Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787][emoji106][emoji106]Serikali hairogwi wewe usipoteze muda wako
[emoji2956][emoji2956]Polisi wamefanya kazi nzuri. Wapongezwe.
[emoji2956]Umeuliza swali zuri sana.
Angekuwa polisi angekimbia?
Angesimama ashambuliwe?
Je kama walijaribu kuwasihi wananchi watulie ikashindikana wangefanyaje?
[emoji2956]Siungi mkono uchawi lakini pia siungi mkono kujichukulia sheria mkononi ikiwa kuna mamlaka za usalama.
Jambo lolote unalolifanya lifanye kwa manufaa yako wewe na familia yako pasi na kuwaaangamiza au kuwaingiza katika matatizo wenzio.
Na hawa kenge watasota sana.wanajidanganya wanaweza kuiroga serikali 🤣🤣Wenzake wa kabwe wilaya ya nkasi walijidanganya hivo hivo Ila unaelekea kukata mwezi sasa watu wanazidi kusota rumande na waliokufa waliShazikwa kijjn mambo yanaendelea kama kawa. Walipiga vitisho vingi Ila mwisho wa siku wananchi ndo wanabaki kua wahanga wakubwa.
Walisema wanaenda congo Ila wenzao wanazidi kusota rumande tu na kuna hatihati wakala mvua za kutosha maana ulifanyika uharibifu mkubwa saanaNa hawa kenge watasota sana.wanajidanganya wanaweza kuiroga serikali [emoji1787][emoji1787]
Kosa la raia lipo hapo, kilichowapata huwezi kusema ni bahati mbaya, ukichezea moto huwezi kuuomba moto uwe na busara, utakuchoma tu. Mlitaka busara gani? Mpewe mtu mkamuue? Shenzy typePolisi wakamficha hapo na Raia wakamfata hukohuko.
Kukosekana Kwa Busara baina ya Polisi na Raia,. Fuji zikatokea na kituo Cha Polisi hiko kikavunjwa.
Ni police force na sio police service.Kwanza ni upumbavu kwenda kuvamia kituo Cha polisi. Siwapendi kabisaa police wa tz hasa utendaji kazii wao unahusisha matumizi kidogo mno ya akili lakini raia wamefanya upumbavu mkubwa walilazimisha kupata mkong'onto.
Mwaijaku naye ni KAZURAMIMBA product?Mwijaku popote ulipo....
Tafadhali yakemee hayo MAMBO ya ndugu zako hapo WASAFI FM [emoji120]
#Polisi Wetu Ni Wa Kwetu[emoji120][emoji120]
Dah!...poleni Sana.Wakuu, hii Nchi ya Ovyo sana, Kuna wajinga wanapopewa nafasi Huwa wanageuka kua Miungu watu.
Jana tarehe 4/10/2023 Kijiji Cha Kazuramimba, Wilayani Uvinza kulitokea vurugu baina ya Polisi na Raia, zilizopelekea Polisi kutumia Silaha za moto, hali hii ilipelekea Raia Kadhaa kufa na wengine kujeruhiwa .
RC, RPC na DC, wakaamua kuzitembelea Hosp zilizopokea majeruhi kimyakimya na kuwaonya kutotoa Taarifa.
Chanzo cha Ugonvi...
Kuna waganga walipelekwa Kijiji huko Kwa Imani za kijadi kwamba wanatafuta wachawi, Kuna mji Mmoja mwenye mji huo akagundulika na Mchawi, Akakimbilia Polisi kishtaki.
Polisi wakamficha hapo na Raia wakamfata hukohuko.
Kukosekana Kwa Busara baina ya Polisi na Raia,. Fuji zikatokea na kituo Cha Polisi hiko kikavunjwa.
Polisi wakaanza kutumia Silaha za moto yaan Bunduki kushambulia Raia.
Raia wengi sana wamejuruhiwa, Vijana, Wanawake na watoto na wazee wameumizwa sana.
Polisi wamewakamata watu Kadhaa na majeruhi Kadhaa na kuwapeleka kusikojulikana, mpaka Sasa Ndugu wanafuta Ndugu zao .
Ni majeruhi wachache tu Tena waloamua kujipeleka Hosp ndio ambao wamejulikana mpaka Sasa ,huku wengine wakiwa hawajulikani.
Polisi wa Kigoma, wanaongoza kuwa na matukio ya "Majeruhi alinyakua Bunduki ya Polisi nakuanza kurushiana risasi ".
Ndugu zangu nawaomba sana Mnisaidie Kupaza sauti,. Ndugu yangu Yuko huko Kikazi, amesombewa humohumo , mpaka Sasa hatuma Taarifa ya uhai au lolote kumhusu yeye.
Wamevamia polisi ni haki ya polisi kuwashughulikia, unadhani wangeingia ndani ya kituo na kuchukua silaha za moto si ingekua vita. Mimi nawatetea ndugu zangu askari polisi wamejilinda kwa weledi na kuhakikisha kituo hakiingiliwi na sila haziibiwi.Wakuu, hii Nchi ya Ovyo sana, Kuna wajinga wanapopewa nafasi Huwa wanageuka kua Miungu watu.
Jana tarehe 4/10/2023 Kijiji Cha Kazuramimba, Wilayani Uvinza kulitokea vurugu baina ya Polisi na Raia, zilizopelekea Polisi kutumia Silaha za moto, hali hii ilipelekea Raia Kadhaa kufa na wengine kujeruhiwa .
RC, RPC na DC, wakaamua kuzitembelea Hosp zilizopokea majeruhi kimyakimya na kuwaonya kutotoa Taarifa.
Chanzo cha Ugonvi...
Kuna waganga walipelekwa Kijiji huko Kwa Imani za kijadi kwamba wanatafuta wachawi, Kuna mji Mmoja mwenye mji huo akagundulika na Mchawi, Akakimbilia Polisi kishtaki.
Polisi wakamficha hapo na Raia wakamfata hukohuko.
Kukosekana Kwa Busara baina ya Polisi na Raia,. Fuji zikatokea na kituo Cha Polisi hiko kikavunjwa.
Polisi wakaanza kutumia Silaha za moto yaan Bunduki kushambulia Raia.
Raia wengi sana wamejuruhiwa, Vijana, Wanawake na watoto na wazee wameumizwa sana.
Polisi wamewakamata watu Kadhaa na majeruhi Kadhaa na kuwapeleka kusikojulikana, mpaka Sasa Ndugu wanafuta Ndugu zao .
Ni majeruhi wachache tu Tena waloamua kujipeleka Hosp ndio ambao wamejulikana mpaka Sasa ,huku wengine wakiwa hawajulikani.
Polisi wa Kigoma, wanaongoza kuwa na matukio ya "Majeruhi alinyakua Bunduki ya Polisi nakuanza kurushiana risasi ".
Ndugu zangu nawaomba sana Mnisaidie Kupaza sauti,. Ndugu yangu Yuko huko Kikazi, amesombewa humohumo, mpaka Sasa hatuma Taarifa ya uhai au lolote kumhusu yeye.
Ndiyo mheshimiwa Jaji [emoji120]Mwaijaku naye ni KAZURAMIMBA product?
[emoji2956]1.Kwa Nini hao waganga wanaleta taharuki Kwa kuwapa watu tuhuma zisizo na uhakika Moja Kwa Moja?
2.Kwa nini Raia wavamie kituo Cha polisi
3.Kwa Nini ndugu yako mgeni ajihusishe kwenye vurugu?am sure angetulia alipofikia asingekamatwa
Siempre PT[emoji120]Wamevamia polisi ni haki ya polisi kuwashughulikia, unadhani wangeingia ndani ya kituo na kuchukua silaha za moto si ingekua vita. Mimi nawatetea ndugu zangu askari polisi wamejilinda kwa weledi na kuhakikisha kituo hakiingiliwi na sila haziibiwi.
[emoji2956]Dah!...poleni Sana.
Ila raia kuvamia kituo cha polisi na kujaribu kumchukua mtu kutoka hapo kwa nguvu ni kosa na uvunjaji wa sheria
Poleni Sana