Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari kuna mtu amechapiwa....pole sana.Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
Kwenye jambo la mtu tu tu tu kaa mbaliKatika kitu sitakagi kusikiliza kwenye usaliti ni sababu, umeamua kutoa toa bila sababu/kashfa za kumponda mwenzi wako.
Mke wa mtu tu tu tu tu tu tu sumu
DohAnakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
Eh aah aaaah kuna jelaKwenye jambo la mtu tu tu tu kaa mbali
Sisi sio milima tutakutanaEh aah aaaah kuna jela
Noma sana
Aah aaaah kuna jela
Sema kweliUkiwa mjanja kuchapiwa ni Siri ya ndani
Hili linyimbo lina vibe sana.Sisi sio milima tutakutana
Sisi ni people tutaonana
Si sio visima tutasomana
Tukiwa kama people kitaumana umana🔫🔫🔫