Kijana wa Kiume kufanyiwa Graduation kubwa hadi kukodisha ukumbi

Kijana wa Kiume kufanyiwa Graduation kubwa hadi kukodisha ukumbi

Siku hizi sherehe za kipuuzi zimekuwa nyingi sana mpaka zingine zinataka michango. Eti kuvalishana pete za uchumba nayo hufanyika sherehe! Mara send off, honey moon na table party, kuna upuuzi mwingine unaitya kitchen party malizia na baba lao harusi ni usumbufu mtupu
 
Narudia tena kuuliza hivi kwann watu wenye hela wakitumiaga hela zao always masikini wanaonaga jamaa hawana akili wanachezea hela
Nadhan umemuelewa mtoa mada tofauti.
Hajazungumzia utajiri au umaskinj, na hata yeye hajasema level ya kipato chake.

Issue ni mwanaume kifanya sherehe hasa kwa Tanzania ya sasa ambayo degree inekuwa kitu cha kawaida.
 
Graduation niliyofurahia sana ni ya Darasa la Saba,
Hii bana sitasahau pia,sikwenda na mdingi maza Ofcourse alikuwepo alikua ticha shule nnayosoma,
Kala pilau lake na Fanta kavimbiwa nikampeleka home kulala.
Mi nikarudi ukumbini.
Vyombo vikaangushwa,
Kama unakumbuka kipindi cha O.P.P na inde Monie basi hujachelewa.
E bana kuna mticha mmoja mmaza wa kichaga kanoona jeupee pale skuli alikua ananipa viboko bila sababu.
Nikicheka viboko,
Nikinuna fimbo.
Alafu kila leo ofisini kule ya walimu kunichongea kwa maza
Mtukutu.
Dah e bana kama zari siku hiyo tushavimbiwa pilau letu.
Ticha huyo ananivuta pembeni.
Mi nafkiria viboko tena mpk huku?😅
Kumbe ananivuta tule monde.
Duh aisee kwa mara ya kwanza nikagonga safari biere.
Vichakani hapo kaja nazo aloo stimu likapanda tena "Inde Monie" ya Kanda Bongoman
Tulicheza mpk wengine wanaona hapo hawa wana mapepo,
Kumbe tushazimuka.
Aisee mwishoni ticka kachooka kasema nimrudishe kwao anaogopa.
Huko njiani mpapaso ulioendelea sio wa nchi hii.
Nikala kimasihara,ila ni km alinibaka.
Kumbe ticha alikua na crush na mimi au upwiro tu sijui.
Sasa ukimpenda mtu ndio umchape kila muda?
Yule ticha mchaga namkumbuka mpk kesho.
Ila lilikua zuri limenona balaa.
 
Hii bana sitasahau pia,sikwenda na mdingi maza Ofcourse alikuwepo alikua ticha shule nnayosoma,
Kala pilau lake na Fanta kavimbiwa nikampeleka home kulala.
Mi nikarudi ukumbini.
Vyombo vikaangushwa,
Kama unakumbuka kipindi cha O.P.P na inde Monie basi hujachelewa.
E bana kuna mticha mmoja mmaza wa kichaga kanoona jeupee pale skuli alikua ananipa viboko bila sababu.
Nikicheka viboko,
Nikinuna fimbo.
Alafu kila leo ofisini kule ya walimu kunichongea kwa maza
Mtukutu.
Dah e bana kama zari siku hiyo tushavimbiwa pilau letu.
Ticha huyo ananivuta pembeni.
Mi nafkiria viboko tena mpk huku?😅
Kumbe ananivuta tule monde.
Duh aisee kwa mara ya kwanza nikagonga safari biere.
Vichakani hapo kaja nazo aloo stimu likapanda tena "Inde Monie" ya Kanda Bongoman
Tulicheza mpk wengine wanaona hapo hawa wana mapepo,
Kumbe tushazimuka.
Aisee mwishoni ticka kachooka kasema nimrudishe kwao anaogopa.
Huko njiani mpapaso ulioendelea sio wa nchi hii.
Nikala kimasihara,ila ni km alinibaka.
Kumbe ticha alikua na crush na mimi au upwiro tu sijui.
Sasa ukimpenda mtu ndio umchape kila muda?
Yule ticha mchaga namkumbuka mpk kesho.
Ila lilikua zuri limenona balaa.
Chai tea
 
Heheheh karibu kwetu. Hakunaga shuguli ndogo. Kazi kazi kwetu. Yaan ubatizo tu kwetu kama sendoff ni hatua ktka maisha aisee. Matukio kama haya ndo huunganisha watu. Sasa utajumuika na watu wpai kama mola amekujaalia kipato?
 
All of my graduations zimefanyika baada ya kumaliza mitihani. Ila Graduation niliyofurahia sana ni ya Darasa la Saba, of course none of my family member alikuja, ni sisi na maticha kwenye bar moja tukamalizia na debe, nakumbuka nilijipongeza na chupa ya castle lager baada ya debe. Ya O-level nayo baada ya shule then tukamalizia club na masela.

A-level washua walipania kuja, nimetoka zangu home kimya kimya nikatimba school tukamaliza, shule niliyokuwa nasoma nilikuwa na wadogo zangu wawili, so jioni wanarudi ndio wanamtonya mother kuwa leo tulikuwa na graduation ya bro, mother akawaka kwanini sijamwambia? Nikampoza akaushe hayo ni mambo madogo.

Sasa picha lilikuja chuo my first degree, nilitimba pale nikavaa joho, baada ya kumaliza nikasepa sikupiga hata picha, sikua hata na ndugu mmoja, alikuwepo demu wangu tu king’ang’anizi akasema LAZIMA aje. Masters ndio kabisa nikaona jau hata sikutimba kwenye majoho……..mambo ya harusi pia nilitupa kule…….kwa kifupi sipendi kabisa sherehe.

Nasikia siku hizi hadi chekechea wanavaa majoho na wazazi wanatimba kwenye kuwaimbia na kuwapigia makofi, dunia imebadirika sana.
Of course, Haya mambo ya sherehe ni hobby tu.

Mm nakumbuka niliwashawishi wenzangu tulipomaliza Form 6 tufanye tour badala ya Graduation.

Na kweli walishawishika wte Mbn tulieenjoy zaidi kuliko ht tungelifanya sherehe.

Na hii ya chuo nikimaliza wala cna mpango wa mahafali, instead ntarudia kuwashawishi wadau tupae far away tukawe na peace of mind somewhere [emoji3575]
 
Ni hivi.

Kwa MTAZAMO wangu, mtoa mada yupo sahihi kwa upande fulani.
Amespecify MWANAUME kufanya sherehe. Tena ya Ukumbini na unaita na MC? nyie mnaona ni sahihi?

Yaan Mwanaume unakaa mbele pale na MC unakuta wa KIKE anaanza kukupamba pamba pale..! Nyie mnaona ni sawa? Ni MWANAUME Mpumbavu ambaye anaweza kuona hilo swala ni Sahihi.

Narudia ni MWANAUME Mpumbavu pekee na aina hii ya Mwanaume baadae kuombwa mzigo/Marinda ni kawaida.
 
Ni hivi.

Kwa MTAZAMO wangu, mtoa mada yupo sahihi kwa upande fulani.
Amespecify MWANAUME kufanya sherehe. Tena ya Ukumbini na unaita na MC? nyie mnaona ni sahihi?

Yaan Mwanaume unakaa mbele pale na MC unakuta wa KIKE anaanza kukupamba pamba pale..! Nyie mnaona ni sawa? Ni MWANAUME Mpumbavu ambaye anaweza kuona hilo swala ni Sahihi.

Narudia ni MWANAUME Mpumbavu pekee na aina hii ya Mwanaume baadae kuombwa mzigo/Marinda ni kawaida.
Sema tusiwe watu wa kujudge maana hii inatuondolea ile Nguvu ya kuwa sisi tumeenda shule

Tafsiri yetu ya MAFANIKIO ipo tofauti inawezekana huyo kijana akawa Mtu smart ila alichofanya nikuipa hiyo graduation yake Nguvu kumuhukumu kuwa anaweza kuwa hivi au vile ni wivu tu Muda kuheshimu maamuzi ya Mtu ilimradi avunji sheria.
 
Nimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Hata jamaa zangu huwa wakinialika eti kwenye sherehe ya birthday ya mtoto wa kiume nawaambiaga ukweli nyie ndio mnawasababishia watoto wawe mashoga wanaanza kuiga mambo ya kike.
Ndio maana unakuta watoto wa kiume siku hizi ni walain sana. Ukimcheck hata ngozi ni lain haina hata kovu. Hata kushika jembe tu hajui. Tumepotea sana
 
Umasikini ndio unakusumbua,pambana ukate chain ya umasikini kijana
Nimeshangaa huyo tena mtoto wa kike anakuwa na chuki na kijana ambaye kaamua kufurahia matunda ya jasho yaani wanawake huwa wanaamini wanaume ni watu wasiohitaji vitu Vizuri na hii wamewaambukiza baadhi ya wanaume wafata upepo .
Hii ameizungumzia Robert Heriel Mtibeli mara kwa mara kuhusu ubinafsi wa wanawake
 
Nimeshangaa huyo tena mtoto wa kike anakuwa na chuki na kijana ambaye kaamua kufurahia matunda ya jasho yaani wanawake huwa wanaamini wanaume ni watu wasiohitaji vitu Vizuri na hii wamewaambukiza baadhi ya wanaume wafata upepo .
Hii ameizungumzia Robert Heriel Mtibeli mara kwa mara kuhusu ubinafsi wa wanawake

Labda angetoa hoja ya kwa nini mwanaume asisheherekee jambo ambalo anakiona kuwa ni mafanikio
 
Ni hivi.

Kwa MTAZAMO wangu, mtoa mada yupo sahihi kwa upande fulani.
Amespecify MWANAUME kufanya sherehe. Tena ya Ukumbini na unaita na MC? nyie mnaona ni sahihi?

Yaan Mwanaume unakaa mbele pale na MC unakuta wa KIKE anaanza kukupamba pamba pale..! Nyie mnaona ni sawa? Ni MWANAUME Mpumbavu ambaye anaweza kuona hilo swala ni Sahihi.

Narudia ni MWANAUME Mpumbavu pekee na aina hii ya Mwanaume baadae kuombwa mzigo/Marinda ni kawaida.
Kesho kutwa tuu nitakuwa Elegance hotel sinza morii to celebrate my success... Your most welcome
 
Back
Top Bottom