Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivuNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Nimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Itakua hujui maana sherehe ya harusi.Ila kweli asee ina ukakasi fulani hata harusi menaonaga jau kwa mtoto wa kiume ilifaa mambo yaishie kanisani kisha kwenye pombe na kitimoto. Wa kike ye afanyie send off bas inatosha
Hivi hili neno Mkuu sikuhizi halina maana?Sasa huyo kijana kamaliza shule 2017 unamuita Mkuu?Samahani lakini.Pole sana mkuu. TAFUTA HELA
Watu kama wewe mna wivu wa kijinga sana aisee. Mtu anaweza kuwa kasoma Jordan na akawa na mchongo wa maana tu. Mwaka 2018 nilikuwa na mgahawa ambapo aliyekuwa anapika bites ni graduate wa Bcom UDSM.,🤣🤣afu graduation ya kilaza mwenye gpa ya 2.0 🤣🤣pulizz debe tupu haliachi kutika
Ila msamehe kwenye ukoo wao wote yeye ndo kasoma Jordan University 🤣🤣🤣
Hivi hili neno Mkuu sikuhizi halina maana?Sasa huyo kijana kamaliza shule 2017 unamuita Mkuu?Samahani lakini.
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Watu wasifurahia hatua sababu hawajui siri ya maisha ya baadae.Unafanya Graduation kubwa halafu unaishia kuwa mbeba zege kitaa.
Inaleta huzuni Sana labda awe wa mboga Saba na connection za uhakika
Watu kama wewe mna wivu wa kijinga sana aisee. Mtu anaweza kuwa kasoma Jordan na akawa na mchongo wa maana tu. Mwaka 2018 nilikuwa na mgahawa ambapo aliyekuwa anapika bites ni graduate wa Bcom UDSM
Angalau uliomuonyesha Unamjali ila, dhiki zimeandama nawe, ndiyo maana hujafanya pakubwa.We bana fanya kitu kwa unachokiweza.
Mnaweza kwenda na mwanao kwa mama ntilie mkagonga wali maharage utaongeza nyama ukiweza.
Mnashushia maji ya uhai,ya kilimanjaro anasa
imeisha hiyo.
Mi graduation ya kijana tulipiga lunch mtu 10 tu.
Hakuna sherehe badae tukawaambia vijana mmeshiba ndio.
Potea.
Wazee tukabaki gonga gambe letu km kawa zungusha,
Na mwingine anazungusha.
Hutaki tunakuzungushia.
Siku ikaisha.
Hakuna mchango wala invitation ni shot notice tu.
Hamna vilaza ndo wanafanya mashereheAngalau uliomuonyesha Unamjali ila, dhiki zimeandama nawe, ndiyo maana hujafanya pakubwa.
Comment ilimaliza kila kitu.Kwanini mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],[emoji1787][emoji1787]afu graduation ya kilaza mwenye gpa ya 2.0 [emoji1787][emoji1787]pulizz debe tupu haliachi kutika
Ila msamehe kwenye ukoo wao wote yeye ndo kasoma Jordan University [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ashukuru yeye aliangalia game ya Man U sisi wengine tulikuwa tunaenda kuchunga ng'ombeKuna ubaya gani akifanya sherehe? Ulipata faida gani kwenda kwenye game ya Man Utd baada ya graduation?
HIvi hizo sherehe wanaziandaa wenyewe, au wanafanyiwa, ivi kuna mzazi anaendaa sherehe kumpongeza mtoto alie feli?Hamna vilaza ndo wanafanya masherehe
Vipanga hawana time🙏👌