Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Vijana nawaasa fateni ushauri huu
 
Nb. Nategemea kupata upinzani mkubwa kutoka mwa wanume... Since watetea haki za wanawake wengi ni wanaume ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
Hao ni masimp wamedanganywa mwanaume kuwa soft na kulegeza vigezo ili mwanamke awe comfortable ndio ugentleman.
 
Rafiki wa binti ni mama yake, binti lazima awe anaandamana na mama yake zaidi
Mwanamke anae ambatana na mama yake huyo siyo mke..

KIJANA KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI.

UKISHINDWA USIOE ILA ISHI NA MWANAMKE ALIYE KARIBU SANA NA BABA YAKE
 
Salute
NB. Ujumbe huu ni maalumu kwa ajili ya vijana wanaotafuta mwanamke wa kufanya nae maisha yaani Kutunza na kulea familia wakati mume akiwa katika harakati zake za kutafuta kipato cha kutunza familia na sio kwa wale wanaotafuta wanawake ambao watasaidizana kiuchumi.

Ningependa kuongea na vijana wenzangu hasa vijana wa 90s najua kipindi hichi wengi wenu mmefikia umri wa kuanziaha familia baada ya kujitafuta au ukiwa bado waendelea kujitafuta financially.

So kipindi hiki unatafuta life partner hasa kwa sie wagalatia ambao tukiweka tumeweka kama mabati ya chapa kiboko hamna kuachana basi jitahidi sana mwanamke unayetaka kuoa awe anakaa nyumbani kwao na kalelewa na wazazi wote wawili. Yaani wote wawe pamoja unless baba au mama alifariki recently (five years give or take)

Rafiki wa binti ni mama yake, binti lazima awe anaandamana na mama yake zaidi ili aweze kujifunza upishi, Malezi, heshima na maadili. Huku baba yake akiwa pembeni kumuongoza as kichwa cha familia.
Kama binti anaishi kwao kwenye familia iliyo na baba na mama lazima awe na misingi yote madhubuti ya Malezi.

Sasa imagine binti umekutana nae kwenye mwendokasi umempenda ukachukua namba wewe ukajaa ukatamani umfanye mkeo. Wakati huo anaishi zake mwenyewe geto... Kapanga anaishi mwenyewe hana ajira ya kueleweka labda yupo ofisi fulani. Anafanya tu mishen town.... My dear friend utajua hujui. Okopa sana mwanamke aliyepanga na anaishi mwenyewe kwenye majiji dume kama Dar, Arusha, Mwanza, Dodoma, Zanzibar, nk.

Atakua na shughuli zake ila lazima ziwepo za kando zinazohusisha wanaume(kudanga) angalua akiwa labda kapanga ajili ya kazi kwamba kahamishiwa eneo asilokua na ndugu au mbali na ofisi so anataka apange. Ila tu kama kapanga mwanangu usithubutu kuangukia ukijua umepata wife material unakua umepata stress material.

Binti inatakiwa akae nyumbani saa kumi nambili saa moja kasharudi nyumbani anafanya shughuli za nyumbani sio binti anazurura mpaka saa mbili for nothing hafu hakuna anayemuuliza nawewe unachukua unao... Litakukuta jambo bro!

Mwanamke inatakiwa unamchumua kutoka mikononi mwa wazazi/walezi wake wanakukabidhi unaenda kuishi nae as mke ndio inakua first experience ya kuishi mwenyewe nje ya nyumbani... Sasa unachukua mwanamke kashapanga mtaani miaka miwili mtaani afu unaoa. Hujipendi wewe tena mbaya zaidi awe age go... Utaipenda.

Mengine tutajuzana kwenye comment ila jambo la msingi, vijana mwanamke umtoe kwao sio geto na hakikisha nyote mmeanza mechi 0-0 hakuna mwenye mtoto unless nyote muwe na watoto.

Yangu ni hayo... Mwenye masikio na asikie! Mapenzi yasikuchanganye... Ndoa ni zaidi ya hizo hisia zako za mapenzi ulizonazo kwa huyo my wakoView attachment 2876477
Huu ushauri wakipuuza basi tena.
 
ana kaa kwao, saa 1 tu yupo nyumbani, ana fanya shughuli za kwao.

mcha Mungu kwa kiasi chake, ana aibu, ohh ngoja nione.
 
But sijasema kua talaka zipo. So una Propose kwamba watu waoe wanawake wanaoishi geto kisa tu hata kwa wanoishi na wazazi talaka zipo???

Mimi naamini 95% ya watu tuliomo humu wazazi wetu waliolewa wakitoka kwa wazazi wao.
Kwani hakuelewi basi, anajitoa ufahamu tu.
 
Hao ni masimp wamedanganywa mwanaume kuwa soft na kulegeza vigezo ili mwanamke awe comfortable ndio ugentleman.
THE 31 SACRED BRO CODES:

1. Don't rape.

2. A man doesn't cook delicious food, it's gayish.

3. Two naked men are not supposed to be in the same room.

4. A bro doesn't bath with hot water, he respect his 2 eggs.

5. A bro should know when to leave.

6. A bro should not ask a fellow bro his name, he should call him "Bro, Sir, Chairman, Mr, etc

7. As a bro when you remove your shoes, it must throw out a heavy, strong and intoxicating ordour into the atmosphere, your presence must be felt from a far distance like the stench of a he goat.

8. A bro must know the signal to leave the room when a bro's girl is around.

9. Never make funny of your bro just to impress women.

10. A bro must not pay for sex.

11. Your bro's Ex is your Ex.

12. Make money before you make love.

13. A bro must not watch a Korean drama.

14. No matter how beautiful your bro's sister is, she is your sister too.

15. A bro must not watch zee world, Nigerian movies and some petty content.

16. When money finally comes, don't change your woman, upgrade her.

17. Don't do husband duties while you are just a boyfriend.

18. A bro never gives up, the rest and continue.

19. If she say you are her planet, don't forget about other planets.

20. Always respect your father, he was your first bro. Respect your mother, she is your 001.

21. Never ever smash your bro's chick.

22. Never feed a horse that you don't ride.

23. A bro shall not gaze at a naked bro.

24. A bro never cries publicly or in front of any woman.

- A bro never use Snapchat filter, a bro must look ugly and gallant.

26. A bro never wears pink underwear.

27. If a bro asks another bro to keep a secret, he shall take that secret to his grave.

28. A bro is never offended if another bro fails to return a phone call or text.

29. It is never acceptable for a bro to sleep with another broโ€™s project or ex.

30. A bro never Gives another bro the silent treatment.

31. A bro never hold hands with bro while walking.
 
Nb. Nategemea kupata upinzani mkubwa kutoka mwa wanume... Since watetea haki za wanawake wengi ni wanaume ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
Uko sahih nashangaa saba mijitu inakuwa watetez
 
Back
Top Bottom