Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamekusibu yapi mkuuAnakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
Hili linyimbo lina vibe sana.
Mjanja M1 , you're so scared ma Man vipi ukepatwa na mke ya wenyewe nin😅Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
Waambie hao.Mume atajidai hana muda na mkewe lakini akikukuta naye anakuua.Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
Mimi nilie nae hua ananiambia mume wake yuko vizuri mno kitandani na alishaniambia kabisa kwamba mumewe ana "mzigo" kuliko wangu. Tena aliniambia mume wake ndio alimtoa sealed. Cha ajabu sasa huu ni mwaka unaenda wa 4 tuko pamoja na nikitishia kumuacha anapambana balaa..Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
Uhakika basi.HAPANA MKUU.
Mimi natengeneza Contents tu.
NAICHANGAMSHA JAMIIFORUMS.
Labda anamuandalia mumewe zawadi.Mimi nilie nae hua ananiambia mume wake yuko vizuri mno kitandani na alishaniambia kabisa kwamba mumewe ana "mzigo" kuliko wangu. Tena aliniambia mume wake ndio alimtoa sealed. Cha ajabu sasa huu ni mwaka unaenda wa 4 tuko pamoja na nikitishia kumuacha anapambana balaa..
Aaha aaha aah kuna jelaKwenye jambo la mtu tu tu tu kaa mbali
[emoji16][emoji16]Ukimegewa nawe tafuta mnyonge mmegee, haipunguzi maumivu inaongeza hadhi ya kiume.
Wacha tuoneLabda anamuandalia mumewe zawadi.
Mke akigawa kwa wengine muache keshakuwa malaya huyo, kachukue mwingine naye akigawa chukua mwingine. Mbona magari yanakula pesa zetu na tunayabadili tu bila shida?Madhara ya kuoa mke wa jamii hayo , usioe kama hauna uwezo wa kumudu kuchapiwa .
Unafikiri ukiua au kumpaka mafuta ya upako master, ndio mke wako ataacha kuchapwa ?
Wakuchapwa ni wakuchapwa tu haijalishi umekasirika vip baada ya kumkuta akichapwa ,kama ni kuchapwa atachapwa tu .
Kabisa mkuu , kwa sababu mpka mwanamke mtu mzima aamue kumpa utamu wake , mwingne tofauti na mme wake yeye sio mtoto ujue!!Mke akigawa kwa wengine muache keshakuwa malaya huyo, kachukue mwingine naye akigawa chukua mwingine. Mbona magari yanakula pesa zetu na tunayabadili tu bila shida?
Gari limeanza mamiss yasiyoisha unaangaika nalo la nini? Unatafuta jingine lisilo na miss hata kama ni used.
Huu msemo wa kuchapiwa hauna mashiko. Mwanamke kachapwa kwa kutaka yeye mwenyewe, kazini, kafanya umalaya na si vinginevyo.Kabisa mkuu , kwa sababu mpka mwanamke mtu mzima aamue kumpa utamu wake , mwingne tofauti na mme wake yeye sio mtoto ujue!!