Sema Tajiri mtarajiwa basi!βΊοΈAcha zako tajiri π
Akaunti ya euro aaaah wewe umeshaingia daraja la uchumi wa kati juu πSema Tajiri mtarajiwa basi!βΊοΈ
Mpaka ya π΅ ipo ila kama hazina kitu na mimi ni wale wale tu!π₯΄Akaunti ya euro aaaah wewe umeshaingia daraja la uchumi wa kati juu π
We sema tu nichague kiwanja gani nikakusaidie kuzipasua tajiri πMpaka ya π΅ ipo ila kama hazina kitu na mimi ni wale wale tu!π₯΄
Samahan naomba kufahamu ukiulizia Salio kwa NMB app mkononi unakatwaKijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Hapa kwa mama ntilie wa jirani na nyumbani.πWe sema tu nichague kiwanja gani nikakusaidie kuzipasua tajiri π
Hapo terrace sio sawa tajiri πHapa kwa mama ntilie wa jirani na nyumbani.π
Terrace kama unalipa wewe.Hapo terrace sio sawa tajiri π
Hahahaaa mama asha atakuwa mama ntilie wa kishua anapokea euros π₯Terrace kama unalipa wewe.
Kama nalipa mimi kwa Mama Asha panatufaa.
Mzee yaani libuku aka afu mojaNina 1000/= tu....kama savings, hii hatar sana ahsante kwa kunikumbusha mkuu...
bado haijajulikana ni nani anahusika na kifo chake , tusubiri uamuzi wa mahakamaNi kweli chuo kikuu wanaoongoza kufeli ni hawa wa school bus?? Yani wa private schools vs public schools?? Private wanafeli sana kulinganisha na wanangu waliotoka shule za kata??
Kampunyenye ππbado haijajulikana ni nani anahusika na kifo chake , tusubiri uamuzi wa mahakama