahi ajabu ila 26+ ukimpa laki anafikiria million 10 anunue Vitz. Na ukiwa kizee kama mimi ukang'ang'ana na 26+ lazima ufe kwa kuhangaika na viagra maana manataka asuguliweeeeee mpaka asahau vikoba ndipo akojoe. Hapo BP itakuacha?
Hitimisha kwa kumsikiliza huyu mshangazi
View attachment 3143341
Sahihi kabisa …. Wengi nimewauliza wanasema 10-20 LOLGap isiwe kubwa sana, watu wanakosa chemistry kabisa, hawaendani. Kwangu 10-12yrs max.
Mimi nataka gap yangu na yeye iwe 5-10, kwanza nikiona mwanamke nikamkadiria hapo napata amani hata kupiga nae story.Sahihi kabisa …. Wengi nimewauliza wanasema 10-20 LOL
Hahaha Waume za watu tena! Huyu mshangazi ajiandae kuomba maji 😂😂😂Tangu leo nakuweka katika list ya Females wasema ukweli JF.
Nimefurahi ulivyofafanua kuwa kuna love making na Sex. Wengi wa akinamama wanapenda love making ingawa sisi wanaume tunapenda sex.
Vijana huwa wanaona wao ndiyo kila kitu akina ERoni na ujuaji mwingi.
Niseme za ukweli sisi mibabu tunayajua haya hasa baada ya kuchoshwa na mabibi zenu ambao kutwa kucha wanahangaika na Bamia, kukavu kule. Kusema za ukweli, mshangazi 26+ anipite pembeni maana yeye ashaanza kufikiria kuolewa, kujenga nyumba, kununua gari, kuwa singo mum etc. Hata mkiingia mehala elkubra eljabir, yeye anaanza kupiga bajeti atakutoa kiasi gani, mpaka hapo unadhani saa ngapi atakojoa. Vikoba hivyo!
Kibinti (marafiki zetu) 18-25 hao wao ni kucheza mara akukuchee muziki, akupe story za madisko wewe babu, mara akutoe minywele kwa sukari gulu, vurugu si vurugu. Ukimpa laki anafurahi ajabu ila 26+ ukimpa laki anafikiria million 10 anunue Vitz. Na ukiwa kizee kama mimi ukang'ang'ana na 26+ lazima ufe kwa kuhangaika na viagra maana manataka asuguliweeeeee mpaka asahau vikoba ndipo akojoe. Hapo BP itakuacha?
Hitimisha kwa kumsikiliza huyu mshangazi
View attachment 3143341
Sasa kijana wa miaka 24 je anatakiwa kutoka Mabinti wa umri ip??Tumieni akili zenu vizuri ...serikali ndiyo imesababisha hayo mambo kutokana na sheria za kijinga ...mfano mvulana wa miaka 18 ndiyo kapewa ruhusa kusex na mwanamke sasa tujiulize huyu mvulana wa miaka 18 anatongoza msichana wa miaka mingapi ?
Kikawaida mvulana anatakiwa kutongoza wasichana wadogo chini yake ...sasa hapo kuna kingamo la kisheria linasema ni ubakaji kama huyo mvulana akiwaendea wasichana walio chini ya miaka 18 yaani wenye miaka 12 hadi 17 anatishiwa kifungo cha maisha na mara nyingi wasichana wanao kuwa karibu na mvulana wa 18y ni walio chini ya huo umri ..hivyo huyo mvulana analazimika kutumia nguvu nyingi kuwatongoza wasichana wakubwa wanao mwona yeye ni mdogo. Hiyo inasababisha mageuzi kisaikolojia kwa wavulana kuanza kuzoea kutongoza na kutembea na mishangazi kuliko walio chini ya umri wao.
Haya mambo yapo kweli tunayaona mitaani.Huyo poor brain anachangamsha genge tu 😃
😃😃😃Haya mambo yapo kweli tunayaona mitaani.
Haya mambo yapo sana mai furendi.😃😃😃
Aisee sijui kwanini Mimi huwa siyaoni zaidi ya kuyasoma tu mitandaoni
Hivi unajua tofauti kati ya sex na love making ndugu!Mkuu,
Kwani wewe una umri gani?
Binafsi najua wadada below 30 hawatoshi kwenye love making, yaani wanajua kwichikwichi ile kukata mauno en the like, lakini katika ishu ya mapenzi hawajui, hawaijui miili yao vizuri, most of them hata kibohehe hawajawahi kufika. Ndio maana binafsi siwezi kudate na watu wa aina hiyo, naamini mdada 32+ hivi anaweza kuwa na utam wa kutosha.
Kuna sehemu niliwahi kusoma kwamba asilimia karibu 75 ya wanawake hawajawahi kufika kileleni katika maisha yao.Hivi unajua tofauti kati ya sex na love making ndugu!
By the way wanawake wengi huwa hawajawahi kukojoa. Kipimo cha kukojoa ni wivu. Mwanamke ambaye hajawahi kukojoa huwa hana wivu ila akikojoa tu, wivu ni balaa! Ndiyo maana tamaduni za mitala, wanawake walikuwa wanakeketwa. Mwanamke ambaye hayupo katika influence ya kitu kama ulevi etc mpaka akojoe lazima awe amekupenda
Huko mtaani ndo unakutana na kina sio daily tunasemwa na wazee kutokana na tabia chafy ka hizi 😂😂😂Haya mambo yapo kweli tunayaona mitaani.