Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hapana ila soon nitaangalia kitengo walichonipangia na wapi??Nini tena jamani? Vipi yule afisa mtoa ajira hajakusumbua tena baada ya kumtosa?
Nilijua pita interview.
Kumbe yule sio manager mkuu yule ni meneja zone tu.