Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Saa zingine mkiskia mwanaume kakataa kuhudumia mtoto muwe mnaelewa...ni kuepuka na mambo kama hayo
Mimi naona muwe mnavaa condom kuepusha kusingiziwa mimba na kuwapa mimba watu ambao hamjakubaliana.
 
JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE

Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.

Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.

Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.

Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.

Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.

Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.

🎥
✍️

View attachment 3234433
Rip Justine
 
JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE

Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.

Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.

Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.

Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.

Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.

Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.

🎥
✍️

View attachment 3234433
Amekunywa sumu au amenyweshwa sumu?
 
Duuuhhh . Kwanini hawakumwambia mapema kwamba mtoto sio wake tangu akiwa tumboni?
Seems baba wa mtoto aliamua kumpotezea binti maybe:
1. Binti alikuwa na mambo mengi, so mshikaj mwenye pesa pesa, akashtuka akamtema binti.

Binti,akamjuza anamimba yake, jamaa akaamua kuvunga. Sina uhakika hyo mimba ni yangu. Binti akaamua kumpa majukum mtu mwingine.

Baadae labda, binti amejifungua ,jamaa mwenye pesa akaonyeshw picha au watu wa kwao waliendelea na mawasiliano na binti, jamaa akarudisha moyo kwa maslahi mapana. Jamaa akabonga na mama wa binti,wakapewa pesa warudishe matumizi ya kaka wa watu, Marehemu😁.

2. Demu kaona Marehemu hana future njema, since aliwahi kula uroda na mjamaa mwenye pesa, binti akagusia uliniachia ujauzito. Jamaa amekubali, so binti kaamua kubadili ubaba wa mtoto.

3. Binti na mama yao wanajua game wanayocheza, maybe kuna dingi huko hazalishi aliona binti ana struggle, akayajenga na mama wa mtoto. Mama akaamua kushika usukani atumie mbinu kumtoa msela ktk game.

MAONI YANGU:
Serikali iwashughulikie watu wa namn hii, unamjua baba wa mtoto lakin unaenda kumpa zigo mwingine kwa sababu zako binafsi. Iwe umebanwa kimalez au huna uchumi, haikubariki kwenda kumuingiza mtu ktk mfumo mpya wa maisha.

Huu mchezo pia huwapeleka watu jela wasio husika....
 
😅Ningezaliwa na baba mwingine Sasa picha linaanza watoto tupo 12 lakini ushirikiano ni zero sometimes mpaka mzee analalamika kwamba wote mmeondoka nyumbani anakwosa kampani
Huzai watoto ili wakutunze, bali zaa uijaze dunia
 
JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE

Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.

Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.

Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.

Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.

Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.

Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.

🎥
✍️

View attachment 3234433
Ndoa za utotoni hizi, yeye mwenyewe ana uhakika gani kwamba baba aliyemlea ni baba yake halisi?
 
Back
Top Bottom