data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
😂🙋🙋🙋Watakuelewa wachache sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂🙋🙋🙋Watakuelewa wachache sana
Hiyo ni tabia ya mtu mmoja mmoja,hata hao wanaotoka familia za kipato cha chini wanaweza fanya huo ujingaHao wa kipato cha juu ni wazuri kula nao bata tu na mapenzi ya kusogeza siku mbele ila sio kupiga pingu za maisha.
Vinginevyo siku ukija kufirisika utafanyiwa dharau za waziwazi hadi utatamani ujiue kwa kunywa sumu maana zitakuwa zinakuja ndinga kali uwanjani kwako wanaume wenye pesa wanamchukua mkeo mbele ya macho yako na huna cha kuwafanya.