Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Umeoa mwanmke gani kabla gani Hilo
 
Shusha uzoefu wako ni msukosuko upi huwezi usahau ,na ulijikwamua vipi?

Na ambao mambo bado tafrani wafanyaje waweze kupata nafuu?
Nishafukuzwa interview kibao mpaka nikakata tamaa nikaenda interview moja kuna documents sikwenda nayo nikatolewa baru nikaambiwa kalete hio documents hapo ningekua na hio documents nilikua napewa mkataba nianze kazi nikaondoka nikajua kote ndio wale wale baada ya siku 2 nikatafutwa wananipigia simu wananiambia nipeleke documents nikasaini mkataba nianze kazi

Nyingine nikaenda nikafanya written nikajua tu hapa sijui km nitaitwa maana haikua rahisi nimekaa zangu nishasahau kuhusu habari za interview Sina hili Wala lile nasikia simu inaita napokea naambiwa naongea na 'Mpetde' Mimi najibu ndio naambiwa njoo kwenye oral siku fulani mda fulani ile written umepasua

Maisha haya.....

😆😆😆🤪
 
Usisingizie forex singizia akili zako mbovu
 
Polee mkuu, nahisi maumivu yako.

Kuna mwanamke nilishawahi ku-date naye miaka ya nyuma, aisee nilimpenda sana na hali yake ya kunitegemea mm kwa kila kitu ndo ilinifanya nimpende zaidi na zaidi.

Aliniomba ahamie ghetto kwangu, kwa upumbavu wa kupenda uchi nikakubali, kumbe nafuga shetani, aisee nilikuwa namnunulia kila kitu mzee...chupi, pads, vocha yaan like 95% ya mahitaji yake yote ela ilitoka mfukoni kwangu.

Sasa kuna kipindi nilipatwa na matatizo, uwezo wangu wa kumhudumia ukapungua, aisee niliona kila rangi, sikuamini yale maneno yalitoka kinywani mwake. Kuna maneno alinambia bado nayakumbuka, ndo maana hadi leo naogopa wanawake wa Tanga.
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…