nk 47
Member
- May 2, 2014
- 21
- 10
Mashine za kusaga na kukoboa inategemeana ila inaanzia TSH 7mil-10Hizo mashine za 1. kukoboa mpunga
2. kukoboa na kusaga unga natakiwa niwe na mtaji kiasi gani kwa kila mashine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashine za kusaga na kukoboa inategemeana ila inaanzia TSH 7mil-10Hizo mashine za 1. kukoboa mpunga
2. kukoboa na kusaga unga natakiwa niwe na mtaji kiasi gani kwa kila mashine
Nicheck kwa 0625008306Anatakiwa kijana mwenye wazo la Biashara linaloendana na taaluma yake ambapo anahakika litaleta faida, anitafute ni muunganishe; (faida watagawana kwa makubaliano)
Biashara iwe halali na isiwe ya Kilevi na pia isiwe mikopo umiza
Mawazo ya hivi ni magumu kuyakuza, unaweza ukakaa miaka hata mitano na mtaji ukahitajika huo huo wa 2.5 mil with profit continue to godown as compared to capital. Ila mawazo ya hivi yapo mengi tuInvestment amount 2.5M
Weekly Profit around TZS. 500,000 | Yaani wastani wa 100,000 kwa siku. | Kwa siku 5 za kazi.
Inbox tufanye kazi.
Kama ipo 10M, njoo tubadilishe dunia kwenye upande wa kilimo na ufugaji kwa kutengeneza app ambayo itasaidia watz kuuza na kununua malighafi itokanayo na kilimo na ufuagji nchi nzima na east africa kwa ujumla.
Kupitia app hii tutaweza kuisaidia serikali kwa upande wa ajira kwa kuajiri wataalam wa kilimo na ufugaji pia nakutoa elimu kwa wakulima na wafugaji kwa urahisi zaidi nchi nzima.
Njoo tuingize pesa tukiwa tumelala...
Wazo langu: KUFUNGUA MGAHAWAAnatakiwa kijana mwenye wazo la Biashara linaloendana na taaluma yake ambapo anahakika litaleta faida, anitafute ni muunganishe; (faida watagawana kwa makubaliano)
Biashara iwe halali na isiwe ya Kilevi na pia isiwe mikopo umiza
Ni rahisi, nina uzoefu tangu 2017. Ninachokizungumza ndicho ninachofanya kila siku, na ninachofanya ninakijua zaidi ya maelezo, bali kwa vitendo.Mawazo ya hivi ni magumu kuyakuza
Kwa hiyo kinadharia, na kwa kutokujua kivitendo uko sahihi. sio kosa lako.unaweza ukakaa miaka ata mitano na mtaja ukaitajika uo uo wa 2.5 mil with profit continue to godown as compared to capital.
https://docs.google.com/spreadsheets/d/1U0M8mZBnGMa9NQoC6o6qaYphTbM58T28_2LgDbBVfrw/edit#gid=0
Nirudi kwako, ndugu thomas barbona , tushirikishe wazo lako la biashara, kama ilivyo, Hoja ya mleta mada ili👇👇👇 tuweze kujifunza pia.M
Mawazo ya hivi ni magumu kuyakuza, unaweza ukakaa miaka ata mitano na mtaja ukaitajika uo uo wa 2.5 mil with profit continue to godown as compared to capital. Ila mawazo ya hivi yapo mengi tu
Anatakiwa kijana mwenye wazo la Biashara linaloendana na taaluma yake ambapo anahakika litaleta faida, anitafute ni muunganishe; (faida watagawana kwa makubaliano)
Biashara iwe halali na isiwe ya Kilevi na pia isiwe mikopo umiza
Ni rahisi, nina uzoefu tangu 2017. Ninachokizungumza ndicho ninachofanya kila siku, na ninachofanya ninakijua zaidi ya maelezo, bali kwa vitendo.
Twende kwa mfano hai wa vitendo.
Jumapili(05/03/2023) nimekabidhiwa account ya $5,000 na mdau mmoja.
- Jana siku ya kwanza matokeo ni haya.
View attachment 2539912
- Angalia tarehe ( Ni siku ya jana)
-Nilifungua trade 7, - Trades 5 prrofit, Trade mbili ni Loss 2 | Ukiangalia kwa umakini utaona hapo kuna AUDUSD ambapo hesabu yake ni ( $-27.36 + $50.6 ) ikiwa na maana niliingia mwanzo,nikatolewa, nikaingia tena baada ya dakika chache.
View attachment 2539915
Net profit ni $115, kumbuka hii ni account ya $5K,
na kwa mtaji wa 2.5M hapo, nazungumzia account ya $50K, ndio sababu nikasema kwa hakika kabisa kutafuta asilimi 0.5% kwa siku toka account ya $50,000 kwamwe siwezi kushinwa, ambao kwa wiki(5 trading days) nakuwa na 2.5% na naweza kufanya withdraw.
View attachment 2539917
Na hii hapa chini ni Screen shot toka MT5 | Utaona muda wa kufungua trade na muda wa kufunga.
View attachment 2539918
Huu ni mfano mmoja tu | Tena ni Manual trading | Yaani trading kwa kudokoa kapair kamoja kamoja.
Twende mfano wa pili | Ambapo natumia mFlow EA
- Account size ni $10,000
View attachment 2539919
View attachment 2539920
- Hizi ni trades zilizofubguliwa na kufunwa siku ya Jana.
- Ifuatayo ni summary ya ufanyajikazi wa EA kwa jana
View attachment 2539921
- Utaona ilifungu na kufunga trades 69
- Win Rate ni above 50, Profit factor 2.23, Average RRR ni 1.62
Grouth curve ambapo EA ilifunga siku kwa profit ya $1,377 na kufanya Jumla ya $11,377 toka initia balance ya $10,000
View attachment 2539922
Hivyo nina njia zaidi ya moja kuhakikisha 0.5% inapatikana kwa kila siku.
=
Hivyo wakati wengine wanazungumza kinadhari kuhusu biashara, Mimi nazungumza kutokana na vitendo, na nina uwezo wa kukuthibitishia kwa vitendo, hata kama utataka tuanze hivi leo muda huu.
Kwa hiyo kinadharia, na kwa kutokujua kivitendo uko sahihi. sio kosa lako.
==
Kwa potentia investors | Na pokea Instant funding toka Finotive Funding, ambapo maximum allocation ya capital kwa trader mmoja ni $600,000 | Hivyo nahitaji watu wasiozidi 12 tu, kila mmoja kwa account size ya 50K.
=
Account size ya chini ninayopokea toka Finotive ni $10,000
View attachment 2539923
Hivyo wewe kama business partne ,una option ya kuchagua moja kati ya hizi account size:
Sipokea account size chini ya 10K, Njoo inbox uniambie account size unayohitaji ili tufanye kazi.
- $100,000
- $50,000 | Hii ndio target yangu ya awali kwa mtaji wa TZS. 2.5M
- $25,000 na
- $10,000
=
Withdraw threshold kwa Finotive funding ni 2.5% ya starting balance.
==
- Withdraw ni kwa wiki ( iwapo kila wiki utakuwa na profit sawa au zaidi ya 2.5%)
- Leta mtaji, Tunagawana profit 50/50 kwa kila withdraw | Mkataba ni siku 90
- Kama una swali na unahitaji ufafanuzi njo inbox tufanye kazi kwa vitedno na sio kinadharia.
Kinumbo IT Pro Mchimba Chumvi STREET SMART
nyakubonga King Kong III Steve96 Developer
Nasibu Thabith Holly Star thomas barbona Hassanjk
=
Hapa chini ni orodha ya kampuni ( PropFirms ) ambazo ni bora zaidi.
Code:https://docs.google.com/spreadsheets/d/1U0M8mZBnGMa9NQoC6o6qaYphTbM58T28_2LgDbBVfrw/edit#gid=0
Vitu vinawezekana kabisa. Tena kwa mtaji wa mleta mada | Tunachukua Instant funding za $100,000 account mbili tu. | Hapo uhakika kila wiki unalaza milioni 5 | yes milioni tano kwa wiki possible.
Biashara ipo ya kuuza personal care products kwa wholesale tunaingiza mizigo kutoka viwanda vya hapa East Africa tunauza wholesale njoo uongeze mtaji tunakubaliana faida tugawaneje siku ukiona unahitaji pesa yako unachukua unaacha mtaji niliokuwa nao.Anatakiwa kijana mwenye wazo la Biashara linaloendana na taaluma yake ambapo anahakika litaleta faida, anitafute ni muunganishe; (faida watagawana kwa makubaliano)
Biashara iwe halali na isiwe ya Kilevi na pia isiwe mikopo umiza
,Vitu vinawezekana kabisa. Tena kwa mtaji wa mleta mada | Tunachukua Instant funding za $100,000 account mbili tu. | Hapo uhakika kila wiki unalaza milioni 5 | yes milioni tano kwa wiki possible.
=
Muda huu nina entry 3 nasubiria movement London Session
View attachment 2540185
Ed. ,Xx az zzzzdzs
Biashara zinahusu app kwa Africa especially Tanzanian bado sana. Tusifanye mtoa pesa apate BP bure.Kama ipo 10M, njoo tubadilishe dunia kwenye upande wa kilimo na ufugaji kwa kutengeneza app ambayo itasaidia watz kuuza na kununua malighafi itokanayo na kilimo na ufuagji nchi nzima na east africa kwa ujumla.
Kupitia app hii tutaweza kuisaidia serikali kwa upande wa ajira kwa kuajiri wataalam wa kilimo na ufugaji pia nakutoa elimu kwa wakulima na wafugaji kwa urahisi zaidi nchi nzima.
Njoo tuingize pesa tukiwa tumelala...
Poor and middle class people AVOID RISK, but rich people takes MORE RISK.
The Risks Associated With Trading With A Prop Firm
Prop firms are generally much higher risk than trading with a traditional broker. This is because prop firms typically don't have the same regulatory protections in place that traditional brokers do. Additionally, prop firms often require their traders to put up a significant amount of money as collateral, which can be lost if the trader is unsuccessful. Finally, many prop firms require their traders to sign away their rights to sue the firm if they are unhappy with the way their account is managed. All of these factors make trading with a prop firm a much riskier proposition than trading with a traditional broker.