Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hapana ila soon nitaangalia kitengo walichonipangia na wapi??Nini tena jamani? Vipi yule afisa mtoa ajira hajakusumbua tena baada ya kumtosa?
Kijana wa sasa ambae hujaoa ila pia unategemea kuoa unapokuwa unatafuta mwenza jitahidi uchague mwanamke anaetoka kwenye familia ya kipato cha kati, vinginevyo itakuwa unaendeleza umasikini au utafanywa mgodi.
Ok, kumbe baadaye ulifanikiwa kupata nafasi?Hapana ila soon nitaangalia kitengo walichonipangia na wapi??
Nilijua pita interview.
Kumbe yule sio manager mkuu yule ni meneja zone tu.
Yes,so naomba ushauri soma Uzi wangu basi mie nahasiraOk, kumbe baadaye ulifanikiwa kupata nafasi?
Nyuzi zako nyingi inaonekana unapitia changamoto nyingi sana mrembo. Ngoja niusome nione jinsi ya kukuliwaza bidadaYes,so naomba ushauri soma Uzi wangu basi mie nahasira
Mi ushauri wangu bora uumtunuku mbususuYes,so naomba ushauri soma Uzi wangu basi mie nahasira
Kipato cha juu pia majanga matumizi yao ni makubwa sana kwa hiyo utakuwa pesa unazopata zote unagharamia mambo yao ya luxury unabaki mweupe kisha unaanza tena hutoweza kupiga hatua kama kununua kiwanja na kujenga imagine utajisikiaje wakikwambia changia milioni moja kwa ajili ya kuandaa sherehe ya Happy birthday ambapo hiyo pesa ndio mshahara wako wa mwezi mzima.Kipato cha juu vip?
Kipato cha kati na juu kama hauna mawe ya kutosha aisee wana dharau kinyama,na kama una mawe omba Mungu usifirisike wanakuona kama mdudu tu.Vipi kuhusu upendo wa kweli / Agape love ukilinganisha kwa wanaotoka kipato cha chini /kati / juuu? je wanawake wanatofautiana?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mimi nilishtuka mapema ...yaani binti hujamtolea hata mahari ndugu zake washaanza kukuletea shida..eti ohooo mara shem niongezee mtaji nataka nifungue genge la matunda,
Katika watu wote waliocomment wewe ndio umeelezea ukweli halisi.Sio kweli. Tajiri, mtu kati na maskini wote wanahitaji pesa. Tena wenye pesa wanahitaji pesa kubwa zaidi. Michango mikubwa mikubwa.
Maskini wanahitaji buku 10, buku 30, buku 50. Ukifikisha laki, unaabudiwa.
Familia zenye pesa au kipato cha kati sasa! Dah!
Watu wenye pesa sio wa mchezo mchezo!
Inaonekana kwa akili yako umejiandaa kuwa tegemezi au kuwa maskini.
Mumewe Hana mvuto kiuno kimepinda atapindisha duduMi ushauri wangu bora uumtunuku mbususu
Waambie hawajui haoKama changamoto za masikini huziwezi izo za kipato cha kati utaweza
Baba mkwe anakuambia kijana wangu nisaidie 30mil kuna tender nataka niimalizie hapa nikilipwa nakurudishia [emoji15]
Pesa anazo?Mumewe Hana mvuto kiuno kimepinda atapindisha dudu
Kwa ushauri huu Amina kwisha habar yake 🏃Kipato cha juu pia majanga matumizi yao ni makubwa sana kwa hiyo utakuwa pesa unazopata zote unagharamia mambo yao ya luxury unabaki mweupe kisha unaanza tena hutoweza kupiga hatua kama kununua kiwanja na kujenga imagine utajisikiaje wakikwambia changia milioni moja kwa ajili ya kuandaa sherehe ya Happy birthday ambapo hiyo pesa ndio mshahara wako wa mwezi mzima.
Sanasana atakachokushauri mkeo cha maana atakwambia muhamie kwenye nyumba inayomilikiwa na mzazi wake ukikubali kuhamia umekwisha unageuka wewe ndio mwanamke na yeye ndio mwanaume mwenye sauti ndani ya nyumba.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jamaa ilibidi mshahara wote aumalizie kwenye mchango wa harusi.Ila pia Kuna kuna hatari San pia kuoa ktk familia ya uchumi was Kati
Kuna jamaa angu mmoja alioa ktk familia ya Kati sas Kuna mdgo mtu na dad ake anaolewa wakaitwa kwa ajili ya michango yey jamaa alijipanga kwa laki mbili kumbee dad mkubwa nae kaja na mume wake jama wa dad mkubwa akahaidi kutoa milion moja Kama mchango ikafika zamu ya jamaa angu yey alijipanga na laki mbili dah bas bhna akabidi abadili gia angani kuwa laki tano na dah alilamika snaa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nimecheka sana eti yule jirani mtaalamu anamtomba binti yakoLabda kama utavaa sura ya ukauzu...tegemea wageni nyumbani kwako au vinginevyo uwafukuze,, 2010 kuna sehemu niliwahi kuishi katika mazingira yale nikawa nimempenda dada mmoja wa kinyamwezi yule dada alikuwa ni mnene lakini alikuwa na mawowowo balaa..nikawa najilia mzigo kimyakimya sasa bwana baba wa yule binti akawa amefahamu sijui aliambiwa na nani kuwa yule mtaalamu jirani yako anamtomba binti yako............yaani unaambiwa yule mzee alivyokuwa akipata kiu ya pombe anakuja kukomaa kwangu mpaka nimpe hela ndio ataondoka [emoji16][emoji16][emoji16]
Hao wa kipato cha juu ni wazuri kula nao bata tu na mapenzi ya kusogeza siku mbele ila sio kupiga pingu za maisha.Kwa ushauri huu Amina kwisha habar yake [emoji125]