Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Angalia vizuri kabisa na simu nyingine ,kioo cha simu kwa nje nikaonekana.Money speaks one language if you save me today I will save you tomorrow.
Hongera kwa akiba ila hio pesa ungewekeza sehemu ikuletee faida na uwe na emergency fund hata 10m. Ungekuwa mbali sana.
Alafu by the way hivi nmb app siku hizi wanaruhusu screen shot haina maana kupost picha kuonesha watu kwamba unahela kiasi gani,kuna watu wanahela kibao lakini hawapendi kelele.
hii ni kweli kabisa sbb kuweka akiba ni ujasiri ambao sio kila mtu anao!Falsafa ya kwanza ya uwekaji akiba kwa pesa unazopata, iwe za mshahara au faida ya ujasiriamali au biashara; Weka akiba kwanza zinazobaki ndiyo tumia, usiseme unatumia kwanza zinazobaki ndiyo uweke akiba. Hutoweza.
Kama falsafa hiyo ya kwanza umeielewa, ukitaka kuelewa falsafa ya pili na tatu utauliza niziandike.
Kama hujaielewa hiyo ya kwanza usiulize kuhusu ya pili na ya tatu.
Mkopo wako wa NMB umesha ingia?Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
🤣🤣🤣Mkopo wako wa NMB umesha ingia?
nimeielewa...andika zilizobakiaFalsafa ya kwanza ya uwekaji akiba kwa pesa unazopata, iwe za mshahara au faida ya ujasiriamali au biashara; Weka akiba kwanza zinazobaki ndiyo tumia, usiseme unatumia kwanza zinazobaki ndiyo uweke akiba. Hutoweza.
Kama falsafa hiyo ya kwanza umeielewa, ukitaka kuelewa falsafa ya pili na tatu utauliza niziandike.
Kama hujaielewa hiyo ya kwanza usiulize kuhusu ya pili na ya tatu.
Nakushauri uiweke fixed account,,angalau ikuzalishie million 3 kwa mwaka au laki 250 kwa mweziKijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Havoc ni wapi?Hiyo pichq kaweka si yake.
Kaonyesha demo.wewe unafikiri mtu mwenye pesa atahangaika hapa jF kuonyesha pesa zake wakat havoc pisi zimejaa?
Kipumbwi huko mkuu.Havoc ni wapi?
hah akili mtu wangu.nabado bata kama kawa🤣🤲🙌
Wewe ni bwanyenye tajiri 😄Mie nina deni la 13 Billions
raraa reree embu niache bana!😑Aya jamanii 200mil hiyoo
Mwenye 500mil 1bil aweke wapi Depal Dr Lizzy mshamba_hachekwi Maghayo Tayana-wog Extrovert Saint Anne Mahondaw Smart911 RRONDO@Mideko
Zipo zinazoruhusu....What I understand is, banking apps do not allow taking screenshots.
Tell us you took a picture, which is not true.
Nevertheless, sina hela.