Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaUzi ufungwee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha hayalinganiNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Mdogo wangu nawe ulipata ipi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta pesa kaka. Vinginevyo utakuwa mchawi tuNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Pale kidimbwi, watu wanaagiza chupa ya moja ya pombe kwa gharama ya 1.5m (Milion moja na laki tano).Unafanya Graduation kubwa halafu unaishia kuwa mbeba zege kitaa.
Inaleta huzuni Sana labda awe wa mboga Saba na connection za uhakika
Sio atafute hela..Pole sana mkuu. TAFUTA HELA
Huu ndo tunaita UMAMA huu 😂😂😂😂😂😂✊Nimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Mhaya katika ubora wake😂😂Wabeba zege ni nyie msiofanya Graduation kubwa, kwa sababu uwezo hamna.... Sasa kama kaweza kufanya Graduation kubwa, anashindwa vipi kupata pesa ya Kufungua biashara ya maana.... Mwenye pesa ni mwenye pesa tu, acha kujifariji na maneno ya kimaskini,
Nilikua na dhiki ya muda tu mkuu.Angalau uliomuonyesha Unamjali ila, dhiki zimeandama nawe, ndiyo maana hujafanya pakubwa.
🤣wewe ulimaliza chuo ukiwa na miaka 35 unataka ufanyiwe mahafali ili iweje? tenq umetoka uko interior vijijini kyala mpala..sisi watoto wetu wanamaliza chuo wakiwa bado wadogo miaka 23 mahafali ni lazima
Si ndio wanaokuongezea nchi yako hao, akitoka hapo ni kazi ya matawi ya juu bila usaili...Halafu unakuta dude lenyewe ni likilaza la ma sapu , c zakumwaga siku likitoboa kimazabe ndio utashangaa limekusamya ukoo mzima halafu linarudi nyumbani pamoja na mbwembwe zote ajira chwee linakuwa lipo nyumbani tuu kuendesha magari ya mshua
,🤣🤣afu graduation ya kilaza mwenye gpa ya 2.0 🤣🤣pulizz debe tupu haliachi kutika
Ila msamehe kwenye ukoo wao wote yeye ndo kasoma Jordan University 🤣🤣🤣