Kijana ukioa tegemea uchungu huu ndani ya ndoa yako na huyo mkeo hakika na waambieni

dronedrake mjumbe apewe nafasi ya mwanachama wa kudumu pia apewe CHETI CHA KUTAMBUA MCHANGO WAKE KATIKA KUWAOKOA WANAUME.

Mimi kama COMRADE WA CHAMA KUBWA KATAA NDOA.Nakupa salute🙌🙌🙌 umemaliza. Nakupa tena cheo wewe utakuwa ROLI MODO🤗


Vyote alivyoandika COMRADE ni ukweli mtupu usio na shaka ndani yake.


#KATAA NDOA KULINDA AFYA YA AKILI NA MWILI NA KUFURAHIA MAISHA!!!!
 
Umemaliza kila kitu as a man u have to find your own happiness.

Ndomaana kuna watu wanamichepuko ya kutosha hii ndo happiness yao waheshimiwe.
 
Vitisho tu hivi...
 
Kama umezaa nae na analea watoto ktk maadili mema,
Kwamba, akiondoka huna mbadala wa kukusaidia kulea hao watoto,
Kwamba, akiondoka nao anaweza kwenda kuwatelekeza kwa ndugu zake ambapo pana uwezekano wakaishi kwa manynyaso, hapo uchague moja, umvumilie hivyohivyo kwa ajili ya amani ya watoto au umtimue ufungulie mateso kwa watoto wako.
 
Pole sana mkuu kwa magumu unayopitia kwenye ndoa yako. Mpaka hapo si utoe tu talaka maana utakufa kabla ya wakati wako.
Huyu kachukua madhila ya ujumla wanayofanyiwa wanandoa na wake zao majumbani mwao.

Kaeleza ukweli, ukweli mtupu.

Mojawapo kati ya aliyoyaeleza, lazima likupate mwanandoa.

Kama halijakupata mwanzoni mwa ndoa, basi litakupata katikati na kama halijakupata katikati basi litakupata mwishoni halafu ufe na kufa.

Utulivu wa ndoa yako unaouona sasa usiusifie sana, una sababu.

Yaweza kuwa ni kwa sababu ya kipato na nguvu za kimwili ulizonazo kwa sasa.

Lakini hayo yote yakipita, waweza kuziona rangi halisi za mke.

Kwa hiyo hata amani iwepo vipi katika maisha yako ya ndoa, ishi kwa tahadhari, maana majaribu hayo yapo.
 
Kwani wenzetu mnaoa Wanawake wa wapi? Mbona mimi sikutani na haya mazonge mwaka wa 10 huu sasa
 
Truth Matters
ukweli unaoogopesha thanks
Lana hizi hazipokelewi kwenye Bible ila zinatisha Kama za Kumbukumbu la torati sura ya 28
 
We
 
Unachokisema jamaa,uko sahihi 100% Mimi ndio nipo napitia sasaivi yaani mwanamke hashikiki,hataki tumalize tofauti zetu ,ukimuongelesha hakujibu ni week ya tatu sasaivi,nimefanya jitihada zakutaka kuongea nae ili kama Kuna tofauti zozote tuzimalize lakini hataki ni dharau mwanzo mwisho,hafanyi chochote ndani ni kila kitu anafanya mfanyakazi,sasa ajabu nikwamba Uzi wako umenipe nguvu yakumtimua huyu mwanamke na sasaivi nimetoka kukata ticket ya yeye, mfanyakazi na mtoto wangu waende kwako kwa babu yake na nimemuachia mtoto wangu kwasababu babo mdogo na hajaanza shule ila nitakua mnatumia matumizi mtoto wangu kila baada ya week Moja.Asante
 
Utapiga nyeto au utaanza kununua?
 
Najuiliza, bado upo hai? 🤔
 
Mwanaume ni mtawala ndani ya nyumba. Ukiona hayo yanakukuta ujue wewe sio mtawala.
Kuna kipindi mnataka mtawale km chizimkazi sijaona padri au imamu mwanamke kwanini hakuna hata mwanamke wa kurithi mikoba ya papa au askofu sababu ni nini mboni sijawahi kuona mwazini swala mwanamke?
 
14: Baba yake na mkeo atajiona ana nguvu kwenye ndoa yako, atapindisha mawasiliano na kuyapekeka direct kwa mkeo ili tuu uonekane sikitu siichochote kwa mwanae. Atafanya hivyo ili mkeo awe anakupa taarifa na siyo kuomba ruhusa kwako kama mume wake

hapo badilisha iwe mama yake,wanaume hatunaga ujinga huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…