heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Pole sana wake za watu walikuwa wachumba za watu apo mwanzo ex wangu kaolewa ila ananiletea niiache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akidakwa on sport mtindueni marindq vizuriHatulali, tunapambana. Tunaumia, tunachoka, tunateseka, tunarudi nyumbani baada ya miezi 3 lwa kufight ili kesho yetu na familia zetu iwe nzuri alafu leo dogo mmoja mpaka rangi kucha za wanawake anajitamba kutembea na wake zetu kwa kuwa hatuna muda wa kukaa nyumbani, huku tumezaa na kuanza kujenga maisha ya watoto wetu.
Hakika tukimshika. Atashindwa kukaa wala kutembea maana lazima tumshughulikie hadi tuutoe utumbo wake (Upuru) nje.
Tunauchungu na maumivu tupitayo kwenye mapambano ya maisha.
Endelea tu ila utakipata fresh muda si mrefu😀😃😄😁😆😅.Pole sana wake za watu walikuwa wachumba za watu apo mwanzo ex wangu kaolewa ila ananiletea niiache
sawa najikaza mkuu silii tenaUsilie ndio ukweli huo 😌
Jiadanganye...ikinifuata geto naichapa..Endelea upate mrejesho
Aaah Aaaaaaaaaaaah,Kwenye jambo la mtu tu tu tu kaa mbali
Utaita maji mma siku kisu kikiwa shingoniJiadanganye...ikinifuata geto naichapa..
Akijileta geto kwangu ni mali yangu...Utaita maji mma siku kisu kikiwa shingoni
Hao malaya wa buku wako mkoa gani ili nije, niachane kabisa na mke za watu?FUTA la mgando au koozi jepesi litausika kijana ukikamatwa na mke wa mtuu..
Kaa mbali na mke wa mtu na wanafunzi ,malaya mpk wa buku wapo
Siyo ushauri mzuri kama kweli huyo mwanamke amemchoka mmewe avunje ndoa na afunge ndoa na kijana maisha yaendele. Tuache kulazimisha mapenzi. Wanawake wapo wengi nje na ndani ya Tanzania.Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
Kumegewa ni jambo moja kukimbiwa ushafikiria,Ukimegewa nawe tafuta mnyonge mmegee, haipunguzi maumivu inaongeza hadhi ya kiume.
Mwana fa😁🤣Ukimegewa nawe tafuta mnyonge mmegee, haipunguzi maumivu inaongeza hadhi ya kiume.