Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Vijana mna tabu
 

Najitolea kuwa shahidi, popote pale mtakapokuwa nipo tayari kuwa shahidi….!!!!
Mambo ya kushuhudia nayapenda sana, so mtanijulisha nije na camera za aina gani na ngapi, ili kama vipi nijue hii alphard naweka mafuta ya bei gani na vijana wangpi wabebe camera ili tunase matukio yote kila angle!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…