😜 kwani unazo ngapi.!?sasa sijui niweke ya benki gani ndo natafakri apa,
hata na hivyo nikiweka mapicha hata shamba na ya mang'ombe yangu tu kule shamba pia si ni sawa tu na balance....
Dadadeki😅😅😅Hao maneno ya wakosaji, yy aweke balance hapa..!! Hoja inapingwa kwa hoja.
Waache makasiriko ya January 😂😂😂
Unapajua nyumbanitu?Utalia kilio kibaya ww 🤣🤣🤣
Bora kijumbe awe mwanamke mtalipana kivingine, ila akiwa mwanaume mwenzio utasaga meno!!
😅😅😅Iliyonona kuliko zotesasa sijui niweke ya benki gani ndo natafakri apa,
hata na hivyo nikiweka mapicha hata shamba na ya mang'ombe yangu tu kule shamba pia si ni sawa tu na balance....
HahahahahahahNa mi nimeshangaa wanaume wamejawa makasiriko na huu uzi wa mwanaume mwenzao.?!! Ilitakiwa wajibu mashambulizi kwa kutuwekea screenshot za kutosha, watuonyeshe wanawake mwanaume sio kumiliki p*mbu tyuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si nyumbaniUnapajua nyumbanitu?
Mama mchungaji uko makini, unafatilia km bunge la bajeti.!! Hutaki kutoa macho pembeni 😂😂😂😅😅😅Iliyonona kuliko zote
Zitunzeni sie tuzitumie kupata hela zaidi. Saving is a scam. Tunza asset.Kijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
🤣🤣🤣🤣moneytalk babeShosti una mibalaa weye 😂😂😂
Hivi ni vitu vipo Tanzania mkuu?Wapambanaji tupo,ila tu mipango na fursa halali zinatupitia kando,ila tukiamua kutafuta kivyovyote,hayo madeni ya songesha,nivushe,bustisha na akina kausha damu tupa kulee🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Nakuja unitoe pesa ya lunch tajiri, huna baya 😂😂😂🤣🤣🤣🤣moneytalk babe
kwakweli kwenye mabenki kadhaa nashukuru, nanavyo vijisenti kidogo na vidola kadhaa...😜 kwani unazo ngapi.!?
Tuwekee moja iliyoshiba kuliko zote
Hiyo ming’ombe usiweke hatutaki, kwanza itatutisha 🤣🤣🤣
Hoja ipingwe kwa hoja, makasiriko ya nini hawa wanaume zetu 🤣🤣🤣Hahahahahahah
😜 na dollar zipo?!kwakweli kwenye mabenki kadhaa nashukuru, nanavyo vijisenti kidogo na vidola kadhaa...
hata ming"ombe imenona mabaya sana aisee tajiri....😅😅😅Iliyonona kuliko zote
Hahahahaha wenye hawapo hapa,wanasomaga comments na kuguna tu,,,,,,Hoja ipingwe kwa hoja, makasiriko ya nini hawa wanaume zetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu watuwekee mizigo hiyo tuhamasike