Kijana Mke wa mtu atakuliza siku moja

Kijana Mke wa mtu atakuliza siku moja

FUTA la mgando au koozi jepesi litausika kijana ukikamatwa na mke wa mtuu..

Kaa mbali na mke wa mtu na wanafunzi ,malaya mpk wa buku wapo
 
Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?

Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?

Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?

Anakwambia anakupenda sana eeeh!

Utalia siku moja.
Mjanja M1 , you're so scared ma Man vipi ukepatwa na mke ya wenyewe nin😅

Sikupingi wanawake ni wanafiki na kumsema kote vibaya mumewe ila hawezi muacha maana ndo anamweka mjini.

Nilichogundua ukiona mwanamke anamsema vibaya mtu flan mara zote haimaanish hampendi ila anakutambia hujijui tu.
 
Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?

Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?

Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?

Anakwambia anakupenda sana eeeh!

Utalia siku moja.
Mimi nilie nae hua ananiambia mume wake yuko vizuri mno kitandani na alishaniambia kabisa kwamba mumewe ana "mzigo" kuliko wangu. Tena aliniambia mume wake ndio alimtoa sealed. Cha ajabu sasa huu ni mwaka unaenda wa 4 tuko pamoja na nikitishia kumuacha anapambana balaa..
 
Mimi nilie nae hua ananiambia mume wake yuko vizuri mno kitandani na alishaniambia kabisa kwamba mumewe ana "mzigo" kuliko wangu. Tena aliniambia mume wake ndio alimtoa sealed. Cha ajabu sasa huu ni mwaka unaenda wa 4 tuko pamoja na nikitishia kumuacha anapambana balaa..
Labda anamuandalia mumewe zawadi.
 
Madhara ya kuoa mke wa jamii hayo , usioe kama hauna uwezo wa kumudu kuchapiwa .

Unafikiri ukiua au kumpaka mafuta ya upako master, ndio mke wako ataacha kuchapwa ?

Wakuchapwa ni wakuchapwa tu haijalishi umekasirika vip baada ya kumkuta akichapwa ,kama ni kuchapwa atachapwa tu .
 
Madhara ya kuoa mke wa jamii hayo , usioe kama hauna uwezo wa kumudu kuchapiwa .

Unafikiri ukiua au kumpaka mafuta ya upako master, ndio mke wako ataacha kuchapwa ?

Wakuchapwa ni wakuchapwa tu haijalishi umekasirika vip baada ya kumkuta akichapwa ,kama ni kuchapwa atachapwa tu .
Mke akigawa kwa wengine muache keshakuwa malaya huyo, kachukue mwingine naye akigawa chukua mwingine. Mbona magari yanakula pesa zetu na tunayabadili tu bila shida?

Gari limeanza mamiss yasiyoisha unaangaika nalo la nini? Unatafuta jingine lisilo na miss hata kama ni used.
 
Mke akigawa kwa wengine muache keshakuwa malaya huyo, kachukue mwingine naye akigawa chukua mwingine. Mbona magari yanakula pesa zetu na tunayabadili tu bila shida?

Gari limeanza mamiss yasiyoisha unaangaika nalo la nini? Unatafuta jingine lisilo na miss hata kama ni used.
Kabisa mkuu , kwa sababu mpka mwanamke mtu mzima aamue kumpa utamu wake , mwingne tofauti na mme wake yeye sio mtoto ujue!!
 
Back
Top Bottom