Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

Zitunzeni sie tuzitumie kupata hela zaidi. Saving is a scam. Tunza asset.
 
Hivi ni vitu vipo Tanzania mkuu?

Kweli Watanzania tunapenda kuibiana kila siku watu wanabuni mbinu mpya namna ya kuwanyonya wengine.
 
Akiba yangu ni mshahara ulioingia juzi sijautoa mazingira niliyopo ni mbali na mjini nategemea nitoe jmosi

Nikisha toa akiba imeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…