DOKEZO Kijiji cha Kazuramimba (Uvinza, Kigoma): Mauaji yaliyofanywa 4/10/2023 ninayekemea kwa nguvu zote, Majeruhi wako wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Siungi mkono uchawi lakini pia siungi mkono kujichukulia sheria mkononi ikiwa kuna mamlaka za usalama.

Jambo lolote unalolifanya lifanye kwa manufaa yako wewe na familia yako pasi na kuwaaangamiza au kuwaingiza katika matatizo wenzio.
[emoji2956]
 
Na hawa kenge watasota sana.wanajidanganya wanaweza kuiroga serikali 🤣🤣
 
Polisi wakamficha hapo na Raia wakamfata hukohuko.

Kukosekana Kwa Busara baina ya Polisi na Raia,. Fuji zikatokea na kituo Cha Polisi hiko kikavunjwa.
Kosa la raia lipo hapo, kilichowapata huwezi kusema ni bahati mbaya, ukichezea moto huwezi kuuomba moto uwe na busara, utakuchoma tu. Mlitaka busara gani? Mpewe mtu mkamuue? Shenzy type
 
Kwanza ni upumbavu kwenda kuvamia kituo Cha polisi. Siwapendi kabisaa police wa tz hasa utendaji kazii wao unahusisha matumizi kidogo mno ya akili lakini raia wamefanya upumbavu mkubwa walilazimisha kupata mkong'onto.
Ni police force na sio police service.
Akili kidogo maguvu mengi
 
Kwahiyo ndugu yako ni mtumishi wa umma nae alishiriki kuvunja kituo cha Polisi ili kumuadhibu mtuhumiwa wake, tupe jina lake tumsaidie
 
Dah!...poleni Sana.

Ila raia kuvamia kituo cha polisi na kujaribu kumchukua mtu kutoka hapo kwa nguvu ni kosa na uvunjaji wa sheria

Poleni Sana
 
Wamevamia polisi ni haki ya polisi kuwashughulikia, unadhani wangeingia ndani ya kituo na kuchukua silaha za moto si ingekua vita. Mimi nawatetea ndugu zangu askari polisi wamejilinda kwa weledi na kuhakikisha kituo hakiingiliwi na sila haziibiwi.
 
1.Kwa Nini hao waganga wanaleta taharuki Kwa kuwapa watu tuhuma zisizo na uhakika Moja Kwa Moja?

2.Kwa nini Raia wavamie kituo Cha polisi

3.Kwa Nini ndugu yako mgeni ajihusishe kwenye vurugu?am sure angetulia alipofikia asingekamatwa
 
1.Kwa Nini hao waganga wanaleta taharuki Kwa kuwapa watu tuhuma zisizo na uhakika Moja Kwa Moja?

2.Kwa nini Raia wavamie kituo Cha polisi

3.Kwa Nini ndugu yako mgeni ajihusishe kwenye vurugu?am sure angetulia alipofikia asingekamatwa
[emoji2956]
 
Wamevamia polisi ni haki ya polisi kuwashughulikia, unadhani wangeingia ndani ya kituo na kuchukua silaha za moto si ingekua vita. Mimi nawatetea ndugu zangu askari polisi wamejilinda kwa weledi na kuhakikisha kituo hakiingiliwi na sila haziibiwi.
Siempre PT[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…