Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Unahonga halafu hupewi dudu
 
Halafu kawaida tu
 
Nikupe Nmb au crdb? Ipi ipo karibu na wewe muda huu?
Umenisumbua sana naomba biz ifanyike tuendelee na issue zingine..!! 😹😹
Mixx by yas ndo iwe appetizer 😋, sitoingiza hogo, ntakua naipiga brash kwa juu juu Lamomy
 
Babu unatuingiza chaka wajukuu zako, yaani gharama ya chakula iwe ndogo mkiwa wawili kuliko ukiwa peke yako.! mimi shilingi 5000 inanitosha kabisa kula siku nzima embu niambie nitaigawa vipi iyo kwa wawili, kumbuka mchana nakua kazini ambapo siwezi kula chakula cha nyumbani lazima ninunue.

Dada poa wa kiwango cha kawaida bei elekezi ni elfu 20 baada ya hapo no attachment, no billings. Kwa wiki inakua elfu 40 kwa mwezi 160K. Piga hesabu ya gharama ya kuhudumia mke/girlfriend kuanzia kula, kulala, kupendeza, posho ya sex, matibabu akiumwa, kumtoa out n.k.

Kumbuka pamoja na kuhudumia hauwezi kula mboga iyo iyo kila siku kwaiyo kuna kutenga bajeti ya kuchepuka pia lakini kununua dadapoa sio lazima awe uyo uyo kila siku.

Kumbuka hakuna guaranteed return ya uwekezaji wako kwa mwanamke. Feelings change, human get bored, heart chase fantasies and crave advanture, so your love can fall out of love with you at any given time without prior warning or any valid reason.

Kununua dadapoa kuna punguza gharama na risk ya kuingia hasara ukilinganisha na kumtunza mwanamke ambae na yeye ni kama anajiuza tu indirectly sema biashara yake amei-brand kwa jina la matunzo
 
Hata huyo mpenzi wako unayemuhudumia muda wowote anaweza kuwa Mkeo, labda kama unao wengi uliowapanga hivyo kuwachukulia kama wauza Kei kama ulivyosema
Mimi sihudumii girlfriend, utaratibu wangu ni kwamba kama demu anafikiri kwa sababu ya kufanya sex basi ana haki ya kulipwa na mwanaume maana yake anajiuza kwaiyo tukubaliane bei twende lodge tukamalizane baada ya hapo no attachment, no billing.
na kama ameridhia tuingie kwenye mahusiano ya kimapenzi basi yeye kama mtu mzima mwenye nguvu na akili timamu anawajibika kufanya kazi ajihudumie mahitaji yake. Love relationship is not ascaping route of your financial responsibilities
 

Huyu kakubali mwenyewe.

 
Umesahau Na Kwenye Kugegeda Pia Umkojoze!
 
Hapo ndo vijana mnapofeli, utasikia kitoto cha 2000 kinasema Nina mubaba wangu! Ujue kakikihoa tu fifty.
Mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
Pia Umesahau Mwanamke Ukimuhonga Anakuona Fala Fala Wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…