Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haijaniuma nimeshangaa kijana wa kiume kufanyiwa party kubwa kisa graduation mixer kupewa mauahela ni za wazazi wake, chuo mpaka anamaliza ni wazazi wake wamegharamikia,
hujaalikwa, hujaombwa mchango,
inakuuma nini?
Nakubali, mwenyewe huwa sishangai wanaofanya ila mi sijawahi kufanya sherehe ya graduation mpaka chuo na sio kwamba uchumi ulizuia, familia walipania ila mi niliwayeyusha. Binafsi naonaga haya mambo ni scam tuMtu anaefanya Graduation wala sio jambo baya na wala silipondei ila MIMI SIJAWAHI FANYA GRADUATION yoyote ile wala Birthday huwa sisheherekei
kwao wana hela, duniani tunatofautianahaijaniuma nimeshangaa kijana wa kiume kufanyiwa party kubwa kisa graduation mixer kupewa maua
Kuna sheria ya Mungu au ya jamhuri inavunjwa pale kijana wa kiume anapofanya sherehe ya graduation? Mkuu pambana sana utoke kwenye hilo giza la chuki na wivu. Halafu wengine hufanyiwa sherehe kutokana na kuishi tu vizuri na watu na wala sio kwamba wametoka familia tajiri. Mimi binafsi siku ya graduation sikuwa nimejipanga kwa sherehe ila nikashangaa surprise toka kwa boss wangu niliyekuwa nimejishikiza kazi. Aligharamia hadi ukumbi. Nakumbuka nilimbeba na jamaa yangu mmoja aliyekuwa kama wewe kwenda kuangalia game kwasababu hakuwa na kitu.haijaniuma nimeshangaa kijana wa kiume kufanyiwa party kubwa kisa graduation mixer kupewa maua
Uzi ufungwee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana mkuu. TAFUTA HELA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo pesa tu, kama kwenu ni kapuku unaenda kulala tu Hostel [emoji23]
Ongezaaa sautiiiiii. [emoji350][emoji350]wewe ulimaliza chuo ukiwa na miaka 35 unataka ufanyiwe mahafali ili iweje? tenq umetoka uko interior vijijini kyala mpala..sisi watoto wetu wanamaliza chuo wakiwa bado wadogo miaka 23 mahafali ni lazima
Sherehe ntakayofanyiwa ni Msiba tuNakubali, mwenyewe huwa sishangai wanaofanya ila mi sijawahi kufanya sherehe ya graduation mpaka chuo na sio kwamba uchumi ulizuia, familia walipania ila mi niliwayeyusha. Binafsi naonaga haya mambo ni scam tu
Kwanini mkuuUzi ufungwee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona jamboo halikupunguziii au kukuongezea kitu na unalalamika kuna shida hapoo.... Maisha ni yao acha waenjoyNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea