Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upandeMWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja...
wewe si ndo uliyemzoesha utamuNdo maana nakupenda...ulipokimbilia ni sehemu sahihi
😳 Nelson Jacob Kagamewewe si ndo uliyemzoesha utamu
Funzo usimwamini hata pacha wakokumueleza jamaa yangu mipango ya upigaji dili kampuni flani, jamaa akaenda kutuchoma kwa wivu wake hadi sasa tunahangaika kumaliza msala.
hongera sana , mimi najaribu lakini wapiUlevi wa ngono.
Hiyo ni hatari mkuu.
But jesus rescue me""" I thank him""
You can't be serious 😂mwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena
Ila nyie wanawake Kuna muda mnazinguaga Sana kwa kweli.Very bad,tunapenda hela Mkuu....yaan sisi bhana😓
financiallyMwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande
Apa sijaelewa mkuu alijazia nini?
Pole sana. KakaMWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Mkuu kwa heshima tunaomba ufungue uzi wa hiki kisa, please usiache kinitag.MWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
SanaIla nyie wanawake Kuna muda mnazinguaga Sana kwa kweli.
Kama mimi ndugu yangu, ile namaliza shule tu naingia mtaani 2009 nakutana na dada mmoja kwa huruma na mapenzi nikamchukua geto nilikaa miaka minne alitemana na mimi kama mtu ambaye hajawahi kuonana naye maishani mwake, nilipoteza vingi kwa ajili yake, hadi leo 2023 japo nina maisha mengine lakini athari za yule dada bado zipo.Kuanza kuishi na mwanamke mwaka 2012.Kiukweli nilitakiwa kuanza kuishi na mwanamke mwaka 2025.It was tough.
Safari yetu ya utafutaji katika dunia hii imejaa misukosuko mingi sana either ya kifamilia, ndoa, kazi na kipato.
Wapo watu chungu nzima dunia hii inawasulubu na hawajui wafanye nini kila wanalofanya linakwama iwe ajira, mahusiano na kipato.
Wapo watu ambao mambo yao yamewanyokea kutokana na juhudi zao saizi wana usafiri, wanavaa safi na kusaidia familia zao kiasi kwamba wanaona wengine wazembe
Mfano mimi nimewahi pata msala katika utafutaji kama sio ndugu na washkaji zangu kunipa faraja, ushauri sidhani kama ningefika hatua moja mbele. Ilifika hatua nikamuomba MUNGU.
why Umeruhusu haya majaribu?
Shusha uzoefu wako ni msukosuko upi huwezi usahau ,na ulijikwamua vipi?
Na ambao mambo bado tafrani wafanyaje waweze kupata nafuu?
Duh!.kumueleza jamaa yangu mipango ya upigaji dili kampuni flani, jamaa akaenda kutuchoma kwa wivu wake hadi sasa tunahangaika kumaliza msala.