Kijana ukioa tegemea uchungu huu ndani ya ndoa yako na huyo mkeo hakika na waambieni

Hehe maamuzi ni yako na experience ni yako pia......usilazimishe experience zako au yaliyokua kichwani mwako basi ndo kwa kila mtu ni hivyo.....kama mnadondokeaga kwenye mizoga hizo ni shida zenu
 
Hiyo na 4 .hata wanawake wanalipitia sana Hilo ila wengi huvumilia ili kuficha aibu ya ndoa , halafu wanaume mkiwa na nguvu baadhi yenu mnanyanyasa wanawake kisaikologia sasa huwa wana vuta muda tu wakugeuza kibano😅😅😅 mpka mtu anakimbia nyumba
 
Duuh!! Hizi paragraphs ni nzito sana hakika kuna wanawake ni hatari sana, mtu kama mimi ambaye bado sijaoa haya maandishi yanafanya nitafakari sana suala la kuoa 🤔
Unataka kutomber au unataka kuoa?
Kutomber sio lazima uoe

Wekeni hii vichwani mwenu,, kwani mkiwala na kuwazalisha nani atakuja kuwalazimisha kuoa??
Au ndio mtaniambia kuwa Mungu hapendi??
Kama dini ndivyo inaelekeza hivyo ilikuwaje huyo Yesu hakuoa au yeye hakuwa sehemu ya utimilifu wa matakwa ya Mungu wenu?
 
Inategemea na aina ya mwanamke uliemwoa. But why kutishiana kuhusu ndoa kila siku?!
 
Duuuh we jamaa mbona umeongea ukweli mtupu.
 
Labda wake zenu.....sie wengine tuna enjoy ndoa kuliko hata kipindi tupo mabachela,,,,inategemea uliingiaje kwenye chama na maamuzi ya kumpata huyo mwenzio uliyafanya vipi
Itakuwa changa hiyo, au upo slide time subiri mda ufike utatafuta namba ya mtoa mada na hutaipata
 
KWA KWELI MAISHA YA NDOA NI KWA WENYE MIOYO MIGUMU NA VIFUA VIPANA......

UKIONA KIFUA NA MOYO VINATAKA KUPASUKA.....KIMBIA USIANGALIE NYUMA......
 
Duuh!! Hizi paragraphs ni nzito sana hakika kuna wanawake ni hatari sana, mtu kama mimi ambaye bado sijaoa haya maandishi yanafanya nitafakari sana suala la kuoa 🤔
TENA UTAFAKARI KWA HERUFI KUBWA SANA BWANA MDOGO
 


Wanaume wote tunapata kimoja Kati ya hivyo ulivyoandika na wengine wanapata vyote

Shida yetu wanaume ni kujifanya everything is fine

Ila I'm sure ukiuliza watu ambao wameoa kuna namba moja hapo inamhusu

So umeongea vizuri umeandika vizuri Sana
 
Mwanaume anasifika Kwa vitu vikuu 3
1:kazi
2: Hela
3: utu wako Kwa wengine
Haya mengine yanajengeka kupitia Haya matendo 3,km kuna upungufu wa mojawapo jua kutakua na matatizo sana.
Ndoa ukiweza mlizisha mkeo vzr kitandani na unampatia 90% ya mahitaji yake maybe awe malaya otherwise hawezi kuzingua km haya 3 hapo juu unayo
 
First rule Hakikisha wakwe zako wanakuheshimu na kukuogopa weka mipaka migumu sana hata wakwe wasiweze kuikoromea .
Second rule hakikisha anakuita mkoloni faima .
 
Hehe maamuzi ni yako na experience ni yako pia......usilazimishe experience zako au yaliyokua kichwani mwako basi ndo kwa kila mtu ni hivyo.....kama mnadondokeaga kwenye mizoga hizo ni shida zenu

Upo sahihi, haya ndugu mwenye ndoa yenye mafanikio, na sisi tuko na mizoga! Shukrani, na Kila la heri Kaka!
 
Mkuuu nikikalibia kuanza kupungua nguvu nishaandaaa heka 20 huko polin nanunua ngombe mbuzi kuku kondoo mbwa paka na wanyama wadogo wadogo wa kufugwa nikamalizie maisha yangu nikiwa single nikimuacha kwenye nyumba yangu ya million 200 mjini dar es salam


Shida manyanyaso sitaki mimi wanaume tunaishia vibaya sana Mungu atusaidie tupate wanawake sahihi aloo
 
Hilo la kutombewa liko wazi sana,nina shuhuda nyingi sana nilizoona kwa macho na kutenda pia zikidhihirisha ni kwa kiwango gani wake za watu wanawekwa dudu,nimekumbuka kuna mmoja ni mke wa mtu now anasoma Udom nilimuwekaaa mashine yake ikawa inatoa povu,sijamuacha bado,nipo nayeye mpaka uzee, kataeni ndoa
 
Ukweli mtupu!
Na wasikie na kuelewa!
 
Mmh! Hapa nakosa hata jibu la kukupatia mkuu.
 
Duuh mkuu ulikamia nini.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…